Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Mungu yupo ila dini ni vitu vya ajabu ajabu tu walivyoleta wakuja
Kwa akili yako kabisa unaamini unaweza kwenda kwa Mungu bila ya kuwa na imani ya kidini wakati hiyo dini ni njia ya kukufikisha kwa Mungu??

Huna tofauti na Wana Kawe waliomchagua Gwajima kwa kutegemea watapelekwa Birmingham!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Kwa akili yako kabisa unaamini unaweza kwenda kwa Mungu bila ya kuwa na imani ya kidini wakati hiyo dini ni njia ya kukufikisha kwa Mungu??

Huna tofauti na Wana Kawe waliomchagua Gwajima kwa kutegemea watapelekwa Birmingham!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Soma vizuri uelewe nilichoandika

Ndio shida ya kushinda 'vyuoni'
 
Marehemu ameacha "kizuka" na watoto watatu. Sijui kizuka ndo mjane 😀😀
 
Marehemu ameacha "kizuka" na watoto watatu. Sijui kizuka ndo mjane 😀😀
Kiswahili safi, kizuka ni mtu aliefiliwa na mume. Akishatoka eda atakuwa mjane.
Mjane ni yule alietalikiwa....
Kwa ufahamu wangu.
 
Kiswahili safi, kizuka ni mtu aliefiliwa na mume. Akishatoka eda atakuwa mjane.
Mjane ni yule alietalikiwa....
Kwa ufahamu wangu.
Asante mkuu.
Lakini wewe umekosea..sio kufiliwa ni kufiwa
 
Hehe wenzio kufiwa ndiyo wanasema hivyo kufiliwa! Hivyo usishangae atakapokuambia kuwa na hicho ni kiswahili safi (kwao lakini)!
Hapa itabidi tuwaite wataalam wa lugha ya kiswahili kuondoa utata
 
Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!

Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Hapa itabidi tuwaite wataalam wa lugha ya kiswahili kuondoa utata
Ofcourse kiswahili tunachoongea wa bara ndiyo sahihi! Maana cha kwao ukileta kwa tafsiri ya huku utakuta maneno mengi ni matusi!

Jaribu kupitia na comments za wadau wengine huko juu uone maneno yao mengine! Tatizo ni kwamba wao ndiyo wanajiona wako sahihi!
 
Ofcourse kiswahili tunachoongea wa bara ndiyo sahihi! Maana cha kwao ukileta kwa tafsiri ya huku utakuta maneno mengi ni matusi!

Jaribu kupitia na comments za wadau wengine huko juu uone maneno yao mengine! Tatizo ni kwamba wao ndiyo wanajiona wako sahihi!
[emoji3][emoji3] kazi ipo
 
Ofcourse kiswahili tunachoongea wa bara ndiyo sahihi! Maana cha kwao ukileta kwa tafsiri ya huku utakuta maneno mengi ni matusi!

Jaribu kupitia na comments za wadau wengine huko juu uone maneno yao mengine! Tatizo ni kwamba wao ndiyo wanajiona wako sahihi!
Duh..... Unaijua lahaja iliyorasimishwa ? Soma hapa.
Hapa tunazungumzia lahaja iliyorasimishwa. Tofauti ya maneno kwenye lahaja ipo na si kunena kwamba mtu aamba sivyo, lá hasha bali hunena kwa lahajaye tu !!! Vereje yeo ukasema si sahihi ?
Nijibu hichi.... Je watu wa bara Wana LUGHA za kikabila? Zanzíbar je ? Au wanatumia Kiswahili na lahajaze ?
Asante mkuu.
Lakini wewe umekosea..sio kufiliwa ni kufiwa
Naam kwa lahaja ya kimrima ni sawa hilo,

Hapo pamesemwa kuwa maneno MENGI ya kule ni matusi, nakataa , hapana .... Tunatafsiri maneno..... Mfano neno TIA tunalinasabisha na kufanya mapenzi. Huwezi kusema niwekee chai, kuweka ni sehemu iliyo tambarare ila pakiwa na shimo ,TIA ndio sahihi kabisa. Kupenya..... Subiri litatafsiriwa Sasa hivi, linashabihiana na TIA ......
 

Attachments

  • Screenshot_2021-03-01-08-49-16-130_org.mozilla.firefox.jpg
    Screenshot_2021-03-01-08-49-16-130_org.mozilla.firefox.jpg
    130.7 KB · Views: 3
Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!

Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!

Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)

Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!

Huku Zanzibari;
  • Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
  • Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
  • Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
  • Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
  • Pombe wanaita- moja moto moja baridi
  • Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
  • Shule huku zinaitwa skuli
  • Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
na mimi ntatembelea nijionee
 
Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!

Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ntaenda nkajionee japo nahisi kama umedanganya vile[emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787]

Makazi (Nyumba) wanaita Makalio
Utasikia mafuriko yameharibu makalio ya watu zaidi ya 600

Kubisha wanaita Kudinda
Utasikia mie nilimuambia fanya hivi usifanye vile yeye akadinda

Majina ya maeneo sasa ndiyo utacheka uzimie sijui Mchamba wima mara Kibanda maiti! Kuna sehemu inaitwa sijui Banda la Karafuu kata ya Pita na Zako!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unawajua sana wazanzibar case closed [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kule Bububu kuna sehemu inaitwa bububu kwa nyanya yaani nilikua nacheka sana nikisikia hilo jina. Kingine umesahau nyanya maji wanaita Tungule.

Mti wanaita kijiti, Shamba wanaita kondeni.

Sasa vituko full nilivipata sehemu fulani inaitwa jambiani, huko Kiswahili chao huwezi kukielewa. Niliuliza mtu anielekeze sehemu yaani alivyonielekeza hata sikumuelewa. Kuna mdada alimwambia jamaa "Kama unan'tenda nintende, Sio unanichezea kama kijibwa chaja"[emoji3][emoji3] Hapo jamaa anaambiwa kaa unanifanya nifanye sio unanichezea kama kimbwa kitoto... Jambiani, Kizimkazi na Makunduchi is a place to be. Nilipenda sana mazingira yake
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vipi hukufanikiwa kudate nao
 
Nilifumania mpira wa miguu ukichezwa Sasa ndugu aliekuwa na mpira alikuwa kwenye kona mwenzake akawa analalama kwambi "tia tia tia!" Akiwa na maana apige krosi ije gorini afunge..[emoji23][emoji23]
pia zanzibar kuna kesi nyingi sana za ufiraji mahakamani
 
Back
Top Bottom