Kwa akili yako kabisa unaamini unaweza kwenda kwa Mungu bila ya kuwa na imani ya kidini wakati hiyo dini ni njia ya kukufikisha kwa Mungu??Mungu yupo ila dini ni vitu vya ajabu ajabu tu walivyoleta wakuja
Soma vizuri uelewe nilichoandikaKwa akili yako kabisa unaamini unaweza kwenda kwa Mungu bila ya kuwa na imani ya kidini wakati hiyo dini ni njia ya kukufikisha kwa Mungu??
Huna tofauti na Wana Kawe waliomchagua Gwajima kwa kutegemea watapelekwa Birmingham!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Upuuzi.Soma vizuri uelewe nilichoandika
Ndio shida ya kushinda 'vyuoni'
mkuu naona unashusha nondo nzito nzito
mkuu naona unashusha nondo nzito nzito
Tena mkubwaUpuuzi.
Kiswahili safi, kizuka ni mtu aliefiliwa na mume. Akishatoka eda atakuwa mjane.Marehemu ameacha "kizuka" na watoto watatu. Sijui kizuka ndo mjane 😀😀
Asante mkuu.Kiswahili safi, kizuka ni mtu aliefiliwa na mume. Akishatoka eda atakuwa mjane.
Mjane ni yule alietalikiwa....
Kwa ufahamu wangu.
Hehe wenzio kufiwa ndiyo wanasema hivyo kufiliwa! Hivyo usishangae atakapokuambia kuwa na hicho ni kiswahili safi (kwao lakini)!Asante mkuu.
Lakini wewe umekosea..sio kufiliwa ni kufiwa
Hapa itabidi tuwaite wataalam wa lugha ya kiswahili kuondoa utataHehe wenzio kufiwa ndiyo wanasema hivyo kufiliwa! Hivyo usishangae atakapokuambia kuwa na hicho ni kiswahili safi (kwao lakini)!
Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Ofcourse kiswahili tunachoongea wa bara ndiyo sahihi! Maana cha kwao ukileta kwa tafsiri ya huku utakuta maneno mengi ni matusi!Hapa itabidi tuwaite wataalam wa lugha ya kiswahili kuondoa utata
[emoji3][emoji3] kazi ipoOfcourse kiswahili tunachoongea wa bara ndiyo sahihi! Maana cha kwao ukileta kwa tafsiri ya huku utakuta maneno mengi ni matusi!
Jaribu kupitia na comments za wadau wengine huko juu uone maneno yao mengine! Tatizo ni kwamba wao ndiyo wanajiona wako sahihi!
Duh..... Unaijua lahaja iliyorasimishwa ? Soma hapa.Ofcourse kiswahili tunachoongea wa bara ndiyo sahihi! Maana cha kwao ukileta kwa tafsiri ya huku utakuta maneno mengi ni matusi!
Jaribu kupitia na comments za wadau wengine huko juu uone maneno yao mengine! Tatizo ni kwamba wao ndiyo wanajiona wako sahihi!
Naam kwa lahaja ya kimrima ni sawa hilo,Asante mkuu.
Lakini wewe umekosea..sio kufiliwa ni kufiwa
na mimi ntatembelea nijioneeMgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ntaenda nkajionee japo nahisi kama umedanganya vile[emoji3][emoji3]Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!
Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
yap niliwahi sikia hiyo sehemuLakini mbona kwao kwenyewe kuna mji unaitwa Makunduchi! Tena nasikia kiswahili wanachoongea wa kule Makunduchi ndiyo balaa bora hata cha wa huko mjini!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unawajua sana wazanzibar case closed [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787]
Makazi (Nyumba) wanaita Makalio
Utasikia mafuriko yameharibu makalio ya watu zaidi ya 600
Kubisha wanaita Kudinda
Utasikia mie nilimuambia fanya hivi usifanye vile yeye akadinda
Majina ya maeneo sasa ndiyo utacheka uzimie sijui Mchamba wima mara Kibanda maiti! Kuna sehemu inaitwa sijui Banda la Karafuu kata ya Pita na Zako!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vipi hukufanikiwa kudate naoKule Bububu kuna sehemu inaitwa bububu kwa nyanya yaani nilikua nacheka sana nikisikia hilo jina. Kingine umesahau nyanya maji wanaita Tungule.
Mti wanaita kijiti, Shamba wanaita kondeni.
Sasa vituko full nilivipata sehemu fulani inaitwa jambiani, huko Kiswahili chao huwezi kukielewa. Niliuliza mtu anielekeze sehemu yaani alivyonielekeza hata sikumuelewa. Kuna mdada alimwambia jamaa "Kama unan'tenda nintende, Sio unanichezea kama kijibwa chaja"[emoji3][emoji3] Hapo jamaa anaambiwa kaa unanifanya nifanye sio unanichezea kama kimbwa kitoto... Jambiani, Kizimkazi na Makunduchi is a place to be. Nilipenda sana mazingira yake
pia zanzibar kuna kesi nyingi sana za ufiraji mahakamaniNilifumania mpira wa miguu ukichezwa Sasa ndugu aliekuwa na mpira alikuwa kwenye kona mwenzake akawa analalama kwambi "tia tia tia!" Akiwa na maana apige krosi ije gorini afunge..[emoji23][emoji23]