Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Kule hakuna ni "Asalaam Alaykum" tu, ukitumia salamu kama "Shikamoo" au sijui "Za saa hizi" wanakujibu ila wanajua tu huyu mtu wa bara.
oooohh!!!Nice.nikienda kila ntakayekutana nae itakuwa ni asalemu aleku[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hehe wenzio kufiwa ndiyo wanasema hivyo kufiliwa! Hivyo usishangae atakapokuambia kuwa na hicho ni kiswahili safi (kwao lakini)!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ntie Dole hapo, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] khaaaaah
 
true.kiswahili asili yake ni kule
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo comments Sasa mie sina mbavu lol.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwandende una uzoefu na zanzibar?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nasikia kuna kesi nyingi sana za ufiraji huko
 
Hamna Mzanzibari anaeupenda Mungano,Kama utamsikia Mzanzibari anaushangilia Mungano basi mgeni huyo..

Wafanyabiashara wengi wa Kariakoo ni Wazanzibari kutoka kisiwa cha Pemba

Wapemba ndio wanaongoza kuupinga huu Mungano
mbona balozi seif anaupenda muungano
 
Li paulo !!!!!
 
Ukitoka bara unaitwa mnyamwezi....
 
Wee mwenyewe si pisi mkuu tunafanyaje sasa[emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
vipi wapoje katika mahusiano?
Wanaaminishwa wanaume wa bara ni ,
--washenzi..
-- sio romantic.
-- mwanamke akiingia ndani kwa mwanaume hatoki salama.
-- hatujuwi kuhudumia..ndy maana hatuendi marikiti.

Kama kuna mtu kamgegeda Mpemba/mzazibar huku bara anitag..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…