Askari wa Zanzibar
_ akija kukukamata anakwambiya utangulie kituoni,,,tena
anakukabidhi gegeje ukifika pale police umsubiri nje,,
Yeye anamalizia kula urojo..
Kkkkkk askari wa Zanzibar ...
Halafu nasikia wanavaa shati la police wanachomekea msuli na kubazi..na kofia ya balaghashea..
_mwanamke akipanda bodaboda haruhusiwi kumshika kiuno mwendesha bodaboda,,,anapaswa akae upande upande..
Halafu majina yao sasa!!
Chamba wima.
Mfereji maringo.
Chokocho.
Kiembe samaki.
Kiembe ladu..
Nasikia akikamatwa mwizi hapigwi,,,bali anamwagiwa vumba la samaki,,,akaliwe na paka huko aendako.