Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Waulize Mchamba wima maana yake nini??

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Waulize Mchamba wima maana yake nini??

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Wanasema maeneo hayo yalikuwa na majani yenye miiba (mbigiri) enzi hizo kabla ya maji ya mfereji kuna, walikuwa wanachamba kwa kuburuza Makarios mchangani , sasa eneo hilo walishindwa kwasababu ya miba miba; Hivyo ikabidi wawe wanachamba wima kwa majani kama tissue! NDO PAKAZOELEKA MCHAMBA WIMA
 
OK!!!MKUU asante kwa ufafanuzi wako

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Eti n'tie dole hapo.
 
Kwa kauli hii ya ntie dole nmeamini hakuna right and wrong lakini inategemeana na jamii husika ina define vipi jambo husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…