Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watujaribu kutupa siku moja wakutane na sticky penis pum.bav zao.....wanakazwa na watu goi goi kila siku!!Nyanya maji wanaita TUNGULE,
Afu mademu wa huko wanatuchukia sana vijana wa huku bara,yaani wanatuona Kama TAKATAKA ila kaka zao wanawala freshi tu dada zetu..
Duh hata kwa pesa mkuuHakuna kitu kigumu Kama kupiga pisi za kizenji. Yaani hapo unatakiwa uwe super star kwenye hiyo anga.
Kwani Tv za Rangi zimeanza kutumika mwaka gani duniani?Yeah mwaka 1972
Dah kweli shughuli pevu sanaHapo ndio usiguse kabisa kama huna kitambulisho cha mzanzibari mkazi na jina lako ni Christopher
Soko linaitwa marikitiMgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Umenikumbusha mbali sana, miaka hiyo ya wahenga tukiwa na mpiga gitaa mmoja machachari sana akiitwa Masengo. Yeye alitunga wimbo akielezea jinsi Kiswahili kilivyo tofauti kutegemea na sehemu ulipo. Anasema kule kwao Kongo wanaità kijiko, lakini huku Tanganyika ni upawa. Anaendelea kwamba alitaka kula muchele lakini huku wanaita wali. Bado pia kule kwao wanasema mwanamke mdogo lakini huku anaitwa msichana. Hata salamu kule kwao wakisalimiana " yambo bwana" huku Tanganyika wanasema "jambo bwana“. Na mwisho kabisa alishangaa alivyoambiwa " unaonaje" wakimaanisha "habari gani"!Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
[emoji16][emoji16][emoji16]Hata vespa wanaita Kipando
ikipindaMgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Mkuu hakuna hata wale wazururaji wa kudanga?Pisi kuipata ni ngumu sana, ni mara mia demu akatafunwe na mwenye wake watatu kuliko kukupa wewe mtu wa bara
Sardine sio dagaa mchele chief.Umesahihisha nini na umekosoa nini?
Huku kwetu tukiziita Chai Maharage!Zile canter zimewekewa ma bench ndani bado zinasafIrisha abiria!!?
Huyo bado hajazaliwaHuwa natamani aje Rais wa kusema Muungano basi. Kila mtu arudi na akae kwao. Tuone nani ataumia Dadeki
Yaani we Bora utafute watalaka. Hawa wengine ukiwatoa out anakuja na ukoo akija mwenyewe lazima akanunue chipsi mishikaki apelekee ukoo mzima hata iwe saa sita usiku.Duh hata kwa pesa mkuu
Ikipinda niweke [emoji23][emoji23][emoji23]ikipinda
Mkuu nimeishi Zanzibar miaka 7 kwahiyo ninachokiongea Nina uhakika nacho.Mkuu huo ndio ukweli,
Aslimia kubwa sanaa ya machangudoaa waliopo Zanzibar ni kutoka Bara.
Tatizo leo nyinyi watu wa bara munapenda kuyachukulia maneno munayo yasikia,
Na kuyamini kwa aslimia kubwa bila kufanya uchunguzi.
Naona humu munapigana uongo mwingi kuhusu Zanzibar yetu but hatupo kama munavyodhani.
Tumawaharibia wapi? Sisi tumewasaidia Sana we uliza uambiwe. Tikihama huko wanaume wataisha maana wanapenda Sana kufumuliwa marindaNdio maana machogo hamtakiwi makafir wakubwa, mnawaharibia nchi yao.