Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Wanaaminishwa wanaume wa bara ni ,
--washenzi..
-- sio romantic.
-- mwanamke akiingia ndani kwa mwanaume hatoki salama.
-- hatujuwi kuhudumia..ndy maana hatuendi marikiti.

Kama kuna mtu kamgegeda Mpemba/mzazibar huku bara anitag..
Mimi hapa!
 
Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!

Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!

Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)

Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!

Huku Zanzibari;
  • Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
  • Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
  • Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
  • Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
  • Pombe wanaita- moja moto moja baridi
  • Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
  • Shule huku zinaitwa skuli
  • Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
mojawapo ya maeneo ya kipumbavu sana kuishi hapa duniani, yamejaa ubaguzi, udini,ufirauni wa sodoma na gomora, ushirikina na mazuzu.
 
Wanaaminishwa wanaume wa bara ni ,
--washenzi..
-- sio romantic.
-- mwanamke akiingia ndani kwa mwanaume hatoki salama.
-- hatujuwi kuhudumia..ndy maana hatuendi marikiti.

Kama kuna mtu kamgegeda Mpemba/mzazibar huku bara anitag..
marikiti[emoji3][emoji3]
 
Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!

Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!

Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)

Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!

Huku Zanzibari;
  • Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
  • Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
  • Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
  • Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
  • Pombe wanaita- moja moto moja baridi
  • Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
  • Shule huku zinaitwa skuli
  • Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
Ila wanaubaguzi hawa watu usiombe wewe wa bara ukafanya kazi zenji yani hatar ndugu yangu alihama usiku wa manane kakimbia kazi mwenyewe
 
Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!

Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
Kmmk [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Duh nikisikia huko Zenji huwa nawaza kuwa ni sehemu ya kipekee sana.
Lafudhi kama hizo vyakula tofauti vyao, mavazi,
Kama hujui unaweza mtia dole kweli.
Vipi mkuu pisi zipo huko zinatafunika?
Watu wanaingia na pigo gani?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wanasema maeneo hayo yalikuwa na majani yenye miiba (mbigiri) enzi hizo kabla ya maji ya mfereji kuna, walikuwa wanachamba kwa kuburuza Makarios mchangani , sasa eneo hilo walishindwa kwasababu ya miba miba; Hivyo ikabidi wawe wanachamba wima kwa majani kama tissue! NDO PAKAZOELEKA MCHAMBA WIMA
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787]

Makazi (Nyumba) wanaita Makalio
Utasikia mafuriko yameharibu makalio ya watu zaidi ya 600

Kubisha wanaita Kudinda
Utasikia mie nilimuambia fanya hivi usifanye vile yeye akadinda

Majina ya maeneo sasa ndiyo utacheka uzimie sijui Mchamba wima mara Kibanda maiti! Kuna sehemu inaitwa sijui Banda la Karafuu kata ya Pita na Zako!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wanaaminishwa wanaume wa bara ni ,
--washenzi..
-- sio romantic.
-- mwanamke akiingia ndani kwa mwanaume hatoki salama.
-- hatujuwi kuhudumia..ndy maana hatuendi marikiti.

Kama kuna mtu kamgegeda Mpemba/mzazibar huku bara anitag..
Zanzibar Hakuna wanawake wazuri sijui kwanini mtu na akili zako unafunga safari kwenda Unguja kuoa. Yani unaweza kutembea Unguja nzima hujaona warembo angalau wale unaowaona Stand ya makumbusho.


Kidogo wasichana wazuri wako Pemba lakini unguja Hakuna kitu. Wana maumbo Kama ya Hadija kopa na sura za Baba zao. Daaah sijui wabara wanaoendaga kuoa Unguja huwa kichwani wamevuta bangi. Huwa nikienda unguja najua nimeingia Gereza la kutokuona warembo.


Na asilimia kubwa ya warembo kule unguja ukimuuliza utaambiwa ni m-bara.

Hahaha
 
mojawapo ya maeneo ya kipumbavu sana kuishi hapa duniani, yamejaa ubaguzi, udini,ufirauni wa sodoma na gomora, ushirikina na mazuzu.
Unguja sehemu ya Hovyo Sana ... Wanatuchukia sana wabara waziwazi. Huwa naumia sana wakati wao huku tunawaheshimu.
 
Ila wanaubaguzi hawa watu usiombe wewe wa bara ukafanya kazi zenji yani hatar ndugu yangu alihama usiku wa manane kakimbia kazi mwenyewe
Acha kabisa Unguja Kuna Ubaguzi sana. Wabara hawapendwi. Unaweza kufanyiwa fitina Hadi ukakimbia.
 
Zanzibar Hakuna wanawake wazuri sijui kwanini mtu na akili zako unafunga safari kwenda Unguja kuoa. Yani unaweza kutembea Unguja nzima hujaona warembo angalau wale unaowaona Stand ya makumbusho.


Kidogo wasichana wazuri wako Pemba lakini unguja Hakuna kitu. Wana maumbo Kama ya Hadija kopa na sura za Baba zao. Daaah sijui wabara wanaoendaga kuoa Unguja huwa kichwani wamevuta bangi. Huwa nikienda unguja najua nimeingia Gereza la kutokuona warembo.


Na asilimia kubwa ya warembo kule unguja ukimuuliza utaambiwa ni m-bara.

Hahaha
Mmhhhhh.
Mradi na wewe umeandika!!!!

Zanzibar yenye mchanganyiko wa makabila kibaooo unasema hakuna warembo!!!?

Zanzibar ipi uloenda wewe? Au kwa vile wanavaa mavazi ya kuiljistiri ndio sababu?
 
ukiona unawasilimia hao wanawake wanaitika bila kusimama, ujue unaepushwa na mengi huko busha ziko nje nje
 
Acha kabisa Unguja Kuna Ubaguzi sana. Wabara hawapendwi. Unaweza kufanyiwa fitina Hadi ukakimbia.
Ila wabara wapo wengi sana. Wafanyakazi wa mahotelini, restaurants za wazanzibari wengi wao watu wa bara.
Wauza maduka ya vyakula/nafaka wa mwanakwerekwe wengi wao wachaga.
Stone town wamasai na watu wa Arusha wengi wamefungua maduka ya vitu vya watalii, picha za tingatinga na vinyago.

Hao ni wachache tu. Na hawajakimbia. Punguzeni chai kwa vitu msivyovielewa wala kuwa na uhakika navyo.

Watu wengi saivi wanajenga apartments kwa sababu wanaotaka nyumba za kupanga washaongezeka.

Mimi ofisi ninayofanyakazi kuna watu wa bara kuzidi Wazanzibar.

Kuna mmoja aliwahi kuropokwa kuwa alivoambiwa alivyotoka kwao kuh Zanzibar tofauti sana na aliyoyakuta. Wanaishi kwa amani kabisa.

Na katika hao watatu washahamisha mpk familia zao kuja Zanzibar.
 
Si afadhali hata wangekuwa wanasema "shusha" sasa, wengi wanasema "tia"! Kuna sehemu inaitwa Dole konda akisema "Dole" anayeshuka hapo anasema "tia", au utasikia n'tie Dole hapo!

Yaani wale maneno mengi wanayoyaongea ukiyaleta kwa tafsiri ya bara unakuta ni Matusi
wanasema niweke skuli hapo...nilweke dole hapo...sio shusha
 
Back
Top Bottom