Hukumu dhidi ya Tundu Lissu yadhihirisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Wakala wa CCM

Tanzania hakuna Tume ya uchaguzi kuna Genge la ccm limejivika mamlaka ya kujiita Tume ya uchaguzi
 
Mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi

Lisu ana kiburi na hufanya kusudi

Tume imefanya vyema sana

Mamlaka nyingine nazo zinatakiwa kufanya kama tume (kuchukua hatua kali dhidi ya mgombea na penye ulazima kwa chama kizima)
Tume inafanya vyema sana kwa vigezo vyako vya kijinga kama wao? au una maana ipi?
 
Tume ya ccm italaaniwa sana endapo watathubutu kuingiaza ccm ikulu kinyume cha kura za watanzania
 
Tayari tume imekataliwa na idadi kubwa ya walipa kodi iweje tume wanaendelea kulipwa mishahara kutokana na kodi za wananchi ambao hawaitaki hiyo Tume? haya ni matumizi mabaya ya madaraka na pesa za umma
 
Kesho mkutano unafanyika wapi?
Adhabu unayosemea ni ipi wakati alishiikataa na haitambui. Kesho jumapili watu wake wa logistic za kampeni wameshaandaa mkutano tatizo liko wapi tena? au na wewe ni bendera fuata upepo
 
Ni ufisadi ni wizi wa pesa za umma kuwalipa mishahara Tume ambayo haina ridhaa ya watanzania, walipa kodi hawataki pesa zao kuwalipa mishahara Tume ya chama kimoja
 
Kesho mkutano unafanyika wapi?
Mkutano wa kesho utawachambua viongozi wote wa Tume, kila mmoja ataanikwa mapungufu yake kwa uwazi mkubwa wataelezewa mabaya yao yote ambayo walidhani ni siri yao hakuna anayeyajua
 
Kesho mkutano unafanyika wapi?
Wanaangalia ratiba yake inamwelekeza kuwa wapi. Juzi alishautangazia ulimwengu na umma kuwa maamuzi ya adhabu aliyopewa ni batili na kampeni zake ziko pale pale. Yangu macho, nazi kushindana na jiwe
 
Si alisema anawafuasi ?,andamaneni kupinga adhabu hiyo kuliko kutumia muda mwingi kupotosha ,patheti

Unatamani kuona machafuko???? Usidhani watu waoga ndg, ni BUSARA tu za viongozi wa upinzani, people are tired mman!!!!
 
Hiyo adhabu haikubaliki na Hilo genge la maharamia wa CCM walioficha kwenye mgongo wa tume dawa yao inachemka.

Soon watalia kilio cha mbwa Koko.
 
Lisu piga kelele Tume ya ccm wasilipwe mishahara tokea Hazina kwenye pesa za walipa kodi, wambie Tume wakadai mishahara yao ccm kwa mwajili wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…