Hukumu dhidi ya Tundu Lissu yadhihirisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Wakala wa CCM

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu yadhihirisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni Wakala wa CCM

Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
Huu ni upupu na upotoshaji wa kiwango cha lami.
Hoja kuu ni moja tu, UTII WA SHERIA BILA SHURUTI. ukienda kinyume na sheria na kanuni zinavyotaka na kuongoza utachukuliwa hatua stahiki kwa maana hakuna namna. Utalipwa juu ya kile unachostahili kulipwa.
 
Huu ni upupu na upotoshaji wa kiwango cha lami.
Hoja kuu ni moja tu, UTII WA SHERIA BILA SHURUTI. ukienda kinyume na sheria na kanuni zinavyotaka na kuongoza utachukuliwa hatua stahiki kwa maana hakuna namna. Utalipwa juu ya kile unachostahili kulipwa.
Sheria kwa upande mmoja? Wao Tume tayari wamevunja Sheria kwa kujiteua makada wa ccm watupu kujibatiza ni Tume,
 
Sheria kwa upande mmoja? Wao Tume tayari wamevunja Sheria kwa kujiteua makada wa ccm watupu kujibatiza ni Tume,
Kila mtu ana haki ya kuteuliwa na kuchaguliwa, kwani Anna Mgwira wakati anateuliwa alikuwa ni CCM?
Na sheria sio kwa upande mmoja tu, ipo applicable kote, sema upinzani ndio mnaoongoza kuvunja sheria na nyie ndio wa kwanza kulia lia na kulalamika, mkiambiwa msifanye hivi mna kaidi, mkimabiwa msifanye vile mna kaidi.
 
Wewe ni wakupuuzw maana unamzungumzia vitu vya abunuasi. Wagombea wa CCM hawahitaji kutumia nguvu kubwa Kama aitumiayo LISSU. Nyie kaeni na kuilaumu tume badala ya kujipanga maana Ilani hatuisikii ikiimbwa majukwaani zaidi ya hii.

Mwisho wa siku wananchi watawahukumu halafubmtafute mchawi.
 
Mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi

Lisu ana kiburi na hufanya kusudi

Tume imefanya vyema sana

Mamlaka nyingine nazo zinatakiwa kufanya kama tume (kuchukua hatua kali dhidi ya mgombea na penye ulazima kwa chama kizima)
Pole sana. Kama mlimshindwa kwa risasi mtamuweza kwenye majukwaa?? Harujawahi kuwa na Kiongozi Katili kama alivyo huyu. Ndiyo maana watu wanahoji juu ya uraia wake.
 
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
Majaji wanaoheshimika! Majaji wanaoheshimika wasingemfunga Mbowe, Sugu na wenzao bila kosa, kisha mahakama inathibitisha kifungo hakikuwa halali! Aibu.
 
Niliahidi wiki iliyopita kwamba nitaandika tena baada ya hukumu dhidi ya Tundu Lissu ambayo tayari ilikwishavuja hata kabla ya mashtaka kuandikwa.

Hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza rasmi kumfungia mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu kutojihusisha na kampeni kwa siku 7.

Wiki iliyopita niliandika hapa kwamba taarifa zilizokuwepo ni kwamba makubaliano ya CCM na Mkurugenzi wa Uchaguzi Charles Mahera ni kwamba Tundu Lissu azuiwe kwa siku 14 kufanya kampeni.Huenda baada ya taarifa hizi kuvuja ndiyo sababu ya kupunguza siku hizo na kuwa 7.

Angalau kilichojionyesha dhahiri kwa Sasa ni kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi haijifichi tena bali imeamua kukaa mstari wa mbele kupambana na Tundu Lissu na Chadema.

Kwa wiki nzima iliyopita Mkurugenzi wa NEC Charles Mahera amekuwa akijitokeza mbele ya wanahabari kumshsmbulia vikali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.

Mkurugenzi huyo wa NEC amefika mbali na kuanza kuijibia CCM hoja mbalimbali za kisiasa zinazotolewa dhidi yake na mgombea wa Chadema Tundu Lissu.Bila aibu na bila kupepesa macho Charles Mahera aliapa kushirikiana na Polisi kuishambulia Chadema na Mgombea wake Tundu Lissu kwa mabomu ya machozi na kupongeza kwa vurugu zile zilizofanyika kule Nyamongo dhidi ya Tundu Lissu.

Hukumu dhidi ya Tundu Lissu ni Utekelezaji wa maelekezo ya CCM na Charles Mahera kwa inayojiita Tume ya Maadili ya Uchaguzi isiyokuwa huru.

Tundu Lissu ameadhibiwa na Charles Mahera na genge lake bila hata kumpa Fursa ya kusikilizwa na wala kupelekewa mashtaka yanayomkabili.

Ni kichekesho Cha mwaka kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi yenye majaji wanaoheshimika kukubali Charles Mahera na genge lake kumhukumu mtu asiye na hatia bila hata kumpa Fursa ya kujitetea na Kisha kupima ule utetezi.

Wakati hayo yakifanyika Chama Cha Chadema kimeandika malalamiko matatu tofauti dhidi ya Mgombea wa CCM kukiuka Maadili na kanuni za Uchaguzi.Siyo tu kwamba mgombea huyo wa CCM hajaitwa kujitetea bali Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa hata kutangaza hadharani kupokea malalamiko hayo.

Cha kufurahisha ni kwamba Watanzania si wajinga wanaelewa Sana na kufahamu kwamba adhabu ya kumfungia Tundu Lissu ni kumpunguzia kasi baada ya Mgombea anayeungwa mkono na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuelemewa kwa kila kona katika kampeni hizi.Hivyo ni kutafuta njia ya kumnusuru.

Kwa adhabu hii dhidi ya Tundu Lissu ni dhihirisho la wazi la uwakala wa Tume hii ya Taifa ya Uchaguzi kwa CCM.Anachoongea Hamphrey Polepole dhidi ya Chadema ndiyo hicho hicho anachoongea Mkurugenzi wa Tume Charles Mahera utadhani wamekaririshwa maneno.

Ziko hujuma nyingi zinazoratibiwa na CCM na wakala wao Charles Mahera dhidi ya Tundu Lissu na Chadema.Tutarajie makubwa zaidi ya haya katika wiki za lala salama za kampeni.

Nitaandika tena baada ya adhabu dhidi ya Tundu Lissu kumalizika tarehe 9/10
Tume ya taifa na Kamati ya maadili.

 
Wanaisingizia SAU wangenyoosha maelezo kuwa CCM wameenda kulalamika maji yalipofika shingoni! CCM kwa walipofika kama mnakimbia uwanja wa mita 100 unawapa mita 30 halafu ndo unaanza bado unawapita na wanakukuta mwisho wa uwanja umeshamaliza kulamba na Glucose
CCM haichaguliki
 
Mbona kama umepaniki!! Mnajisikiaje kubebwa na Tbccm, policcm, necccm, habari leoccm, tcraccm, nk?

Pamoja na kubebwa kote huko, lakini bado mnanyooshwa na kiumbe mmoja tu anayeitwa Tundu Lissu!!
They have been cornered
 
Back
Top Bottom