Hukumu Kesi ya Kikatiba ya Jamii Media: Mahakama yakiri Sheria Makosa ya Mitandao inahitaji kanuni

Hukumu Kesi ya Kikatiba ya Jamii Media: Mahakama yakiri Sheria Makosa ya Mitandao inahitaji kanuni

nahisi hukumu ya kesi hii ni ngumu na contens zake zitakuwa 'zimevuja'. kuna upande wenye ushawishi inawezekana haukuridhika nayo.
 
Mkubwa hawez kuomba msamaha live on the spot..
Unaweza ukashangaa wanahamishwa zaidi hapo
 
4 Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami,
 
Wakuu mi naombA tu nihame hili jukwAA LA SIASA. ..


I FIND IT NOT FRIENDLY..


IM LIKE SEEING BANs' Ahead.
 
hii ruling imenikumbusha ile ya juzi pale majaji wa supreme court ya America walipo ondoa zuio la waislamu kuingia America .
 
History shows that dictators start by silencing the masses !!
 
Kila la kheri. Binafsi kufuatia Makonda na wenzie kugomea wito wa mahakama, sina imani tena kama mahakama ina ubavu wa kusimamia haki dhidi ya wale wanaotimiza amri na matakwa ya watawala.
Wito wa mahakama katika kesi za madai na za jinai kuna tofauti kubwa sana.
 
Mahakama ni chombo huru,idhihirishe uhuru wake kwa kutenda haki.
 
Back
Top Bottom