Hukumu ya kifo Kwa vijana wa Kuluna Gang DRC iwe fundisho Kwa panya road

Kongo wanaishi kibabe sababu ya vita, wana ardhi nzuri ya kustawisha mazao ila ukilima yakifikia kuvunwa wanajeshi wanakuja kuvuna na huna cha kuwafanya..!!!

Kongo ukivusha magendo mwanajeshi ndo anakusindikiza kikubwa mpunga 😹😹

Hao watoto jirani bora ukutane na simba sio hao, wanaua na kubaka.!!
 
Hao jamaa wamehukumiwa ila mpaka Sasa bado hawajauwawa nahaijathibitishwa zile.clip zamaneneza ni ile ajali ya meli iliyozama ziwa kivu naile clip yawasimali wakiuwawa kwarisasi. Lkini haijafahamika
 
Wezi wa kalamu ambao wakiandika tarakimu wanaweza kukomba bilioni kadhaa na kusababisha wagonjwa kufa hospitali kwa kukosa matibabu, vipimo kwa kutumia vifaa tiba vya MRI, TScan Ultra Sound Xray n.k wakafariki dunia kutokana na mafisadi wanaotumia wizi wa kalamu katika ofisi za serikali, mashirika ya umma.

Mafisadi hawa wenye vitambi na suti wala rushwa na wezi wakubwa nao washugulikiwe
 
Mbona hawajawahukumu wahuni wanaojiita M23 ?
 
Ndo maana Africa hatuendelei ko mpaka mataifa makubwa yatoe comment
 
Mnaowatetea kuluna ni wapumbavu kabisa. Wale sio binadamu wa kuonea huruma imagine wanakata matumbo ya mama wajawazito wanachinja watu kuwatoboa macho gang raping wanavamia makazi kufunga mitaa kupora na kuuwa watu nenda Kinshasa uone huyo waziri anavyosifiwa Kinshasa ilikuwa haikaliki panya road wetu wanasubiri kwa ukatili wa Hawa wapumbavu.
 
Kifungo tena? Yan warudi wakiwa wamefuzu zaidi hapana mkuu
 
Hao kuluna gang ni watoto?
 
Wanaingia kitaa wanafyeka watu shingo kama kuku.....Merci Mingi Pilato ya Kinshasa!!
 
Wakongo wanasema hao watoto ni wa madereva wa transit kutoka Tanzania 😹

Walimkamata dereva walimuingilia mtungo, unaambiwa hao watoto wanabaka mchana kweupe na watu wanashuhudia na polisi wanaona… ni haki yao kunyongwa
Kubaka tu?!

Mimi nikafikiri mauaji na kupora mali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…