The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
Kqbisa tena kimya kimyaSi kweli ,Panya road wengi walishanyakuliwa kwenda mawinguni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kqbisa tena kimya kimyaSi kweli ,Panya road wengi walishanyakuliwa kwenda mawinguni.
Kongo wanaishi kibabe sababu ya vita, wana ardhi nzuri ya kustawisha mazao ila ukilima yakifikia kuvunwa wanajeshi wanakuja kuvuna na huna cha kuwafanya..!!!Je chanzo cha hao vijana kua wezi na wauwaji ni kipi?
Vijana hao wakisha uliwa itakua ndio solution? Au it's the matter of time only kisha watakuja kuibuka wengine coz bado source ya tatizo itakua ipo pale pale?
Kama hukumu imetolewa na Mahakama hilo wala silipingi na wala halina mjadala.
Ndio ila wakiuliwa asee Congo watakutana na sanctions nyingi sana na Costant ataitwa ICCWale wazungu walitaka kupindua nchi na inasemekana walitumwa..!
Mbona hawajawahukumu wahuni wanaojiita M23 ?Huko DRC vijana wahuni wa mtaani, wanaotishia amani Kwa kuvamia makazi na kuuwa raia mjini Kinshasa, wamehukumiwa adhabu ya kifo
Waziri wa sheria bwana Mutamba, ambaye amekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii huko Kinshasa aliamuru vijana hao zaidi ya 200 kuuwawa na adhabu imetekelezwa
Watu ambao wamewahi kufika Kinshasa wamesema hakuna haja ya kuwahurumia, maana Kuluna Gang ni hatari sana DRC
Wakazi wa Kinshasa wanampongeza sana waziri Mutamba Kwa hukumu yake hiyo
Marekani na mataifa makubwa yamekaa kimya na kuonyesha kuunga mkono mauaji hayo ya Kuluna gang
Hapa kwetu Panya road na wadudu tunaowalea, nadhani tupige Congo
Hawa wahuni wanaweza baadae kuja kuwa kama Kuluna gang huko DRC
M23 jeshi lenyewe linawasaka Kwa tahadhari,halafu M23 ni Genge la kiukombozi siyo vibakaMbona hawajawahukumu wahuni wanaojiita M23 ?
Wanawakomboa kina nani?M23 jeshi lenyewe linawasaka Kwa tahadhari,halafu M23 ni Genge la kiukombozi siyo vibaka
😲😲😲Eti wanasema "ninazaa mtoto. Kila mtoto anakuja na rizki yake"..
Pambaf kabisa. Low income kuzaa zaa hovyo, haya ndio matokeo yake..
Kifungo tena? Yan warudi wakiwa wamefuzu zaidi hapana mkuuUkweli mchungu Sana ni kwamba hao vijana (siyo watoto) baadhi yao walifanya uhalifu mbaya sana kupita kiasi, hivyo wanastahili kupata adhabu kali ili iwe fundisho kwao na kwa Watu wengine katika Jamii. Isipokuwa Hukumu hiyo ya kifo imetolewa kiholela kwa Vijana hao, taratibu zote kabisa za kisheria hazikufuatwa katika kuwatia hatiani. Hivyo,wapo baadhi ya vijana wameonewa, hakustahili kuhukumiwa adhabu ya kifo, ila wapo baadhi ya vijana hao kweli kabisa wanastahili kupata adhabu kali ya kuuawa kutokana na makosa yao waliyotenda.
Kutokana na kuwepo kwa mkanganyiko huu mkubwa sana katika mchakato mzima wa kuwatia hatiani, na kutokana na sababu ya umri wao kuwa bado vijana wadogo(wengi wao), Mimi binafsi naona kama adhabu nzuri zaidi kwao ni kuwafunga vifungo vya muda mrefu gerezani badala ya kuwanyonga. Wabadilishiwe adhabu na kufungwa gerezani kwa mfano wafungwe miaka hata kumi, hii itakuwa fundisho tosha kabisa kwao.
Hao kuluna gang ni watoto?Duniani kote watoto wanalindwa why sababu they're vulnerable and naive, they're controlled by external forces, kama walikuwa wakora wao kama taifa na lina watu wazima wengi kuliko watoto, watoto hao ni zao la watu wazima ovyo. Tegemea huyo kiongozi kulipa huo udharimu wa kumwaga hiyo damu kama sio leo basi ni kesho.
Kubaka tu?!Wakongo wanasema hao watoto ni wa madereva wa transit kutoka Tanzania 😹
Walimkamata dereva walimuingilia mtungo, unaambiwa hao watoto wanabaka mchana kweupe na watu wanashuhudia na polisi wanaona… ni haki yao kunyongwa
Hao sio watoto tena.Ni vijana Rika la miaka 17 hadi 35