Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Unakijua walichokuwa wanakifanya hao wa kuluna?Wahuni wa mtaani wanauawa unachekelea na kupongeza, Je wahuni wa serikalini mbona hausemi nao wauawe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakijua walichokuwa wanakifanya hao wa kuluna?Wahuni wa mtaani wanauawa unachekelea na kupongeza, Je wahuni wa serikalini mbona hausemi nao wauawe?
we ni mmoja wao si ndiyo?Wadudu wa Arusha ni lini wamevamia na kuua makumi ya watu mkuu?
1. WamebakaKubaka tu?!
Mimi nikafikiri mauaji na kupora mali.
nenda zako uko, unawatetea wenzako eehDuniani kote watoto wanalindwa why sababu they're vulnerable and naive, they're controlled by external forces, kama walikuwa wakora wao kama taifa na lina watu wazima wengi kuliko watoto, watoto hao ni zao la watu wazima ovyo. Tegemea huyo kiongozi kulipa huo udharimu wa kumwaga hiyo damu kama sio leo basi ni kesho.
Kwanini umewahusisha wadudu wa Arusha na hao wauaji wa Congo? Nini kimepelekea wewe kuwahusisha?Wadudu wa Arusha ni lini wamevamia na kuua makumi ya watu mkuu?
Wewe ilibidi kwanza mkeo akiwa mjamzito apasuliwe tumbo na hao kuluna, then kitoto kunyofolewa huko, then uje ukomentiDuniani kote watoto wanalindwa why sababu they're vulnerable and naive, they're controlled by external forces, kama walikuwa wakora wao kama taifa na lina watu wazima wengi kuliko watoto, watoto hao ni zao la watu wazima ovyo. Tegemea huyo kiongozi kulipa huo udharimu wa kumwaga hiyo damu kama sio leo basi ni kesho.
Hayo mazingira yaliyowabadilisha, hakukuwa na watoto wema wanaoishi mazingira hayo?Mkuu wao kama taifa wame fail hao watoto hawakuzaliwa wakiwa vibaka bali mazingira yamewa badirisha
Vyote wanafanya, hao watoto ni makatiliKubaka tu?!
Mimi nikafikiri mauaji na kupora mali.
Upo dunia gani wewe?Mambo kwaushahid leta video
Tanzania hapa Kuna Marais eti wanaogopa Kusini sheria hiyo matokeo yake wanazidi kulea uovu.Huko DRC vijana wahuni wa mtaani, wanaotishia amani Kwa kuvamia makazi na kuuwa raia, kubakia, kutoboa watu macho, kukata viungo vya watu hasa wanawake ,wazee na watoto, kuuwa mifugo, kuharibu mazao n k mjini Kinshasa, wamehukumiwa adhabu ya kifo
Waziri wa sheria bwana Mutamba, ambaye amekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii huko Kinshasa aliamuru vijana hao zaidi ya 200 kuuwawa na adhabu imetekelezwa
Watu ambao wamewahi kufika Kinshasa wamesema hakuna haja ya kuwahurumia, maana Kuluna Gang ni hatari sana DRC
Wakazi wa Kinshasa wanampongeza sana waziri Mutamba Kwa hukumu yake hiyo
Marekani na mataifa makubwa yamekaa kimya na kuonyesha kuunga mkono mauaji hayo ya Kuluna gang
Hapa kwetu Panya road na wadudu tunaowalea, nadhani tuige Congo
Hawa wahuni wanaweza baadae kuja kuwa kama Kuluna gang huko DRC
Vijana wameuliwa kikatili wamefungwa kwenye nguzo wamefungwa mikono alafu wamepangwa mstari wakalimwa shaba woteMambo kwaushahid leta video
Ukatili walioufanya hao vijana unaujua? Mmojawapo ni kuwapasua wajawazito matumbo..!!!Vijana wameuliwa kikatili wamefungwa kwenye nguzo wamefungwa mikono alafu wamepangwa mstari wakalimwa shaba wote
Video za somalia zile sio congoVijana wameuliwa kikatili wamefungwa kwenye nguzo wamefungwa mikono alafu wamepangwa mstari wakalimwa shaba wote
Hao wauawe na kutupwa mtoni, kusudi mamba na samaki zishibe.Vyote wanafanya, hao watoto ni makatili
Kwamba hakuna kitu kinapotea bure..!!Hao wauawe na kutupwa mtoni, kusudi mamba na samaki zishibe.
Mimi nafikiri watu wasiojulikana wanataka wawe wanateka na kupoteza wahalifu kama hawa, na siyo akina Maria Sarungi.1. Wamebaka
2. Wamechana wajawazito mitaani na vitoto vinavyotolewa tumboni vinatupwa huko
3. Wameuwa
4.Wametia watu vilema
5. Wameiba mali mbalimbali
Acha uongo wewe haijatekelezwa.Huko DRC vijana wahuni wa mtaani, wanaotishia amani Kwa kuvamia makazi na kuuwa raia, kubakia, kutoboa watu macho, kukata viungo vya watu hasa wanawake ,wazee na watoto, kuuwa mifugo, kuharibu mazao n k mjini Kinshasa, wamehukumiwa adhabu ya kifo
Waziri wa sheria bwana Mutamba, ambaye amekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii huko Kinshasa aliamuru vijana hao zaidi ya 200 kuuwawa na adhabu imetekelezwa
Watu ambao wamewahi kufika Kinshasa wamesema hakuna haja ya kuwahurumia, maana Kuluna Gang ni hatari sana DRC
Wakazi wa Kinshasa wanampongeza sana waziri Mutamba Kwa hukumu yake hiyo
Marekani na mataifa makubwa yamekaa kimya na kuonyesha kuunga mkono mauaji hayo ya Kuluna gang
Hapa kwetu Panya road na wadudu tunaowalea, nadhani tuige Congo
Hawa wahuni wanaweza baadae kuja kuwa kama Kuluna gang huko DRC
Video za somalia zile duh