Hukumu ya kifo Kwa vijana wa Kuluna Gang DRC iwe fundisho Kwa panya road

Hukumu ya kifo Kwa vijana wa Kuluna Gang DRC iwe fundisho Kwa panya road

Jaribu kwanza kufanya Content Analysis juu ya hicho nilichoandika. Maelezo yangu yapo sahihi kabisa.
1. Kuna taarifa za uhakika:

Ni kweli kabisa kwamba kuna taarifa za uhakika kwa sababu Kesi za Kukata Rufaa zimewasilishwa na Mawakili wa baadhi ya hao vijana waliohukumiwa na tayari zimepokelewa na zimesajiliwa na Mahakama tayari kwa kusikilizwa.
Je, sasa hao vijana waliokata Rufaa watanyongwaje ikiwa Kesi zao za Rufaa bado hazijasikilizwa??

2. Nafikiri:
Ni sahihi kwa sababu Waziri wa Katiba wa huko Congo DR ametoa taarifa za kuwanyonga Watu waliohukumiwa na Mahakama wakati tayari Watu hao baadhi yao tayari wamekata Rufaa ili kupinga Hukumu hiyo ya kuwanyonga.
Narudia, hapo kwenye haya;

1. Taarifa za uhakika

2. Nafikiri

kunaondoa maana nzima ya post yako. Hii ni kwasababu;

1. Hujaweka source ya hizo taarifa za uhakika

2. Inawezekana unachofikiri hakipo hivyo unavyofikiri wewe. This is just your opinion na hakuna kitu kinachotuonyesha kwamba ndo uhalisia.
 
Narudia, hapo kwenye haya;

1. Taarifa za uhakika

2. Nafikiri

kunaondoa maana nzima ya post yako. Hii ni kwasababu;

1. Hujaweka source ya hizo taarifa za uhakika

2. Inawezekana unachofikiri hakipo hivyo unavyofikiri wewe. This is just your opinion na hakuna kitu kinachotuonyesha kwamba ndo uhalisia.
Taarifa hizo nimezipata kutoka kwa Wahusika waliopo huko ambao baadhi yao wanashirikiana moja kwa moja na Mawakili wa Utetezi wanaowatetea familia za Waathirika wa mkasa huu. Aidha, Amnesty International kwa hivi Sasa wameamua kuingilia kati moja kwa moja na suala hili huko Zaire.

Aidha, siyo kila source ya taarifa inafaa kuwa disclosed kila mahali. No.

Kwa hiyo kabla ya kuchangia chochote kile humu mtandaoni jaribu kwanza kufanya utafiti wako kidogo
 
Kuluna DRC ni matokeo ya kufeli kwa mamlaka.
Hili ni tatizo kwa Africa yote, tunapenda Sana kudeal na tatizo na sio mzizi wa tatizo lenyewe.


Mbona hatusikii UAE, Kuwait, Qatar, UK, Uswisi, Germany, France, USA, Finland, Denmark, Norway nk vijana wakifanya haya matendo?
We unajua matukio ya UK na US vizuri kweli? Kuluna wanaweza kusubiri...... UAE hakuna mambo hayo kwasababu ya adhabu kali... Saudi wanachinja kabisa watu kama hao.
 
Hao walitakiwa kufungwa maisha gerezani,na wakiwa huko ndipo wangeuliwa kwa siri,sio huu unyama wa kutangaza hadharani kuwa tumeua ni makosa makubwa. Binadamu hata atende kosa gani hata aue lakini bado yeye ana haki ya kuishi. Hawa walitakiwa wahukumiwe jera maisha,kisha huko gerezani wawaue.
Sasa wakiuliwa kimya kimya wanaobaki wataogopaje?
 
sitetei uharifu na uhuni wa hawa vijana huko DRC LAKINI adhabu ya kifo ishafutwa na badala yake kifungo maisha ni adhabu stahiki. Nchi itaona namna gani itawafanya hawa watu, ikiwa ni pamoja na kuwaua kwa siri.
Ahaha mkuu hapana UKIUA nawewe TUNAKUUA ,hao jamaa walikuwa wakifanya uhalifu mchana kweupe kabisa.
 
Ni kweli kwamba Hukumu hiyo bado haijatekelezwa. Vijana hao bado hawajanyongwa isipokuwa wamehamishwa kutoka Kinshasa na wamepelekewa kwenye gereza lingine nje ya mji huo, gereza lenye ulinzi mkali zaidi na lenye mateso makali zaidi.

Aidha, kwa taarifa za uhakika zilizopo ni kwamba kabla ya vijana hao hawajahamishwa gereza, wapo baadhi ya vijana hao Mawakili wao tayari walishawasilisha Rufaa katika Mahakama za juu ili kupinga Hukumu hiyo. Katika msingi huu, hao vijana waliokata Rufaa automatically wanakuwa wamekosa sifa za kisheria za wao kuweza kunyongwa, Aidha, hata hao Wanyongaji nao wanakuwa hawana uhalali wowote ule wa kikatiba au wa kisheria wa kuweza kutekeleza Hukumu hiyo ya kuwanyonga hao vijana waliokata Rufaa kabla ya kusikilizwa kwa Rufaa zao Kwanza.


Nafikiri huyo Waziri wa Katiba wa huko Congo DR ametoa taarifa hiyo kwa umma kwa lengo maalumu la kuwatisha Vijana hao pamoja na kuwatisha Watu wengine waliopo uraiani ili wasiweze kufanya uhalifu mbaya kama huo, lakini ukichunguza kwa umakini Sana utagundua kwamba kiuhalisia Serikali ya Congo DR wala haitaweza kuwanyonga Watu wote hawa kwa idadi kubwa namna hiyo. Tangazo hilo la Waziri wa Katiba wa huko Congo DR ni Kama Serikali ya huko inajaribu kufanya Propaganda za Vitisho (Mind Control Tactics) ili kuwatuliza Watu hususani vijana wasiendelee kujihusisha na vitendo vya uhalifu kama hivyo.
Good analysis!
 
Nimewahusisha mimi au amewahusisha mleta mada?
Amesema Wadudu wa Arusha na Panya Road ni wahalifu, sasa nikamuuliza ni lini wadudu wa Arusha wamevamia na kuua?
Ngoja nirudi nione kwenye uzi kama kuna wadudu wa Arusha; nimeona panya road, hawa wanajulikana, hawana tofauti na hao chinja chinja wa Kinshasa
 
Hao walitakiwa kufungwa maisha gerezani,na wakiwa huko ndipo wangeuliwa kwa siri,sio huu unyama wa kutangaza hadharani kuwa tumeua ni makosa makubwa. Binadamu hata atende kosa gani hata aue lakini bado yeye ana haki ya kuishi. Hawa walitakiwa wahukumiwe jera maisha,kisha huko gerezani wawaue.
Wacha wengine waone ili iwe funzo.
 
Huko DRC vijana wahuni wa mtaani, wanaotishia amani Kwa kuvamia makazi na kuuwa raia, kubaka, kutoboa watu macho, kukata viungo vya watu hasa wanawake ,wazee na watoto, kuuwa mifugo, kuharibu mazao n k mjini Kinshasa, wamehukumiwa adhabu ya kifo

Waziri wa sheria bwana Mutamba, ambaye amekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii huko Kinshasa aliamuru vijana hao zaidi ya 200 kuuwawa na adhabu imetekelezwa

Watu ambao wamewahi kufika Kinshasa wamesema hakuna haja ya kuwahurumia, maana Kuluna Gang ni hatari sana DRC

Wakazi wa Kinshasa wanampongeza sana waziri Mutamba Kwa hukumu yake hiyo

Marekani na mataifa makubwa yamekaa kimya na kuonyesha kuunga mkono mauaji hayo ya Kuluna gang

Hapa kwetu Panya road na wadudu tunaowalea, nadhani tuige Congo
Hawa wahuni wanaweza baadae kuja kuwa kama Kuluna gang huko DRC
Hapa kwetu kuna gang moja tu la kuuwa, CCM.
 
Ngoja nirudi nione kwenye uzi kama kuna wadudu wa Arusha; nimeona panya road, hawa wanajulikana, hawana tofauti na hao chinja chinja wq Kinshasa
Haujasoma uzi mkuu, umesoma heading ya uzi peke yake ukakimbilia kwenye maoni ya wadau
20250119_121213.jpg
 
Taarifa hizo nimezipata kutoka kwa Wahusika waliopo huko ambao baadhi yao wanashirikiana moja kwa moja na Mawakili wa Utetezi wanaowatetea familia za Waathirika wa mkasa huu. Aidha, Amnesty International kwa hivi Sasa wameamua kuingilia kati moja kwa moja na suala hili huko Zaire.

Aidha, siyo kila source ya taarifa inafaa kuwa disclosed kila mahali. No.

Kwa hiyo kabla ya kuchangia chochote kile humu mtandaoni jaribu kwanza kufanya utafiti wako kidogo
Hakuna unachojua kuhusu serikali za Africa
Hakuna cha mawakili wala nini
Hao vibakwa washabanikwa
Hizo zote ni daganya toto
Hao ukiwaona niite mbwa
 
Mie wazo langu ni kuwa kishekedi kampanga dogo ili apate mwanya wa kuua wale waliotaka kumpindua. Kwani wangewafunga maisha bado ingefaa.
Hs
Hapa Home Makala nae aliwafyeka panya Road kimya kimya mpaka sasa hawapo mtaani. Uzi wa Panya Road uliwahi jadiliwa humu.
Makala alisema usipomuona mwanao nenda mochwari. Wakongo wao wameua kwa mpigo bongo walifyekwa kimya kimya. Kenya napo walikuwepo mungiki walifyekwa kimya kimya. Zamani walikuwepo komando yoso walifyekwa kimya kmya.
Magufuli nae alifyeka majambazi kimya kimya.Wahuni wa Kibiti walifyekwa kimya kimya.
SIO JAMBO GENI KUFYEKA WAHUNI WA MTAANI.
Wahuni sio waatu wazuri, wanagasi masiki wenzao hawaendagi kuiba kwa matajiri.
 
Mie wazo langu ni kuwa kishekedi kampanga dogo ili apate mwanya wa kuua wale waliotaka kumpindua. Kwani wangewafunga maisha bado ingefaa.
Hs
Hapa Home Makala nae aliwafyeka panya Road kimya kimya mpaka sasa hawapo mtaani. Uzi wa Panya Road uliwahi jadiliwa humu.
Makala alisema usipomuona mwanao nenda mochwari. Wakongo wao wameua kwa mpigo bongo walifyekwa kimya kimya. Kenya napo walikuwepo mungiki walifyekwa kimya kimya. Zamani walikuwepo komando yoso walifyekwa kimya kmya.
Magufuli nae alifyeka majambazi kimya kimya.Wahuni wa Kibiti walifyekwa kimya kimya.
SIO JAMBO GENI KUFYEKA WAHUNI WA MTAANI.
Wahuni sio waatu wazuri, wanagasi masiki wenzao hawaendagi kuiba kwa matajiri.
Kwa Africa kufata utaratibu wa mahakama ni ngumu
 
Mie wazo langu ni kuwa kishekedi kampanga dogo ili apate mwanya wa kuua wale waliotaka kumpindua. Kwani wangewafunga maisha bado ingefaa.
Hs
Hapa Home Makala nae aliwafyeka panya Road kimya kimya mpaka sasa hawapo mtaani. Uzi wa Panya Road uliwahi jadiliwa humu.
Makala alisema usipomuona mwanao nenda mochwari. Wakongo wao wameua kwa mpigo bongo walifyekwa kimya kimya. Kenya napo walikuwepo mungiki walifyekwa kimya kimya. Zamani walikuwepo komando yoso walifyekwa kimya kmya.
Magufuli nae alifyeka majambazi kimya kimya.Wahuni wa Kibiti walifyekwa kimya kimya.
SIO JAMBO GENI KUFYEKA WAHUNI WA MTAANI.
Wahuni sio waatu wazuri, wanagasi masiki wenzao hawaendagi kuiba kwa matajiri.
umeandika vyema,ila cha msingi ni kuwa wafyekwe kimyakimya. Sio kama matangazo ya bucha.
 
umeandika vyema,ila cha msingi ni kuwa wafyekwe kimyakimya. Sio kama matangazo ya bucha.
Wanafanya hivo ili makundi mengine ya kiharifu yaogope na yakome uharifu
 
Back
Top Bottom