Hukumu ya Sabaya inawasha taa nyekundu kwa Kesi ya Mbowe

Hukumu ya Sabaya inawasha taa nyekundu kwa Kesi ya Mbowe

... unajua ikoje? Iko hivi, ugaidi wa Mbowe ni kutaka kuwadhuru "viongozi" wa serkali; na kiongozi wa serikali anayetajwa kutaka kudhuriwa na "gaidi" Mbowe ni Ole Sabaya ambaye mahakama leo imeuthibitishia ulimwengu kwamba ni JAMBAZI LILILOKUBUHU na limekatiwa miaka 30 jela!

Sasa najiuliza, ugaidi wa Mbowe ulikuwa kulifanyia ugaidi jambazi tena jambazi lililotumia zana za moto? Jambazi lililojificha kwenye mwamvuli wa ukuu wa wilaya aka DC? Mbowe sio gaidi!
Unakera na hii comment yako, kwani ukipost mara Moja watu hawataona? Acha ujinga
 
Mme wewe subiri. Tumuombee sana.Mama Samia anaufuta upinzani kwa aina yake. Maana JPM aliwaibia kura. Sasa Samia atawajaza magereza.
Ni wangapi aliowajaza magerezani tangu aingie madarakani?
 
Dunia nzima inajua Mbowe sio gaidi hata ccm wenyewe wanafahamu mbowe sio gaidi
 
Kesi ya Mbowe haifiki December atakuwa huru.
CCM haina ubavu wa kumfunga Mbowe zaidi ya kumsumbua tu.
Anayesema Mbowe atafungwa maisha anaota,Mbowe anatuhumiwa kwa kula njama za kutenga ugaidi na siyo kwa kutenda ugaidi.Atafungwa maisha kwa kosa la kula njama?
Kwa kitu ambacho hakijatendeka?
Samia na kupelekeshwa kote na Sukuma gang hawezi fanya kosa la kumfunga Mbowe.
Alipoingia mahabusu mara ya kwanza mlikuja na shombo kama hizi, anamaliza siku 90 Sasa na maisha huku nje yanasonga poa tu! Endeleeni na shombo zenu
 
Acheni uoga na assumptions za kawaida, Subiri mahakama ifanye kazi yake
 
Mme wewe subiri. Tumuombee sana.Mama Samia anaufuta upinzani kwa aina yake. Maana JPM aliwaibia kura. Sasa Samia atawajaza magereza.
Japo kesi ya msingi haijaanza kusikilizwa, lakini mpaka hatua hii ambayo ndiyo ya muhimu sana, upande wa mashitaka kwa kutumia ushahidi walio nao, umeshindwa kufunua makosa ya Mbowe kupitia mshitakiwa wa kwanza tu....

Ni siasa, siasa, siasa chafu tu za ki CCM mpaka mahakamani....!
 
Kesi ya mbowe hakuna kitu. Kifupi ni madai ya kubumba kabisa yasiyo na ushahidi wa kutosha.
Huwa nashangaa kipindi kile IGP anasema watu watajua maovu ya mbowe ndio alimaanisha hizi ngonjera?
 
Kwani Mbowe asifungwe yeye nani haswa kwenye nchi hii, kama amefungwa Sabaya kutokana na Ushahidi basi hata Mbowe kama kuna ushahidi lazima achezee mvua za kutosha.
Sheria ni msumeno, tusione haki kufungwa Sabaya tu pia ikitokea Mbowe naye kafungwa kutokana na ushahidi basi tufahamu pia hiyo ni haki.
tuviache vyombo vyetu vya sheria vifanye kazi zake.
 
Mbowe hawezi kufungwa,hana kesi na siyo gaidi amini usiamini.
 
Ukweli NI kuwa hukumu na kesi ya sabaya ilivyoendeshwa inaonesha uhalisia wa utolewaji haki Tanzania.

Ila hukumu ya sabaya inamaana kubwa Sana kwenye kesi ya Mbowe. NI taa nyekundu kwake kwasababu.
1. Wapo watakaolazmisha na Mbowe apatwe na hatia ili tu kujustify na kuwafariji sg.
2. NI ishara ya vyombo vya Dola kuweza kutenda haki hivyo ajipange Sana kutoa ushahidi unaoeleweka na kutoamini ktk siasa kwenye kesi hizi.
3. Inaweza ikaupa nguvu ushaidi wa Mbowe na uhalali wa kuajili makomando ili ajihami na genge la sabaya linalosemekana lilishawahi kuivamia hoteli yake na yeye akiwepo na kwa ushaidi wa CCTV.

Ngoja tuone Ila Lazma Mbowe ajipange hukumu ya sabaya NI taa nyekundu kwake
Mbowe hatafungwa... Mark my words!
 
Unakera na hii comment yako, kwani ukipost mara Moja watu hawataona? Acha ujinga
... usinipangie cha ku-post humu! JF ingekuwa mali yako wengine tusingekuwa na haki kabisa humu!
 
Ukweli NI kuwa hukumu na kesi ya sabaya ilivyoendeshwa inaonesha uhalisia wa utolewaji haki Tanzania.

Ila hukumu ya sabaya inamaana kubwa Sana kwenye kesi ya Mbowe. NI taa nyekundu kwake kwasababu.
1. Wapo watakaolazmisha na Mbowe apatwe na hatia ili tu kujustify na kuwafariji sg.
2. NI ishara ya vyombo vya Dola kuweza kutenda haki hivyo ajipange Sana kutoa ushahidi unaoeleweka na kutoamini ktk siasa kwenye kesi hizi.
3. Inaweza ikaupa nguvu ushaidi wa Mbowe na uhalali wa kuajili makomando ili ajihami na genge la sabaya linalosemekana lilishawahi kuivamia hoteli yake na yeye akiwepo na kwa ushaidi wa CCTV.

Ngoja tuone Ila Lazma Mbowe ajipange hukumu ya sabaya NI taa nyekundu kwake
La muhimu ni uwepo wa ushaidi usiotia shaka na unaothibitisha makosa ya mshtakiwa + uendeshaji kesi na utoaji hukumu wenye kuzingatia sheria na haki.
 
Na siku Mbowe akila mvua uje ushangilie hivyohivyo
Maskini, unatia huruma! Andaeni mchango wa kuwalipa mawakili ili wamsaidie kukata rufaa! Naahidi shilingi milioni moja kwenye hilo! Hakuna siku Mbowe atafungwa Kwa kesi Ile! Mlizugwa mkazugika. Endelea kuomboleza ndugu kinu Cha kutwangia kisamvu!
 
... unajua ikoje? Iko hivi, ugaidi wa Mbowe ni kutaka kuwadhuru "viongozi" wa serkali; na kiongozi wa serikali anayetajwa kutaka kudhuriwa na "gaidi" Mbowe ni Ole Sabaya ambaye mahakama leo imeuthibitishia ulimwengu kwamba ni JAMBAZI LILILOKUBUHU na limekatiwa miaka 30 jela!

Sasa najiuliza, ugaidi wa Mbowe ulikuwa kulifanyia ugaidi jambazi tena jambazi lililotumia zana za moto? Jambazi lililojificha kwenye mwamvuli wa ukuu wa wilaya aka DC? Mbowe sio gaidi!
kujichukulia sheria mkononi ni
Kosa. Usimpige jambazi mpeleke polisi
 
Kufungwa kwa Sabaya ambaye ni shahidi muhimu sana kwenye kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni dalili za kuachiwa Mbowe kama siyo kushinda kesi ambayo ushahidi unaoneka ni wa kubumba hata kabla ya kusikilizwa....
 
This is Most boring, seems to be a technical, and of a little import to the general public

Ni nani ambaye amepokonywa haki hapa kama sio Wananchi wa Tanzania...,

Tunataka mtu asijilimbikizie Mali kwa vile tu ana watu na namna ya kuwageuzia wengine kibao wakateswa na Mamlaka pale anapoguswa.

Wengine wanadai Mabilioni eti waliaibishwa!!

Kwa hiyo Mfano Shangazi au Mjomba wakipata hayo Mabilioni Heshima ipi wataipata?
 
Back
Top Bottom