Hukumu ya Sabaya inawasha taa nyekundu kwa Kesi ya Mbowe

Hukumu ya Sabaya inawasha taa nyekundu kwa Kesi ya Mbowe

Ukweli NI kuwa hukumu na kesi ya sabaya ilivyoendeshwa inaonesha uhalisia wa utolewaji haki Tanzania.

Ila hukumu ya sabaya inamaana kubwa Sana kwenye kesi ya Mbowe. NI taa nyekundu kwake kwasababu.
1. Wapo watakaolazmisha na Mbowe apatwe na hatia ili tu kujustify na kuwafariji sg.
2. NI ishara ya vyombo vya Dola kuweza kutenda haki hivyo ajipange Sana kutoa ushahidi unaoeleweka na kutoamini ktk siasa kwenye kesi hizi.
3. Inaweza ikaupa nguvu ushaidi wa Mbowe na uhalali wa kuajili makomando ili ajihami na genge la sabaya linalosemekana lilishawahi kuivamia hoteli yake na yeye akiwepo na kwa ushaidi wa CCTV.

Ngoja tuone Ila Lazma Mbowe ajipange hukumu ya sabaya NI taa nyekundu kwake

Shule za Kata zinazalisha wajinga wengi ikiwemo wewe.
 
Mme wewe subiri. Tumuombee sana.Mama Samia anaufuta upinzani kwa aina yake. Maana JPM aliwaibia kura. Sasa Samia atawajaza magereza.

Anaweza kufuta chama kutokana na ulevi wa madaraka, ila sio upinzani. Chama chenyewe anachotumia kufuta upinzani ni hicho ccm chama cha kizazi kilichopita.
 
Ukweli NI kuwa hukumu na kesi ya sabaya ilivyoendeshwa inaonesha uhalisia wa utolewaji haki Tanzania.

Ila hukumu ya sabaya inamaana kubwa Sana kwenye kesi ya Mbowe. NI taa nyekundu kwake kwasababu.
1. Wapo watakaolazmisha na Mbowe apatwe na hatia ili tu kujustify na kuwafariji sg.
2. NI ishara ya vyombo vya Dola kuweza kutenda haki hivyo ajipange Sana kutoa ushahidi unaoeleweka na kutoamini ktk siasa kwenye kesi hizi.
3. Inaweza ikaupa nguvu ushaidi wa Mbowe na uhalali wa kuajili makomando ili ajihami na genge la sabaya linalosemekana lilishawahi kuivamia hoteli yake na yeye akiwepo na kwa ushaidi wa CCTV.

Ngoja tuone Ila Lazma Mbowe ajipange hukumu ya sabaya NI taa nyekundu kwake
Sijafurahia Sabaya Kula Mvua za kutosha lakini asingetoa utetezi wa ajabu namna Ile!!!...Mnapotoa reference muangalie aina za tuhuma (alitaka) na (alifanya) Sabaya alifanya na amekubali!!
 
Huwa ninakereka sana pale masuala ya kisheria yanajadiliwa kisiasa bila kutaja vifungu mahususi vya Sheria. Sheria siyo siasa.

Mambo ya ushahidi hayaamuliwi kwa hisia bali kwa mujibu wa maelezo ya kisheria
 
Kesi ya msingi haiwezi kusikilizwa kamwe maana madudu ya polisi na serikali yatazidi kumwagika hadharani.

Tena huenda Sabaya huyuhuyu alishiriki kwenye mchakato wa kuwatesa akina Adamoo.

Kumbuka mashahidi wa upande wa utetezi Sabaya yumo pia, na akina IGP.


Yajayo yanafurahisha sana.
 
Mi sijazungumzia Aina ya
Sijafurahia Sabaya Kula Mvua za kutosha lakini asingetoa utetezi wa ajabu namna Ile!!!...Mnapotoa reference muangalie aina za tuhuma (alitaka) na (alifanya) Sabaya alifanya na amekubali!!
kesi na ushaidi Ila siasa za kibongo kwenye vitu vya msingi
 
Kama mahakama zinafanya kazi zake kisiasa kwamba Jambazi Sabaya kafungwa basi ni lazima pia Mbowe afungwe basi WATAMFUNGA lakini kama wataangalia ushahidi husika Mbowe ná wenzie hawana kesi ya kujibu. Maandalizi ya Xmas watayafanya wakiwa HURU.

Ukweli NI kuwa hukumu na kesi ya sabaya ilivyoendeshwa inaonesha uhalisia wa utolewaji haki Tanzania.

Ila hukumu ya sabaya inamaana kubwa Sana kwenye kesi ya Mbowe. NI taa nyekundu kwake kwasababu.
1. Wapo watakaolazmisha na Mbowe apatwe na hatia ili tu kujustify na kuwafariji sg.
2. NI ishara ya vyombo vya Dola kuweza kutenda haki hivyo ajipange Sana kutoa ushahidi unaoeleweka na kutoamini ktk siasa kwenye kesi hizi.
3. Inaweza ikaupa nguvu ushaidi wa Mbowe na uhalali wa kuajili makomando ili ajihami na genge la sabaya linalosemekana lilishawahi kuivamia hoteli yake na yeye akiwepo na kwa ushaidi wa CCTV.

Ngoja tuone Ila Lazma Mbowe ajipange hukumu ya sabaya NI taa nyekundu kwake
 
Mme wewe subiri. Tumuombee sana.Mama Samia anaufuta upinzani kwa aina yake. Maana JPM aliwaibia kura. Sasa Samia atawajaza magereza.
Hali ikiendelea hivi na Samia naye atajikuta anapigwa pingu siku moja
 
Ukweli NI kuwa hukumu na kesi ya sabaya ilivyoendeshwa inaonesha uhalisia wa utolewaji haki Tanzania.

Ila hukumu ya sabaya inamaana kubwa Sana kwenye kesi ya Mbowe. NI taa nyekundu kwake kwasababu.
1. Wapo watakaolazmisha na Mbowe apatwe na hatia ili tu kujustify na kuwafariji sg.
2. NI ishara ya vyombo vya Dola kuweza kutenda haki hivyo ajipange Sana kutoa ushahidi unaoeleweka na kutoamini ktk siasa kwenye kesi hizi.
3. Inaweza ikaupa nguvu ushaidi wa Mbowe na uhalali wa kuajili makomando ili ajihami na genge la sabaya linalosemekana lilishawahi kuivamia hoteli yake na yeye akiwepo na kwa ushaidi wa CCTV.

Ngoja tuone Ila Lazma Mbowe ajipange hukumu ya sabaya NI taa nyekundu kwake
Kama Sabaya aliyeshiriki kindaki ndaki kuhakikisha upinzani Hai unapotea kafungwa, yaani Mbowe sijui kama atapona. Ila 2025 sijui kama kuna DC, RC au Mkurugenzi atatubeba CCM, hii mifumo ya kuiba kura inaenda kuisha na inawezekana sasa rushwa ikatamalaki zaidi, yaani mwenye kuweza kuwanunua wale wahesabu kura ndiye mshindi na siyo system tena ya viongozi bali mwenye kisu kikali. Hahahahaha Dkt Magufuli sijui kwanini alikufa mapema badala ya kumaliza miaka yake. Yaani inaonekana tutakuwa na hali mbaya sana maana waandamizi wa rais inaonekana wanamdharau Mama na wanafanya wanavyotaja
 
Mbowe atapigwa kifungo cha maisha. Too sad ila huo ndo ukweli.
Kwa msingi upi? Nadhani kuna watu wale wa kundi la primitive leader linataka kujifariji.

Mbowe hafanani hata kwa 0.1% na Sabaya. Unalinganisha jambazi na.mtu mwema? Mbowe atakuwa huru hivi karibuni, na waliombambikia kesi watajutia.

Tunzeni maneno yangu haya hata baada ya hukumu, maana kuna makubwa yatafuata baada ya hukumu.
 
... usinipangie cha ku-post humu! JF ingekuwa mali yako wengine tusingekuwa na haki kabisa humu!
Ni kweli, ujinga unaofanya wa kupost the same comment kwa kurudiarudia usingevumiliwa! Ianzishie thread basi
 
Back
Top Bottom