Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Unakera na hii comment yako, kwani ukipost mara Moja watu hawataona? Acha ujinga... unajua ikoje? Iko hivi, ugaidi wa Mbowe ni kutaka kuwadhuru "viongozi" wa serkali; na kiongozi wa serikali anayetajwa kutaka kudhuriwa na "gaidi" Mbowe ni Ole Sabaya ambaye mahakama leo imeuthibitishia ulimwengu kwamba ni JAMBAZI LILILOKUBUHU na limekatiwa miaka 30 jela!
Sasa najiuliza, ugaidi wa Mbowe ulikuwa kulifanyia ugaidi jambazi tena jambazi lililotumia zana za moto? Jambazi lililojificha kwenye mwamvuli wa ukuu wa wilaya aka DC? Mbowe sio gaidi!
Ni wangapi aliowajaza magerezani tangu aingie madarakani?Mme wewe subiri. Tumuombee sana.Mama Samia anaufuta upinzani kwa aina yake. Maana JPM aliwaibia kura. Sasa Samia atawajaza magereza.
Alipoingia mahabusu mara ya kwanza mlikuja na shombo kama hizi, anamaliza siku 90 Sasa na maisha huku nje yanasonga poa tu! Endeleeni na shombo zenuKesi ya Mbowe haifiki December atakuwa huru.
CCM haina ubavu wa kumfunga Mbowe zaidi ya kumsumbua tu.
Anayesema Mbowe atafungwa maisha anaota,Mbowe anatuhumiwa kwa kula njama za kutenga ugaidi na siyo kwa kutenda ugaidi.Atafungwa maisha kwa kosa la kula njama?
Kwa kitu ambacho hakijatendeka?
Samia na kupelekeshwa kote na Sukuma gang hawezi fanya kosa la kumfunga Mbowe.
Japo kesi ya msingi haijaanza kusikilizwa, lakini mpaka hatua hii ambayo ndiyo ya muhimu sana, upande wa mashitaka kwa kutumia ushahidi walio nao, umeshindwa kufunua makosa ya Mbowe kupitia mshitakiwa wa kwanza tu....Mme wewe subiri. Tumuombee sana.Mama Samia anaufuta upinzani kwa aina yake. Maana JPM aliwaibia kura. Sasa Samia atawajaza magereza.
Mimi huwa najizuia sana kujibu mtu wa CCM,wachache sana wana akili kwenye hicho chama.Alipoingia mahabusu mara ya kwanza mlikuja na shombo kama hizi, anamaliza siku 90 Sasa na maisha huku nje yanasonga poa tu! Endeleeni na shombo zenu
Mbowe hatafungwa... Mark my words!Ukweli NI kuwa hukumu na kesi ya sabaya ilivyoendeshwa inaonesha uhalisia wa utolewaji haki Tanzania.
Ila hukumu ya sabaya inamaana kubwa Sana kwenye kesi ya Mbowe. NI taa nyekundu kwake kwasababu.
1. Wapo watakaolazmisha na Mbowe apatwe na hatia ili tu kujustify na kuwafariji sg.
2. NI ishara ya vyombo vya Dola kuweza kutenda haki hivyo ajipange Sana kutoa ushahidi unaoeleweka na kutoamini ktk siasa kwenye kesi hizi.
3. Inaweza ikaupa nguvu ushaidi wa Mbowe na uhalali wa kuajili makomando ili ajihami na genge la sabaya linalosemekana lilishawahi kuivamia hoteli yake na yeye akiwepo na kwa ushaidi wa CCTV.
Ngoja tuone Ila Lazma Mbowe ajipange hukumu ya sabaya NI taa nyekundu kwake
... usinipangie cha ku-post humu! JF ingekuwa mali yako wengine tusingekuwa na haki kabisa humu!Unakera na hii comment yako, kwani ukipost mara Moja watu hawataona? Acha ujinga
La muhimu ni uwepo wa ushaidi usiotia shaka na unaothibitisha makosa ya mshtakiwa + uendeshaji kesi na utoaji hukumu wenye kuzingatia sheria na haki.Ukweli NI kuwa hukumu na kesi ya sabaya ilivyoendeshwa inaonesha uhalisia wa utolewaji haki Tanzania.
Ila hukumu ya sabaya inamaana kubwa Sana kwenye kesi ya Mbowe. NI taa nyekundu kwake kwasababu.
1. Wapo watakaolazmisha na Mbowe apatwe na hatia ili tu kujustify na kuwafariji sg.
2. NI ishara ya vyombo vya Dola kuweza kutenda haki hivyo ajipange Sana kutoa ushahidi unaoeleweka na kutoamini ktk siasa kwenye kesi hizi.
3. Inaweza ikaupa nguvu ushaidi wa Mbowe na uhalali wa kuajili makomando ili ajihami na genge la sabaya linalosemekana lilishawahi kuivamia hoteli yake na yeye akiwepo na kwa ushaidi wa CCTV.
Ngoja tuone Ila Lazma Mbowe ajipange hukumu ya sabaya NI taa nyekundu kwake
Maskini, unatia huruma! Andaeni mchango wa kuwalipa mawakili ili wamsaidie kukata rufaa! Naahidi shilingi milioni moja kwenye hilo! Hakuna siku Mbowe atafungwa Kwa kesi Ile! Mlizugwa mkazugika. Endelea kuomboleza ndugu kinu Cha kutwangia kisamvu!Na siku Mbowe akila mvua uje ushangilie hivyohivyo
Mungu atatufuta machozi kabla ya 2025 atapowachukua waovu.Mbowe atapigwa kifungo cha maisha. Too sad ila huo ndo ukweli.
kujichukulia sheria mkononi ni... unajua ikoje? Iko hivi, ugaidi wa Mbowe ni kutaka kuwadhuru "viongozi" wa serkali; na kiongozi wa serikali anayetajwa kutaka kudhuriwa na "gaidi" Mbowe ni Ole Sabaya ambaye mahakama leo imeuthibitishia ulimwengu kwamba ni JAMBAZI LILILOKUBUHU na limekatiwa miaka 30 jela!
Sasa najiuliza, ugaidi wa Mbowe ulikuwa kulifanyia ugaidi jambazi tena jambazi lililotumia zana za moto? Jambazi lililojificha kwenye mwamvuli wa ukuu wa wilaya aka DC? Mbowe sio gaidi!
Hakuna kitu hicho. Mnamuangalia kwa woga Samia ila muelewe kuwa Samia ni mtu anayeamini ipo siku ataulizwa kwa aliyoyafanya katika uongozi wake. Hatamuonea mtu.Mwenyewe naona kabisa Mbowe anaenda kufungwa kuhuni!!