Hukumu ya Sabaya inawasha taa nyekundu kwa Kesi ya Mbowe

hapo wote ni majambazi na walivunja sheria, hukuiona hiyo you coconut head
... umeanza kukubali Sabaya ni jambazi sio? Siku yaja utakubali tena kwa hiari yako Mbowe sio gaidi! Halafu usilete frustration zako humu wewe mpuuzi!
 
Beware with the offence of contempt of the court for interfering independence of judiciary.
 
Hivi kesi ya Mbowe siiwahishwe? tar. 19 mbali bana!!! Kama vipi irudiwe ilivutia kufatilia ujinga wa wale fulishi!! Naona mpaka wanataka kuibadili PGO maana iliwadhalilisha mbayambovu...
 
Wewe jamaa mnazi, yaani pamoja na kujiumauma kusko na akili kwa mashahid wa govenmentali bado Mbowe anakesi ya kujibu. Kivip yaani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…