Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Ccm haijawahi kuwapenda WaislamUnataka kusema nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm haijawahi kuwapenda WaislamUnataka kusema nini?
Nadhani wanaopaswa kuwa na utindio wa ubongo ni wale wanaoshindwa kutofautisha kati ya vyenye faida na visivyo na faida.Wooooooo....
Kiongozi wa CCM aliwapa jengo la TANESCO kuwa chuo kikuu chao mpaka leoHuwa nawashangaa Waislam wanaoishabikia ccm
Na hapa kwenye hizi bakshishi ndipo mtego ulipoKiongozi wa CCM aliwapa jengo la TANESCO kuwa chuo kikuu chao mpaka leo....
Hahahaaaa Makonda naye alikuwa muhubiri mzuri wakati fulani.Mheshimiwa Polepole akihubiri kuhusu mwisho wa Dunia na Kurudi Yesu mara ya pili.
No way out inabidi tuishi nazo tuWooooooo...
Yesu akija atamkuta amepiga kipepsi kwenye vieteee la kijani..hatari sanaHahahaaaa......... Makonda naye alikuwa muhubiri mzuri wakati fulani...
Hahahaaaa....... Kwani mbinguni hawaendi na V 8 bwashee?Yesu akija atamkuta amepiga kipepsi kwenye vieteee la kijani..hatari sana
Ya kijani yanaruhusiwa kuingia nayo. Sema sijui kama kuna petrol stationHahahaaaa....... Kwani mbinguni hawaendi na V 8 bwashee?
Hatuna akili kweli kama kitu chezea wametuchezea vya kutosha na hatujawafanya kituHivi CCM wanatufanya sisi wananchi hatuna akili?
Mzee amini huo ukristo wakoWooooooo...
Lakini ndani ya CCM kuna waislamu wengi sana. Hili unalisemea vipi?Ccm haijawahi kuwapenda Waislam
Wapo ila mfumo wa ccm ni mfumo Kristo. Hata BAKWATA wapo ccm kimaslahiLakini ndani ya CCM kuna waislamu wengi sana. Hili unalisemea vipi?
Na wewe uamini unachoamini, ila usiponde wanachoamini wengine, wakati kile unachokiamini na wanachoamini wengine, vyote ni Mambo ya wazungu.Mzee amini huo ukristo wako
Faida moja kuu ya dini, ni amani.Nadhani wanaopaswa kuwa na utindio wa ubongo ni wale wanaoshindwa kutofautisha kati ya vyenye faida na visivyo na faida.
Na elimu uliyonayo uachane nayo maana ni ya kujaHuwa nashangaa Sana kwa waafrika kukomaa na imani hizi za kuja
Fanyia mzaha mambo ya siasa nakushauri. Ila usilogwe kufanya mzaha katika mambo ya imani katika Mungu mmoja muumba mbingu na nchi na vitu vyite vilivyomo katika jina ka Yesu.Hahahaaaa......... Makonda naye alikuwa muhubiri mzuri wakati fulani.
Kwahiyo polepole anaamini bado miaka 20 anyakuliwe kwenda mawinguni kumlaki Bwana wetu Yesu Kristo.
Ajitahidi kutenda Haki miaka 22 iko jirani sana maana atakayevumilia hadi mwisho ndiye atakayeokoka!
Wasisi wa ccm na waislamu wamo pia na wote ndiyo waliounda mfumo huo. Sasa iweje waanze kuuchukia mfumo ambao wameshiriki kuunda?Wapo ila mfumo wa ccm ni mfumo Kristo. Hata BAKWATA wapo ccm kimaslahi