Humphrey Polepole alaani namna zoezi la kuondoa wamachinga linavyofanywa

Humphrey Polepole alaani namna zoezi la kuondoa wamachinga linavyofanywa


My take
1. Namuunga mkono kuhusu uhuni waliofanywa wamachinga, maana walipewa siku 12 za Ziada, kabla hazijaisha maeneo yao yakavamiwa usiku na kuvunjwa

2. Simuungi mkono kuhusu kumtetea Samia katika hili, Samia anahusika, kama angekuwa hahusiki viongozi wanaotekeleza hili zoezi wasingekuwa bold kufanya udhalimu huu, na angeusitisha
Kama raisi hahusiki kuamrisha wamachinga waondolewe kwa njia zozote kutoka katikati ya miji angekuwa ameshajitokeza kusimamisha zoezi lote na kuwajibisha watu.

Mbona wamachinga walipokuwa wakifukuzwa kutoka manispaa ya Morogoro alisitisha zoezi husika na mkuu wa wilaya na mkurugenzi walitenguliwa?

Mkuu wa wilaya ya Temeke aliingilia kati na kumkemea mkurugenzi wake lakini mkuu wa mkoa yeye alikuwa anafanya yeye mwenye kusisitiza kuondolewa.

Mkuu wa mkoa wa DSM na Mwanza hawakutumia busara katika utekelezaji wa zoezi la kuhamisha machinga.
 
Chakubanga analaumu nini mbona yeye aliwaambukiza.wadada wengi ukimwi Kwa makusudi akiwaahidi ubunge wa vitu maalum?
 
Kama raisi hahusiki kuamrisha wamachinga waondolewe kwa njia zozote kutoka katikati ya miji angekuwa ameshajitokeza kusimamisha zoezi lote na kuwajibisha watu.

Mbona wamachinga walipokuwa wakifukuzwa kutoka manispaa ya Morogoro alisitisha zoezi husika na mkuu wa wilaya na mkurugenzi walitenguliwa?

Mkuu wa wilaya ya Temeke aliingilia kati na kumkemea mkurugenzi wake lakini mkuu wa mkoa yeye alikuwa anafanya yeye mwenye kusisitiza kuondolewa.

Mkuu wa mkoa wa DSM na Mwanza hawakutumia busara katika utekelezaji wa zoezi la kuhamisha machinga.
Nakuunga mkono

Well said
 
Ni uonevu KILA mtza anayo haki ya kuwepo mahali popote apatakapo
 
Back
Top Bottom