Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Humphrey Polepole amesema hayo kupitia kipindi cha Shule ya Uongozi ambapo alisema ni kipindi kinachofanya kazi ya kusema ukweli, jambo ambalo linaendana na kauli maarufu ya Chama Cha Mapinduzi inayosema "Nitasema kweli daima, fitina kwangu ni mwiko".
Amesema wale watakaotaka kuruka na yeye kwenye mtandao wajue kwamba sio viongozi na wala hawapo katika mamlaka, kwa sababu yeye anafanya kazi nzuri ya kusema ukweli.
Amesema wale watakaotaka kuruka na yeye kwenye mtandao wajue kwamba sio viongozi na wala hawapo katika mamlaka, kwa sababu yeye anafanya kazi nzuri ya kusema ukweli.