Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humphrey Polepole amesema kuwa
"Mambo ya Machifu yanatusaidia nini kama taifa?nasema jambo hili sio jema,naliona linadhoofisha Utanzania wetu,likiendelea bila kukemewa litaibua tuliyoyazika ya hisia za ukabila, usisi na uwao, Mwalimu Nyerere aliona mbali kukataa haya mambo kwani yataligawa taifa"
View attachment 2104792
Unawagawanya kivipi? Au umeandika mradi umuunge mkono polepole?Uchifu unaleta mgawanyiko wa watanzania
Mbona hukuyasema haya wakati WA marehemu? Mbona ndiko ukabila ulishamiri? Ukitoka tutakupa bidhibiti jinsi ukabila ulivyo shamiri wakati WA Raisi aliye pita. Acha dharau,tunajua yakuuma Mama kuwa Raisi.Humphrey Polepole amesema kuwa
"Mambo ya Machifu yanatusaidia nini kama taifa?nasema jambo hili sio jema,naliona linadhoofisha Utanzania wetu,likiendelea bila kukemewa litaibua tuliyoyazika ya hisia za ukabila, usisi na uwao, Mwalimu Nyerere aliona mbali kukataa haya mambo kwani yataligawa taifa"
View attachment 2104792
Jibuni hoja ya PolepoleMbona hukuyasema haya wakati WA marehemu? Mbona ndiko ukabila ulishamiri? Ukitoka tutakupa bidhibiti jinsi ukabila ulivyo shamiri wakati WA Raisi aliye pita. Acha dharau,tunajua yakuuma Mama kuwa Raisi.
Na Polepole naHivi Tanzania mtu pekee aliyekuwa na akili timamu ni mwalimu pekee?
Mkuu, hoja si alifanya nn hoja Ni kuwa je uchifu upo?? Tujadili hoja, na manufaa yake tuache kujadili mtu, au mtoa hoja,... Na tabia ya the thinker hujadili hoja si mtu..Hua nashangaa sana wao muona kama malaika kwanza sera zake za ujamaa zimeharibu sana hili taifa kutuletea katiba ya hovyo iliyozaa wanafiki na kujipendekeza iliyoleta mzigo katika nchi uliona wapi muungano wa serikali 2 moja ikiwa kupe.
Kimsingi alifanya mazuri ila kuna mengi pia alifeli sana.
Ndio maana aliacha nchi ipo hohehahe.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa kuwa umeandika kiswahili fashaa kabisa, naamini u mtanzania halisi, Asante kwa mchango wako.. na hyo ndo matunda yake..Yaani huwa sielewi wanaomsifu kumbe kaacha nyumba za tembe tupu
Uchifu ni mambo ya kimila yasiyohusika na uongozi wa kiserikali,sasa yatalwta shida vipi wakati hadi kesho ndoa za kimila zinatambulika?Humphrey Polepole amesema kuwa
"Mambo ya Machifu yanatusaidia nini kama taifa?nasema jambo hili sio jema,naliona linadhoofisha Utanzania wetu,likiendelea bila kukemewa litaibua tuliyoyazika ya hisia za ukabila, usisi na uwao, Mwalimu Nyerere aliona mbali kukataa haya mambo kwani yataligawa taifa"
View attachment 2104792
Mkuu sijui Kama unalielewa neno mtemi, au umeliishi, ila ukifanya watu wakawa watemi ntakwambia Jambo 1 tu, tunarudi kwenye ukabila ambao haujawahi kushuhudiwa,Polepole akae kwa kutulia, Watemi ndio asili yetu waafrika huwezi uasili kwahiyo yeye hataki asili yetu mila na tamaduni zetu. Sio yeye huyu kipindi cha JPM alikua anasema tusiwasikilize mabeberu. Tutawakataache mabeberu kama na mila zetu tunazikataa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Polepole hana hoja ni malaya wa kisiasa tu kama malaya wa Corner Bar Sinza.Jibuni hoja ya Polepole
Nyinyi ndo mmechanganyikiwa! Nambie hapo ulipo chifu anawajibika nini kwako? Kama sio ujinga ujinga tu! Nafaida ya Chifu ni nini? Kutumia machifu kupata ushawishi wa kisiasa ni ujinga!Kachanganyikiwa
Humphrey Polepole amesema kuwa
"Mambo ya Machifu yanatusaidia nini kama taifa?nasema jambo hili sio jema,naliona linadhoofisha Utanzania wetu,likiendelea bila kukemewa litaibua tuliyoyazika ya hisia za ukabila, usisi na uwao, Mwalimu Nyerere aliona mbali kukataa haya mambo kwani yataligawa taifa"
View attachment 2104792
Kusifia kila kitu sio hoja! Je huyu bibi yenu kashindwa kusolve matatizo ya wananchi anajishikiza kwenye mambo yasiyo na tija ya uchifu!Opportunist tu
Mbona alikuwa anasifia kila kitu cha Magufuli?
Dada hasira za nnNyinyi ndo mmechanganyikiwa! Nambie hapo ulipo chifu anawajibika nini kwako? Kama sio ujinga ujinga tu! Nafaida ya Chifu ni nini? Kutumia machifu kupata ushawishi wa kisiasa ni ujinga!