Humphrey Polepole: Mambo ya machifu hayana msaada kwa taifa, yanaweza kuleta ukabila na mgawanyiko, yanapaswa kupingwa

Humphrey Polepole: Mambo ya machifu hayana msaada kwa taifa, yanaweza kuleta ukabila na mgawanyiko, yanapaswa kupingwa

Humphrey Polepole amesema kuwa

"Mambo ya Machifu yanatusaidia nini kama taifa?nasema jambo hili sio jema,naliona linadhoofisha Utanzania wetu,likiendelea bila kukemewa litaibua tuliyoyazika ya hisia za ukabila, usisi na uwao, Mwalimu Nyerere aliona mbali kukataa haya mambo kwani yataligawa taifa"

View attachment 2104792

If you attack a king, you must kill him…


Waenezi wa UVCCM mikoa wakuchora tuuu…. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Humphrey Polepole amesema kuwa

"Mambo ya Machifu yanatusaidia nini kama taifa?nasema jambo hili sio jema,naliona linadhoofisha Utanzania wetu,likiendelea bila kukemewa litaibua tuliyoyazika ya hisia za ukabila, usisi na uwao, Mwalimu Nyerere aliona mbali kukataa haya mambo kwani yataligawa taifa"

View attachment 2104792
Mbona hukuyasema haya wakati WA marehemu? Mbona ndiko ukabila ulishamiri? Ukitoka tutakupa bidhibiti jinsi ukabila ulivyo shamiri wakati WA Raisi aliye pita. Acha dharau,tunajua yakuuma Mama kuwa Raisi.
 
Mbona hukuyasema haya wakati WA marehemu? Mbona ndiko ukabila ulishamiri? Ukitoka tutakupa bidhibiti jinsi ukabila ulivyo shamiri wakati WA Raisi aliye pita. Acha dharau,tunajua yakuuma Mama kuwa Raisi.
Jibuni hoja ya Polepole
 
Hua nashangaa sana wao muona kama malaika kwanza sera zake za ujamaa zimeharibu sana hili taifa kutuletea katiba ya hovyo iliyozaa wanafiki na kujipendekeza iliyoleta mzigo katika nchi uliona wapi muungano wa serikali 2 moja ikiwa kupe.

Kimsingi alifanya mazuri ila kuna mengi pia alifeli sana.

Ndio maana aliacha nchi ipo hohehahe.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hoja si alifanya nn hoja Ni kuwa je uchifu upo?? Tujadili hoja, na manufaa yake tuache kujadili mtu, au mtoa hoja,... Na tabia ya the thinker hujadili hoja si mtu..
 
Humphrey Polepole amesema kuwa

"Mambo ya Machifu yanatusaidia nini kama taifa?nasema jambo hili sio jema,naliona linadhoofisha Utanzania wetu,likiendelea bila kukemewa litaibua tuliyoyazika ya hisia za ukabila, usisi na uwao, Mwalimu Nyerere aliona mbali kukataa haya mambo kwani yataligawa taifa"

View attachment 2104792
Uchifu ni mambo ya kimila yasiyohusika na uongozi wa kiserikali,sasa yatalwta shida vipi wakati hadi kesho ndoa za kimila zinatambulika?

Mbona kwenye uaposho wa Rais huwa tunaona wanahusika?
 
Polepole akae kwa kutulia, Watemi ndio asili yetu waafrika huwezi uasili kwahiyo yeye hataki asili yetu mila na tamaduni zetu. Sio yeye huyu kipindi cha JPM alikua anasema tusiwasikilize mabeberu. Tutawakataache mabeberu kama na mila zetu tunazikataa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijui Kama unalielewa neno mtemi, au umeliishi, ila ukifanya watu wakawa watemi ntakwambia Jambo 1 tu, tunarudi kwenye ukabila ambao haujawahi kushuhudiwa,

Kuilinda Amani Ni ghalama ndogo Sana kuliko kuipoteza na kuja kuitafuta.. [emoji10]
 
Ikupendeze Mhe. POLEPOLE, Mhenga mmoja wa Kuitwa Uncle JJ/ Kanumba aliwahi kunogesha msemo mmoja wa waneni kwamba "Ikivuma Sana... ikavuma Sana... Vuu... Vuu.. vuuu... Vuuu... HUPASUKA"
 
Humphrey Polepole amesema kuwa

"Mambo ya Machifu yanatusaidia nini kama taifa?nasema jambo hili sio jema,naliona linadhoofisha Utanzania wetu,likiendelea bila kukemewa litaibua tuliyoyazika ya hisia za ukabila, usisi na uwao, Mwalimu Nyerere aliona mbali kukataa haya mambo kwani yataligawa taifa"

View attachment 2104792

Perpendicular Na Mama Yenu! Huyu jamaa inabidi aondolewe Ccm!
 
Back
Top Bottom