Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sijakuelewa mkuuMkuu kwa kuwa umeandika kiswahili fashaa kabisa, naamini u mtanzania halisi, Asante kwa mchango wako.. na hyo ndo matunda yake..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa mkuuMkuu kwa kuwa umeandika kiswahili fashaa kabisa, naamini u mtanzania halisi, Asante kwa mchango wako.. na hyo ndo matunda yake..
Kwahiyo uchifu ni ujinga ila kuisigina katiba Ili Mwendazake atawale mpaka kiu yake iishe ni sawa?Nyinyi ndo mmechanganyikiwa! Nambie hapo ulipo chifu anawajibika nini kwako? Kama sio ujinga ujinga tu! Nafaida ya Chifu ni nini? Kutumia machifu kupata ushawishi wa kisiasa ni ujinga!
Huyu chizi?Na Polepole na
Nyinyi ndo mmechanganyikiwa! Nambie hapo ulipo chifu anawajibika nini kwako? Kama sio ujinga ujinga tu! Nafaida ya Chifu ni nini? Kutumia machifu kupata ushawishi wa kisiasa ni ujinga!
This is how low self esteem baadhi ya mabumunda kama wewe mlivyokuaHivi Tanzania mtu pekee aliyekuwa na akili timamu ni mwalimu pekee?
Mkuu na hicho ndicho nlikuwa nakiwaza kuwa u mtanzania halafu hujua faida ya kuwa na mwaasisi wa taifa hili la tz, faida 1 Ni lugha yaan kwa Sasa Kama kunaukombozi mkuu tulio nao Ni kuwasiliana Kama taifa kwa lugha ya kiswahili, umewahi kuwaza kuwa hlo Jambo lilitokeaje??[emoji15]Sijakuelewa mkuu
Lala dada angu Kuna mvuaThis is how low self esteem baadhi ya mabumunda kama wewe mlivyokua
Ready to insult everyone ili tu ujisikie kuwa hauko peke yako
Ukabila pia ujue hautambuliki kiserkali ila upo! Endelea kuunga mkono wewe unadhani kama vikabila vidogo hapa Tanzania si vitabaguliwa sana maana makabila makubwa yatahodhi ajira na nafasi nyeti kwa kubebana!Uchifu ni mambo ya kimila yasiyohusika na uongozi wa kiserikali,sasa yatalwta shida vipi wakati hadi kesho ndoa za kimila zinatambulika?
Mbona kwenye uaposho wa Rais huwa tunaona wanahusika?
Kichaa ni wewe na mama yako! Si nyie juzi hapa mlikuwa mnatoa mararamiko kuwa tunataka uhuru wa kutoa mawazo! Hiyo bibi yenu akikosolewa mnataka kufukuza chamani kila mtu!?
Dada ni wewe k..maDada hasira za nn
Kiswahili ndiyo Kimeleta maendeleo gani?Mkuu na hicho ndicho nlikuwa nakiwaza kuwa u mtanzania halafu hujua faida ya kuwa na mwaasisi wa taifa hili la tz, faida 1 Ni lugha yaan kwa Sasa Kama kunaukombozi mkuu tulio nao Ni kuwasiliana Kama taifa kwa lugha ya kiswahili, umewahi kuwaza kuwa hlo Jambo lilitokeaje??[emoji15]
Matusi tenaDada ni wewe k..ma
Sasa nyingi wenye akili mbona mmshindwa kubadili katiba hiyo mbaya? Miaka zaidi ya 20 Mwalimu Nyerere hayupo duniani wenye akili mmeshindwa kubadili hiyo katiba mbovu?Hua nashangaa sana wao muona kama malaika kwanza sera zake za ujamaa zimeharibu sana hili taifa kutuletea katiba ya hovyo iliyozaa wanafiki na kujipendekeza iliyoleta mzigo katika nchi uliona wapi muungano wa serikali 2 moja ikiwa kupe...
Kasome historia ya kiswahili nafikr Ni form 2 Kama sijakosea utaelewa mkuuKiswahili ndiyo Kimeleta maendeleo gani?
Mimi najua sana issue za machifu wengi! Ni uchawi,kafara ili kuwafurahisha machifu na mazimu! Ndo maana unasikiaga kila siku mauaji na kukatwa viungo ujue ni mambo ya kimila na ujifu a.k.a uchawi!Vile haya mambo yana imani zake pia ni muhimu kuzingatiwa.
Machifu wengi kwa imani zao walimwaga damu za watu walidhulumu sana watu, ile laana ipo inatembea.
Sometimes polepole anaongea ila tunamsagia