Humphrey Polepole, Musukuma na "Kakikundi" kao tunawatazama kwa makini sana!

Shukrani mmewafanyia nini wasukuma pumbavu nyie,wasukuma wanaendelea na maisha yao kama kawaida bila kelele nyie tu mnajishtukia kwa unafiki wenu,mama hana ushawishi ni empty set
Atawashuhurikia ipasavyo, hili kukomesha chuki zenu
 
Jamani acheni kumpaisha polepole.
Ni dhaifu hana impactiiiiii
 
Punguani vyombo vilikua vinaelekezwa kwenda kufanya dhuluma, kuiba,kuua,
Hata CDF hakufurahishwa na ushetani wa wakati ule sema amekaa mtu wa dini zaidi angeweza kumchomoa mshamba yule
 
Huyo magufuli aliye kuwa anawadanganya mchana halafu usiku anakopa? Hebu jiulize alikuta deni Tsh ngapi na akaliacha Tsh ngapi halafu uje useme hapa alikuwa hakopi au laa! kadanganya sana wajinga yule mzee
Bora aliyekopa akajenga barabara na madaraja, kuna watu walikopa zikaishia mifukoni mwao, RIP JPM.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Kama unataja akili kama za shetani mkuu uko sahihi,maana shetani mkuu aliweza kupiga chenga za kishetani na kufauli kuwa na himaya aloimiliki.
Kama jpm aliua, alipiga watu risasi,alihamishia mali chato, alileta ukabila,udini akaiba hela ktk akaunt za watu, akatenganisha koo, familia na ushenzi wote, I BEG TO BE WITH YOU, THE SUN OF LUCIPHER[emoji120]
 
Kwa hiyo tumerudi rasmi kwenye minyukano?! Mama weeee [emoji15]
 
Wafukuzeni tu Kama mna ubavu kuliko kila siku povu JF,mujumulisheni na Gwajiboy.
Halafu tutajua mizizi yenu ni mikoa ipi hasa.
 
Sikubaliani na pointi zako zote.Nianze na ya kwanza; Sio kazi ya mbunge kuishauri serikali katika day to day activities. Kazi kubwa ya mbunge ni kuwatetea wananchi dhidi ya maamuzi yoyote yanayoonekana kutokuwa na faida kwa wananchi. Serikali ndio inatakiwa kutetea maamuzi yake na hatua mbali mbali inazozichukua.
Kwa ushauri wako katika pointi ya kwanza, unawapoteza wabunge wetu wawe kama mbunge aliyeshauri serikali kuja na tozo za kuwaumiza wananchi.
 
Sukuma gang mmechanganyikiwa. Mmebakiza kuporomosha matusi tu.

Kazi inaendelea kwa kasi zaidi. Sasa hivi tunakwenda kujenga madarasa ya sekondari ELFU KUMI NA TANO. Nani kama mama?
Mkijenga ni jambo jema sana,kila la heri kwa hilo,shida maneno mengi vitendo sifuri yaani kama January Makamba😂😂😂
 
Humprey polepole na Josephat ( mrundi) ni adui wakubwa wa serikali ya awamu ya sita: Hawa watu wanakutana wanapanga pamoja ni wasemaji wa kundi linalopinga serikali kwa kila jambo
 
Jpm alifilisi nchi ndugu na kutufukakarisha tu. Daily nchi hii tajiri lakini watu wanazidi kuwa maskini na wala hajali kabisa. Ni kakpindi chake ndo hakuajiri kabisa na hakuongeza mishahara kabisa na hakutaka kusikia hilo halafu unasema nchi tajiri wakati watu wanazidi kuwa maskini. What a stupid stupendous
 
Humprey polepole na Josephat ( mrundi) ni adui wakubwa wa serikali ya awamu ya sita: Hawa watu wanakutana wanapanga pamoja ni wasemaji wa kundi linalopinga serikali kwa kila jambo
Polepole inatakiwa ashtakiwe kwa uhaini, ana Nia hovu na Nchi,

Serikali haraka inatakiwa imtie mkononi Polepole na msukuma, Wahaini hawa
 
Kuongoza nchi iliyo na idadi kubwa ya watu wajinga bhana nikazi Sana. Yani mtu kuwa na mitazamo tofauti tu tayari ni adui wa taifa?

Mleta mada akili zako nikama za kina mahita tu.

Spika wa bunge la Marekani alichana hutuba ya rais Trump na bado hakuchukuliwa Kama adui wa taifa, iweje leo watu kutoa mawazo yao na kuongea wanachokiamini wachukuliwe Kama maadui wa taifa.

Think beyond mkuu!!
 
Hao waimba mapambio wanataka kila mwananchi awe kasuku.
Hovyo kabisa
 
Hoja wanazo na pia naunga mkono haki ya kutoa maoni yao kwa uhuru na bila ya woga. Tuwapinge kwa woga.

Mimi nawachukia kwa unafiki wao tu. Ingalikuwa ni jambo linalowezekana, natamani katiba au sheria zetu ingekuwa zinakataza unafiki. Ni mojawapo ya matatizo makubwa zaidi yanayoturudisha nyuma kama nchi/taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…