Humphrey polepole na King msukuma figisu zenu za kumhujumu Rais Samia hazitawafikisha popote

Humphrey polepole na King msukuma figisu zenu za kumhujumu Rais Samia hazitawafikisha popote

Sasa hapa ndio ujiulizwe vizuri kwanini sasa na sio wakati ule...

Hakikisha unatengeneza hoja(majibu) zaidi ya moja arafu kwenye hizo hoja chagua hoja(jibu) moja iliyo sahihi zaidi, using'ang'anie upande mmoja.
Wakati ule alikuwa kwenye cheo hivyo asingeweza kukosoa kwa sababu siku zote mbwa mwenye mnofu mdomoni huwa hapigi kelele ila leo anakosoa na kubweka kwa sababu alinyang'anywa tonge mdomoni baada ya kupigwa chini kwenye ukatibu mwenezi.

Pili# polepole anasumbuliwa na superiority complex maana anajiona kuwa ndiye mtanzania pekee mwenye akili kuliko wengine na anafikiri amezaliwa kuwa kiongozi hadi kufa kwake

Kwa hoja hizo mbili utagundua He's fighting for his own political interests and not otherwise na njia pekee anayofikiri inaweza kumfanya atimize hayo malengo yake ni kuhakikisha Rais Samia anatoka madarakani ndo maana unaona anafanya anayoyafanya
 
Humphrey polepole na King msukuma hakuna asiyejua kuwa nyie ni miongoni mwa waliokuwa wanufaika wakuu wa utawala wa hayati Magufuli.

Ni katika kipindi hicho ambapo vijana tulipokuwa tukihoji masuala ya ajira mnatukebehi kwa maneno yaliyojaa kejeli na dharau kubwa

Nakumbuka wakati humphrey polepole ukiwa bado ni katibu mwenezi ulipoulizwa kuhusu suala la ajira ulisema serikali haiwezi kufanya kazi ya kuajiri tu hivyo vijana wajiajiri hata kwa kulima matikiti na nyanya.

Jambo la kushangaza baada ya Rais Samia kuingia madarakani ukapokonywa ukatibu mwenezi badala ya kujiajiri kwenye kilimo cha matikiti kama ulivyohamasisha vijana, unafanya harakati za kumpinga mheshimiwa Rais kwa sababu ya uchu wako wa madaraka. Mbaya zaidi vijana wale wale uliowaambia wajiajiri kwenye kilimo cha nyanya na matikiti ndio hao hao unataka wakuunge mkono kwenye hizo harakati zako uchwara za kumpinga Rais Samia. Je, unafikiri hili litawezekana au unapoteza muda wako bure tu?

Tukirudi kwa King Msukuma, huyu mara zote amekuwa ni adui wa wasomi hakuna asiyejua. kipindi chote cha hayati magufuli, Msukuma alikuwa na kazi ya kutukana wasomi tu hasa vijana walipokuwa wakiiomba serikali iwaajiri.

Lakini juzi kwenye sakata la RC Makalla na machinga, Msukuma huyu huyu anayetukana na kudharau wasomi anatoka na kujifanya kana kwamba anawatetea vijana wenye digrii waliojiajiri kwenye umachinga. Hapa ndipo najiuliza, hii huruma anayoionyesha Msukuma kwa vijana imeanza lini?. Sio unafiki huu?. Mbona wakati wa magufuli hakuwatetea zaidi ya kuwatukana na kuwafedhehesha?..

Hata hivyo vijana wanajitambua, hivyo humphrey na king msukuma kama mnafikiri mnaweza kuwatumia vijana hawa hawa mliowadhalilisha kipindi cha awamu ya tano kama madaraja ya kufanikisha maslahi yenu binafsi ya uchu wa madaraka kwa kumkwamisha na kumfitinisha Rais Samia tambueni kwamba mnapoteza muda wenu bure kwani hakuna kijana mwenye akili timilifu atawaunga mkono. Hivyo basi, kubalini kwamba zama zenu za kula mema ya nchi zimeshapita, mwacheni Rais afanye kazi yake maana fitina zenu kwake hazitawafikisha popote.
Wewe ndio unataka kuwachonganisha Polepole na Msukuma kwa Mama. Hautafanikiwa! POLEPOLE NA MSUKUMA NI MAJEMBE YA CCM!!
 
Humphrey polepole na King msukuma hakuna asiyejua kuwa nyie ni miongoni mwa waliokuwa wanufaika wakuu wa utawala wa hayati Magufuli.

Ni katika kipindi hicho ambapo vijana tulipokuwa tukihoji masuala ya ajira mnatukebehi kwa maneno yaliyojaa kejeli na dharau kubwa

Nakumbuka wakati humphrey polepole ukiwa bado ni katibu mwenezi ulipoulizwa kuhusu suala la ajira ulisema serikali haiwezi kufanya kazi ya kuajiri tu hivyo vijana wajiajiri hata kwa kulima matikiti na nyanya.

Jambo la kushangaza baada ya Rais Samia kuingia madarakani ukapokonywa ukatibu mwenezi badala ya kujiajiri kwenye kilimo cha matikiti kama ulivyohamasisha vijana, unafanya harakati za kumpinga mheshimiwa Rais kwa sababu ya uchu wako wa madaraka. Mbaya zaidi vijana wale wale uliowaambia wajiajiri kwenye kilimo cha nyanya na matikiti ndio hao hao unataka wakuunge mkono kwenye hizo harakati zako uchwara za kumpinga Rais Samia. Je, unafikiri hili litawezekana au unapoteza muda wako bure tu?

Tukirudi kwa King Msukuma, huyu mara zote amekuwa ni adui wa wasomi hakuna asiyejua. kipindi chote cha hayati magufuli, Msukuma alikuwa na kazi ya kutukana wasomi tu hasa vijana walipokuwa wakiiomba serikali iwaajiri.

Lakini juzi kwenye sakata la RC Makalla na machinga, Msukuma huyu huyu anayetukana na kudharau wasomi anatoka na kujifanya kana kwamba anawatetea vijana wenye digrii waliojiajiri kwenye umachinga. Hapa ndipo najiuliza, hii huruma anayoionyesha Msukuma kwa vijana imeanza lini?. Sio unafiki huu?. Mbona wakati wa magufuli hakuwatetea zaidi ya kuwatukana na kuwafedhehesha?..

Hata hivyo vijana wanajitambua, hivyo humphrey na king msukuma kama mnafikiri mnaweza kuwatumia vijana hawa hawa mliowadhalilisha kipindi cha awamu ya tano kama madaraja ya kufanikisha maslahi yenu binafsi ya uchu wa madaraka kwa kumkwamisha na kumfitinisha Rais Samia tambueni kwamba mnapoteza muda wenu bure kwani hakuna kijana mwenye akili timilifu atawaunga mkono. Hivyo basi, kubalini kwamba zama zenu za kula mema ya nchi zimeshapita, mwacheni Rais afanye kazi yake maana fitina zenu kwake hazitawafikisha popote.
Nchi ikijaa chawa ,kama ww hatuwezi kutoboa.Kwa kuwa tunaangalia uteuzi tu.
 
NB:samahani kama nitakukwaza.
Pengine huyo msukuma ni bora sana kuliko wewe unae jiona mjuaji wakati umejificha nyuma ya kibodi.
huyo unae mdharau kumbuka ana nafasi kwenye bunge la jamuhuri., na anashiriki kutengeneza sheria na utazifuata tu utake ustake, mfamo tozo.
sidhani kama ni ujanja kumdharau mtu anae fahamika na jamii na pengine anakuzidi kila kitu.
Kuwa bungeni ndio kunaonesha ubora wa mtu?! Hivi huko mashuleni mlienda somea ujinga !!!??
 
Humphrey polepole na King msukuma hakuna asiyejua kuwa nyie ni miongoni mwa waliokuwa wanufaika wakuu wa utawala wa hayati Magufuli.

Ni katika kipindi hicho ambapo vijana tulipokuwa tukihoji masuala ya ajira mnatukebehi kwa maneno yaliyojaa kejeli na dharau kubwa

Nakumbuka wakati humphrey polepole ukiwa bado ni katibu mwenezi ulipoulizwa kuhusu suala la ajira ulisema serikali haiwezi kufanya kazi ya kuajiri tu hivyo vijana wajiajiri hata kwa kulima matikiti na nyanya.

Jambo la kushangaza baada ya Rais Samia kuingia madarakani ukapokonywa ukatibu mwenezi badala ya kujiajiri kwenye kilimo cha matikiti kama ulivyohamasisha vijana, unafanya harakati za kumpinga mheshimiwa Rais kwa sababu ya uchu wako wa madaraka. Mbaya zaidi vijana wale wale uliowaambia wajiajiri kwenye kilimo cha nyanya na matikiti ndio hao hao unataka wakuunge mkono kwenye hizo harakati zako uchwara za kumpinga Rais Samia. Je, unafikiri hili litawezekana au unapoteza muda wako bure tu?

Tukirudi kwa King Msukuma, huyu mara zote amekuwa ni adui wa wasomi hakuna asiyejua. kipindi chote cha hayati magufuli, Msukuma alikuwa na kazi ya kutukana wasomi tu hasa vijana walipokuwa wakiiomba serikali iwaajiri.

Lakini juzi kwenye sakata la RC Makalla na machinga, Msukuma huyu huyu anayetukana na kudharau wasomi anatoka na kujifanya kana kwamba anawatetea vijana wenye digrii waliojiajiri kwenye umachinga. Hapa ndipo najiuliza, hii huruma anayoionyesha Msukuma kwa vijana imeanza lini?. Sio unafiki huu?. Mbona wakati wa magufuli hakuwatetea zaidi ya kuwatukana na kuwafedhehesha?..

Hata hivyo vijana wanajitambua, hivyo humphrey na king msukuma kama mnafikiri mnaweza kuwatumia vijana hawa hawa mliowadhalilisha kipindi cha awamu ya tano kama madaraja ya kufanikisha maslahi yenu binafsi ya uchu wa madaraka kwa kumkwamisha na kumfitinisha Rais Samia tambueni kwamba mnapoteza muda wenu bure kwani hakuna kijana mwenye akili timilifu atawaunga mkono. Hivyo basi, kubalini kwamba zama zenu za kula mema ya nchi zimeshapita, mwacheni Rais afanye kazi yake maana fitina zenu kwake hazitawafikisha popote.
Kufitinisha!!!?
au wanatoa maoni yao......
kuwa mkubwa blaza inchi ya kidemkrasia hii...
watu wana haki ya kutoa maoni na mitazamo yao.......
Ama unataka kuwapangia cha kusema!!?
 
Vyote ongeeni ila Pole pole ni Kinyonga wa hali hali ya juu sana. Take reference Kwenye katiba mpya nyakat zile.pili Angalieni Siasa chafu ya kununua wanasiasa!!

HUYU MTU WENGINE TULISHAMPUUZA KITAMBO..NI NJAA HUA ZNAONGEA SIO yeyeee!!Mama apige kazi kadri ya utashi wake mana niwakati wake!!
Katika vitu alivyoshangaza Polepole ni kukubali uteuzi wa ukuu wa wilaya, cheo ambacho alikuwa anakilaani kila apitapo, mnafiki sana jamaa
 
Kufitinisha!!!?
au wanatoa maoni yao......
kuwa mkubwa blaza inchi ya kidemkrasia hii...
watu wana haki ya kutoa maoni na mitazamo yao.......
Ama unataka kuwapangia cha kusema!!?
Kwanini awamu hii?

Mbona awamu ya 5 walikuwa kimya hatukusikia wakitoa hayo maoni zaidi ya kumsifia JPM hata alipokuwa akitenda maovu?

AU kwakuwa Samia ni mwanamke hivyo wanamdharau kwamba hawezi kuwafanya chochote?
 
Back
Top Bottom