OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
ila ni sahihi kwa CCM kutoheshimu chaguo la wananchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Tundu na Zitto hawakumsikiliza Membe, tena walimpuuza na kumdhalilisha
Anaongea utadhani amekatika kichwa majimbo waliogombea wanawake waupinzani kulijaa kura bandia lakini sikumsikia akipiga kelele wasaidiwe alikuwa anachekelea sasa leowamebadilika nini ukiona mpinzani wako anakutakia jambo fulani ulifanye tambua anatafuta nafuu kupitia wewe utumike kama daraja au ngazi yakupandia akitoka huko aje akusimange kuwa makini
Tutawapa translation yote, upepe ukitulia! Sema mwamba Lisu Yupo huko huko, hata tukikodoaje macho, atawaambia tu ukweli!sasa trilion 2 za mabeberu itakuwaje au hawajajua kinachoendelea huku ?
Nafasi tumemwachia nae awe viti maalum
Ingekuwa hivyo toka azimio la Beijing, leo hii si mgekuwa mmeshalimaliza hilo?!! Acheni kujitoa akili!! Kwa hili la bawacha inshu sio wanawake bali ni utaratibu ulifuatwa? Naona kama mnaanza kubadirisha mada!!!Kama taifa tumepiga hatua sana kwenye haki na usawa wa kijinsia. Ni muhimu kila taasisi nchini ikahakikisha haturudi nyuma kwenye hilo.
Haki za wanawake na kuwajengea wanawake uwezo ni ufunguo wa maendeleo shirikishi.
Kwani na wewe unuataka uenyekiti wa Bawacha?Hata Tundu na Zitto hawakumsikiliza Membe, tena walimpuuza na kumdhalilisha
Na wanawake wenyewe tayari wamejiheshimisha, basi waheshimiwe
Hata wanaume akina Membe walistahili kusikilizwa.
Hata Tundu na Zitto hawakumsikiliza Membe, tena walimpuuza na kumdhalilisha
🤔🤔🤔Kwani na wewe unuataka uenyekiti wa Bawacha?
Heshima inaanzia katika utaratibu wa kupata hizo nafasi, na unapo pora nafasi ndio chanzo cha kujivunjia heshima.
hadi mzee Mangula kutiliwa sumuHoja ni utaratibu ufuatwe tu kama unavyoelekeza ukienda kinyume wewe ni muasi
Halafu Polepole mbona hizi hekima hakuzifuata kwa Membe mpk wakamfukuza kisa tu kuonyesha nia jambo ambalo siyo baya?