Humphrey Polepole: Natoa rai kwa vyama vya siasa kuheshimu nafasi wanazopewa Wanawake

Humphrey Polepole: Natoa rai kwa vyama vya siasa kuheshimu nafasi wanazopewa Wanawake

Unaweza usiamni lakini ukweli ndio huo. Dunia inakimbia mbio ajabu! wakati "namba moja" akisema wapinzania walichelewesha sana maendeleo na Mangula akisema lazima waufute 2020 (REJEA habari hii: Mangula: CCM itafuta upinzani uchaguzi mkuu 2020)

leo naona wa CCM wanawalilia kwa machozi wabunge 19 wa CHADEMA, hawataki kuona wanafukuzwa uanachama, wanawatetea, jamani kulikoni? Yaani mnaulilia upinzani mapema hivi? si mngesubiri hata mwaka mmoja tu?

Maendeleo hayana vyama
 
Hahaha maana ni mambo ya haja ni muhimu t2 kila mwaka kwa miaka mitano t10 akili hazina akili
 
Kuna watu wanaongozwa na principle kuu za upumbavu.

MATAGA ilipokuwa Oktoba: "wabunge wa Chadema ni wapinga maendeleo, wasumbufu bungeni afadhali hawapo na bunge litakuwa live"

MATAGA ilipofika November: "Tunawapongeza wabunge wa Chadema kuonesha uzalendo kwenda kuapishwa. Sasa tuchape kazi"

MATAGA/UVCCM ubongo wao ni 'ki WONDER' cha kuchakata upumbavu duniani
 
Ushafutika huo, tunachosubiri sasa ni mazishi.....! Na kusahaulika kbs. Pole sana CDM.
 
neno wanawake linatumika as if ni viumbe dhaifu,wakati ni makamanda ,..nyie vipi?lol
 
Mbona MEMBE hamkumpa nafasi ya kusikilizwa,Tena alifukuzwa na mtu mmoja tu ,na siyo kamati.
Mkuu kwa hili umechemsha. Nenda kapitie upya vyanzo vyako vya habari. Ukiifanya Jf ndo chanzo chako kikuu cha habari, matokeo yake unaweza kuleta habari km hii.
 
Unaweza usiamni lakini ukweli ndio huo. Dunia inakimbia mbio ajabu! wakati "namba moja" akisema wapinzania walichelewesha sana maendeleo na Mangula akisema lazima waufute 2020 (REJEA habari hii: Mangula: CCM itafuta upinzani uchaguzi mkuu 2020)

leo naona wa CCM wanawalilia kwa machozi wabunge 19 wa CHADEMA, hawataki kuona wanafukuzwa uanachama, wanawatetea, jamani kulikoni? Yaani mnaulilia upinzani mapema hivi? si mngesubiri hata mwaka mmoja tu?

Maendeleo hayana vyama
Wana CCM wanajali maslahi mapana ya taifa
 
Mwendawazimu mkubwa huyu! Hivi huyo mwanamke waliyekuwa wamemweka mahabusu siku 133 bila kesi, ndiyo walikuwa wamempa nafasi huko gerezani? Huko ndiko kuheshimu nafasi wanazopewa wanawake?

Vichaa huwa wapo kila sehemu, lakini cha ajabu kwa Tanzania, vichaa wamepewa madaraka makubwa CCM!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Asiyejua maana Haambiwi maana". Bashiru na Polepole , mumefanya manyago hayasemeki kwa ujuaji wenu, munafikiri watz wajinga au madaraka yamewaponza.
 
Eti polepole anavishauri vyama! Si yeye kawaita corona,misulule.mmeengua wagombea mmeiba kura nk kwanini kuwawaza cdm?
 
Back
Top Bottom