Humphrey Polepole upepo wa kisasi unakuandama. Chunga sana, Mungu ndio anakulipa hivyo

Huyo anatakiwa kupigwa na kitu kizito ,aache upumbavu kabisa ....
 
Wapambe, walinzi, chawa, viroboto, wahuni, wageni, etc ni maneno yalopata kutumika sana wiki jana na wiki hii yatatumika pia

hata vikombe kwenye sinia hugongana, vingine kuvunjika na vingie kuwa na mapengo na vingine kukwaruzika na vingine kubaki ka vilivyokuwa... tuendelee kula popcorn
 
Awamu ya 5 hakuwa na muda

Alikuwa na muda wa kupanga namna kununua watu, kufunga watu midomo, kutuma wasiojulikana kuumiza watu, kutesa na kuuwa watu ndo alikuwa busy kufanya hayo,

Angekuwa mwenye haki alipoona watu wanaonewa angepaza sauti kutetea, sasa ameachwa pembeni anaona mkuki ulivyo mchungu!!

Hatutaonea WANAFIKI huruma, akale alipopeleka mboga,
 
Bichwa lako halina kitu. Polepole anaongelea nadharia ya vitabu na mustakabali wa bara la africa na Tanzania, yaani ni sawa na wewe kujisomea hicho kitabu.
 
Acha kutumia jina LA Mungu kipuuzi, HV polepole kamuuzi Mungu kuliko wengi wasio na matatizo hayo. Usichukue vipimo vya mwanadamu ukafananisha na vya Mungu.
 
Bichwa lako halina kitu. Polepole anaongelea nadharia ya vitabu na mustakabali wa bara la africa na Tanzania, yaani ni sawa na wewe kujisomea hicho kitabu.
Alitakiwa atoe yote hayo kipindi cha mwendazake, wakati wa utesaji wa watu, acha aonje joto ya jiwe!!

Kila mtu ashinde mechi zake bana!!!
 
Andiko lako ni zuri ila sasa unaharibu unapoanza kuziingiza Castle lite na Serengeti kwenye mambo ya kipumbavu(samahani kwahii lugha). Ila umeikosea sana Castle lite na Serengeti broo


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Wazee WA Bia Tamu mnisamehe asee
 
Awamu ya 5 hakuwa na muda


πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Ati anazibwa mdomo πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Hivi anajua anachokisema???

Awaulize CHADEMA maana ya kuzibwa mdomo apate shule.

Wenzake hata hizo press zake zisingeruhusiwa,
Hicho kipindi chake cha shule ya uongozi wala kisingekuwa hewani.

Au amesahau wenzake namna wanavyozibwa mdomo na kujikuta Korokoroni Kwa kesi za usumbufu??
 
Hakuna anayeweza kumsikiliza pole pole.labda anayejitoa ufahamu.
Mama nae kapooza Sana.
Alitakiwa aanze na huyu.
Wampeleke hata hapo mabwe pande.akaonje maumivu ya mashujaa wa kukosoa serikali.
 
Hakuna anayeweza kumsikiliza pole pole.labda anayejitoa ufahamu.
Mama nae kapooza Sana.
Alitakiwa aanze na huyu.
Wampeleke hata hapo mabwe pande.akaonje maumivu ya mashujaa wa kukosoa serikali.


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Ati anazibwa mdomo!!

Wenzake hata hizo press zake hawapewagi nafasi.

Hata hicho kipindi chake kingezuiwa na sasa hivi angepaswa awe na kesi ya uchochezi Kama walivyokuwa wanafanywa wazibwa midomo
 
Bichwa lako halina kitu. Polepole anaongelea nadharia ya vitabu na mustakabali wa bara la africa na Tanzania, yaani ni sawa na wewe kujisomea hicho kitabu.


Hizo nadharia ndio alipaswa azionyeshe wakati akiwa kiongozi lakini akashindwa.

Alikaa kimya wakati wengine wakitekwa na kuuawa,
Alikaa kimya wengine wakizibwa mdomo na kupewa kesi za hapa na pale.
Leo anatoa shule ipi sasa??

Hiyo shule awafundishe watoto wake inatosha
 
[emoji3][emoji3][emoji3]

Ati anazibwa mdomo!!

Wenzake hata hizo press zake hawapewagi nafasi.

Hata hicho kipindi chake kingezuiwa na sasa hivi angepaswa awe na kesi ya uchochezi Kama walivyokuwa wanafanywa wazibwa midomo
Kama sikuwepo utawala wa polepole kipindi kile akiwa CCM nitamuamini.
Awalaghai ambao hawakuwepo.
Ujue anaweza akawa anaongea vitu vya maana.
Tatizo tayari alishachafuka.
Alafu watu bado hatujasahau.
Alijitoa Sana ufahamu mpaka akapachikwa pale CCM akawa kiongozi.leo katolewa anaanza maneno maneno.
Nani atamuamini?
 


Na hiyo ndio sababu anakosa uhalali.

Yeye anashangaa kuzibwa mdomo wakati huu wakati awamu ya tano yote watu walizibwa mdomo Kwa maumivu makali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…