Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Huyu hapa.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani serikali ya Mama Samia ina mapungufu mpaka mseme hivyo? Mbona Mama yeye hana shida. Yaani umeme ukatike mnataka watu tuone sawa? Yaani wezi na mafisadi wajitambe na tena wakijisifu kwa kukamilisha misheni ya kumuua Dkt Magufuli mnataka tunyamaze?Muosha uwoshwa
Mbona wakati wao walikuwa hawataki kupingwa
Ajaribu kuheshimu mamlaka
Ova
Muosha uwoshwa hiyoooHizo nadharia ndio alipaswa azionyeshe wakati akiwa kiongozi lakini akashindwa...
Na ndio alichofanya huyo ChakubangaPolepole amejiibia mwenyewe TV, na kujivurugia mari nyinginezo Kisha akaandika ujumbe kwenye kijikaratasi et acha kuicrash awamu ya SSH, Kama natania chukueni karatasi lenye ujumbe mpeleke polisi Kama majibu hayatasema ni mwandiko wa polepole!
Hizi ndo siasa za CCM, Polepole anajua vizur!
Mbona mlinyamaza wengine wakiuawa na kufanywa vilema?Kwani serikali ya Mama Samia ina mapungufu mpaka mseme hivyo? Mbona Mama yeye hana shida. Yaani umeme ukatike mnataka watu tuone sawa??? Yaani wezi na mafisadi wajitambe na tena wakijisifu kwa kukamilisha misheni ya kumuua Dkt Magufuli mnataka tunyamaze?????
Mkuu Lisu alipigwa lisasi na wachonganishi, hata akina ben n.k., serikali isingeweza kufanya hayo yote. Haya hata kama mnafuraha je Mama si ndiye alikuwa msaidizi wa Dkt Magufuli? Yaani unajua ninyi uwezo wenu ni mdogo sana kiakili, yaani vichwani mwenu ni makapi, tulitegemea mjikite kwenye issue lakini akili zenu zilivyo na uelewa mdogo mnaendelea kushambulia watu na kuwaona ndiyo wabaya wenu badala ya kuungana kujadili mambo yanayoleta tija kwa taifa letuMbona mlinyamaza wengine wakiuawa na kufanywa vilema?
Wakati Tundu Lisu akipigwa RISASI ulimsikia Polepole au hata wewe ukiongea wenyewe uliongea?
Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe.
Kuongea ni Haki yako lakini usiwe mbinafsi na mnafiki.
Tunachokizungumzia hapa ni Ubinafsi na unafiki WA wewe na POLEPOLE.
Umenena !!HUMPHREY POLEPOLE UPEPO WA KISASI UNAKUANDAMA. CHUNGA SANA. MUNGU ANAKULIPA.
Kwa Mkono wa Robert Heriel
Kisasi kisasi! Ni Jambo la hatari ambalo linaweza kuzuilika lakini ni ngumu kuzuilika.
Miaka kadhaa iliyopita wakati wengine wakifungwa midomo wasiikosoe serikali Ndugu yangu POLEPOLE alikuwa kimya, Hakuwa anapiga kelele Kwa sababu alikuwa sehemu ya Mfumo. Kama POLEPOLE angekuwa Mpenzi na Muumini wa Haki basi hizi kelele zake tungezisikia tangu awamu ya tano ambapo hakuna ubishi kuwa ilikuwa awamu iliyogubikwa na kuziba watu midomo.
Kama POLEPOLE angekuwa mkweli hivi leo kila mtu angeungana na yeye kuwa ni mwenye Haki kwani Hana Double Standard. Lakini POLEPOLE sio mwenye Haki, sio msema kweli Kama anavyojitanabaisha mbele ya Kamera.
Unajua hata watu Wabaya wanajua Fulani ni mwenye Haki Mwema.
Lakini ukishakuwa Double Standard hata waovu wanaona kuwa wewe ni Muovu Kama wao tuu. Hivyo hawaoni shida kukufanyia Uovu wao.
Kinachomtesa Polepole kwa sasa ni UPEPO mbaya wa kisasi unaozunguka katika mfumo wake wa maisha.
Ninachomuomba awe mjanja, awe makini ikiwezekana atambue kuwa kinachotaka kutokea ni muda wa malipizi.
Wakati miaka iliyopita walioikosoa serikali wakivamiwa na watu wasiojulikana, wakitekwa huku wengine wakipotea kusikojulikana mpaka hivi leo, POLEPOLE hakuwahi kusema kitu, Hakuwa kupinga Uovu huo. Aliona ni SAWA,
Leo anashangaa, anabweka anapozuiwa kuongea, anapozibwa mdomo asiongee mawazo yake. Polepole hapa unachokitafuta hukijui; kuna kisasi kinakutafuta ulipwe Sawasawa na Wale waliofanyiwa wakati ule ukiwa sehemu ya utawala upande wa CCM.
Ujasiri ulionao usiizidi Akili yako, huo ujasiri lazima ujue chimbuko lake ni lipi hasa, je mi ujasiri utokanao na HAKI? Hilo nalipinga Kwa sababu nilishasema kuwa ungekuwa mtu wa haki ungepinga tangu awamu ya tano.
Je, mi ujasiri utokanao na KISASI kinachokutafuta kukuangamiza ili uwe fundisho Kwa kizazi hiki na kijacho? Jibu ni ndio.
Hao wanaokuambia ukae kimya wanakuona unawakosea Kwa sababu mbona wakati wa awamu ya tano hukuwahi kuipinga SERIKALI wala kuikosoa?
Kimsingi wanayohoja alafu wewe hauna hoja ya kuwaelewesha kuwa iweje awamu ya tano iliyojaa ukandamizaji wa Uhuru wa kutoa maoni ulikaa kimya alafu leo hii kujifanya unaongea.
Hoja zako hazijibiwi Kwa sababu hawaoni sababu ya kukujibu na hawaoni kuwa hoja hizo unastahili kuzianzisha wewe mnafiki uliyenyamaza awamu ya tano.
Hata ningekuwa Mimi nisikubali nikujibu hoja zako na wala nisingekuruhusu uzitoe.
Yaani wakati unakunywa Castle Lite ulikaa kimya kusema ni pombe. Alafu Mimi wakati wangu nikinywa Serengeti unanyanyua mdomo wako kuwa niache kunywa pombe wakati hata Castle Lite nayo ni pombe labda kiwango tuu cha ulevi kilichopo.
Mwisho; jichunge Sana, ujasiri ulionao ni matokeo ya kisasi kinachokutafuta kukuangamiza ili kuwalipia wale walioumizwa wakati ule wewe ukiwa kiongozi.
Ni Yule Mtibeli
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mkuu Lisu alipigwa lisasi na wachonganishi, hata akina ben n.k., serikali isingeweza kufanya hayo yote. Haya hata kama mnafuraha je Mama si ndiye alikuwa msaidizi wa Dkt Magufuli? Yaani unajua ninyi uwezo wenu ni mdogo sana kiakili, yaani vichwani mwenu ni makapi, tulitegemea mjikite kwenye issue lakini akili zenu zilivyo punguani mnaendelea kushambulia watu na kuwaona ndiyo wabaya wenu badala ya kuungana kujadili mambo yanayoleta tija kwa taifa letu
Sijuwi atarudi!jana usiku mataga wenzake wamem-frustrate kwa kuvunja kachumba chake alafu asubuhi hii anaamkia ofisi ya TCRA kujieleza akiwa na stress kweri-kweri 😀
Kwa hiyo wewe na genge lako mkaamua kwenda kuvunja nyumbani kwake?
Huo mkuu ndiyo maana mnaonekana kituko. Jaribuni mrudi kwenye issue, achaneni na petty issue ambazo hazina maslahi. We cheki mfano Mbowe na genge lake kwa zaidi ya miaka 5 wanamtukana Dkt Magufuli leo wana kitu gani cha kujivunia?? Yaani kwa kipindi cha JK walijikita kwenye issue na ukiangalia hata Dkt Magufuli ilikuwa rahisi kufanya zile hoja za wapinzani na zikamfanya mpaka leo watu wakimkumbuka wanatoa mchozi kumlilia. Poleni sana, akili zenu Mungu awafungue muone. Watu kama Bulembo na Nape ni laana kwa taifa hili. Ni afadhali na Mzee wetu JK ana akili sana pamoja na kuzungukwa na genge la weziKama alipigwa na wachonganishi Kama Madai yako, serikali ilifanya nini kukamata waliompiga?
Unajua wajibu wa serikali ni pamoja na kulinda wananchi??
Unajua kilichofanyika Kwa Lisu ni jinai na mwenye jukumu la kukabiliana na jinai ni jamhuri?
Tunajikita kwenye ishu inayotuleta pamoja, lakini ubinafsi wa baadhi yenu ndio unawaumiza.
Shida mnamleta uvyama kwenye mambo ya Msingi ndio maana hatuwezi kuendelea.
Tija ya taifa letu ni pamoja na Polepole na wewe muache unafiki.
Wanafiki ndio wanaifanya nchi hii isiendelee.
Huo mkuu ndiyo maana mnaonekana kituko. Jaribuni mrudi kwenye issue, achaneni na petty issue ambazo hazina maslahi. We cheki mfano Mbowe na genge lake kwa zaidi ya miaka 5 wanamtukana Dkt Magufuli leo wana kitu gani cha kujivunia?? Yaani kwa kipindi cha JK walijikita kwenye issue na ukiangalia hata Dkt Magufuli ilikuwa rahisi kufanya zile hoja za wapinzani na zikamfanya mpaka leo watu wakimkumbuka wanatoa mchozi kumlilia. Poleni sana, akili zenu Mungu awafungue muone. Watu kama Bulembo na Nape ni laana kwa taifa hili. Ni afadhali na Mzee wetu JK ana akili sana pamoja na kuzungukwa na genge la wezi
Aihusika sana kuhakikisha wabunge wetu ambao wamechaguliwa kihalali na kikatiba wananunuliwa na baadaye kurudishwa bungeni kinyemela. huo ndio utaratibu wa haki na demokrasia anautaka Polepole. alionekana kwenye baadhi ya maeneo usiku wa manane na wabunge wa upinzani akila nao deal la kuunga juhudi kinyemela. natumaini hii ndio demokrasia aliyokuwa anataka AU uhuru wa kuzungumza anaoutaka.Awamu ya 5 hakuwa na muda
Mkuu wewe na baadhi ya wenzako msichokielewa ni kuwa nchi hii ilifikia hatua watu wa nje ya tanzania au mataifa wezi wa rasilimali za africa walitaka kuichukua Tanzania yote yaani kuiteka kiuchumi ili kila kitu wafaidi wao, na ktk kufanikisha hilo kuna watu wao hapa Tanzania walikuwa wanafanya nao kazi, na hao watu wanawalipa (ila wewe najua hulipwi kitu). Sasa mkakati wa kuwarejesha ndugu zetu kundini tena kwa hiari yao siyo kosa kabisa. Ila hao watu wa nje walivyo wajanja wakatunga uongo kama ule wa JK alienda kumkomboa Riziwani China kwa sababu ya madawa eti akawapa wachina gas ya mtwara. So kila kitu muwe makini tusiwe kama Congo.Aihusika sana kuhakikisha wabunge wetu ambao wamechaguliwa kihalali na kikatiba wananunuliwa na baadaye kurudishwa bungeni kinyemela. huo ndio utaratibu wa haki na demokrasia anautaka Polepole. alionekana kwenye baadhi ya maeneo usiku wa manane na wabunge wa upinzani akila nao deal la kuunga juhudi kinyemela. natumaini hii ndio demokrasia aliyokuwa anataka AU uhuru wa kuzungumza anaoutaka.
Unajua nyumba wewe... Lile ni Getto siyo nyumbaKwa hiyo wewe na genge lako mkaamua kwenda kuvunja nyumbani kwake?