Humphrey Polepole upepo wa kisasi unakuandama. Chunga sana, Mungu ndio anakulipa hivyo

Humphrey Polepole upepo wa kisasi unakuandama. Chunga sana, Mungu ndio anakulipa hivyo

Kutoka uanaharakati kua mlamba viatu halafu unataka kujifanya mwanaharakati tena. Hakuna atakae kuonea huruma labda watu wa Human Rights mbali na hapo utaishi kama nguchiro huaminiki tena.
Sawa tumekusikia, lkn ana hoja mezani tafadhali pinga hoja yake kwa hoja.
 
Mkuu wewe na baadhi ya wenzako msichokielewa ni kuwa nchi hii ilifikia hatua watu wa nje ya tanzania au mataifa wezi wa rasilimali za africa walitaka kuichukua Tanzania yote yaani kuiteka kiuchumi ili kila kitu wafaidi wao, na ktk kufanikisha hilo kuna watu wao hapa Tanzania walikuwa wanafanya nao kazi, na hao watu wanawalipa (ila wewe najua hulipwi kitu). Sasa mkakati wa kuwarejesha ndugu zetu kundini tena kwa hiari yao siyo kosa kabisa. Ila hao watu wa nje walivyo wajanja wakatunga uongo kama ule wa JK alienda kumkomboa Riziwani China kwa sababu ya madawa eti akawapa wachina gas ya mtwara. So kila kitu muwe makini tusiwe kama Congo.
Jambo unalozungumzia halina mahusiano kabisa, kwa uelewa wako wewe unafikiri kuna mbunge yeyote aliyerudi kundini kwa hiari yake mwenyewe.. kwanza wote waliahidiwa madaraka (rushwa). na hivyo haikuwa sahihi. hata hivyo tunawatakia kila la heri
 
Sawa tumekusikia, lkn ana hoja mezani tafadhali pinga hoja yake kwa hoja.
Ana haki kama binadamu wengine aende kwenye vyombo vya sheria akapate haki yake. Ila sisi wengine tutamsulubu tu, mwisho wa ubaya ni aibu.
 
jambo unalozungumzia halina mahusiano kabisa, kwa uelewa wako wewe unafikiri kuna mbunge yeyote aliyerudi kundini kwa hiari yake mwenyewe.. kwanza wote waliahidiwa madaraka (rushwa). na hivyo haikuwa sahihi. hata hivyo tunawatakia kila la heri
Hilo mkuu ndiyo tatizo linapoanzia. Hatupaswi kuwa kama wanyarwanda au warundi. Yaani mpaka tuuane ndiyo tujue kukubaliana. Kwa sababu Dkt Magufuli alitenda ambayo watanzania tulihitaji yafanywe na awamu zilizopita kulikuwa na kosa gani kuunga mkono??? Na ndiyo maana unakuta kila mpinzani aliyesema Dkt Magufuli kafanya kazi mlisema kanunuliwa kitu ambacho siyo sahihi hata kidogo. Tunapaswa tukue kiakili na uelewa tujue nchi yetu inataka nini na viongozi wanafanya nini kutimiza malengo ya kitaifa. Lakini leo hii ukiniambia Bulembo alimaanisha nini kama mstakabali wa taifa sina jibu ila ukiniuliza Slaa au Polepole nitakujibu na hata mtoto mdogo anajua.
 
Wewe huelewi. Polepole hapingi ila anatoa elimu
Leo ndo a natoa elimu[emoji23][emoji23]Huyu bora angenyamaza Kuna watu wana hasira nae umoumo ndani ya Chama Chao.... Kuna namna pole pole alishiriki siasa za kuumizana wakati wa JPM... Hakuna mtu atakae ona anatoa elimu labda wafuasi wa JPM ila watu wengine wataona anataka kutunisha misuri...
 
Back
Top Bottom