Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Kwamba humu kuna mashangazi peke yake? Basi tugawane hayo hayo.
Na wao ni watu pia
 
Kwa kuwa wewe haufaham haimaanishi kuwa hakipo.

Wapo waliooana kutoka humu na wanafamilia nawafaham.

Wapo mabinti swafi kutoka humu, wapo washkaji wenye vision na wataalam wenye kujielewa kutoka humu.

Ishi na watu vizuri, utakavyojiweka humu ndivyo utakavyovuna humu.

Ushauri: fungua ID isiyo fake pia utaona mbeleni.
 
Jamii forum iko huru una haki ya kutoa mawazo yako
 
Mnahangaika kumpa proof mtu aliye desperate na maisha yake huko halafu anakuja jf kusimanga watu[emoji1787]

Mwanaume kamili anayejitambua huwezi kuta yupo kulialia humu jf.
Shida ni kuwa tunapokutana na changamoto fulani mahali. (Mfano mtu katapeliwa JF) basi hudhani JF wote ni matapeli.

That's a logical fallacy, Hasty Generalization.
 
Mkuu best comments in this thread umemaliza kila kitu,inabid Wana Jf wajifunze kwako unajibu kwa hoja Kama wew sio wanakurupuka na kutoa huruma Wana jibu kihisia tu
 
Eh kasema unadhani hii Dunia si imeisha nilishasema sintokuja huku ila nakuja.
Yaani hadi magari ya wanaume asilimia kubwa ni ya wanawake, ofisi , kila kitu , Cha wanawake . Hadi Kodi wanalipiwa an wanawake asilimia kubwa Kwa Sasa
Kwamba huko duniani uliko wanawake ndio wanamiliki pesa na vitu kuliko wanaume? Dunia ya wapi hiyo?

Wewe binafsi umewazidi kipato wanaume wangapi?

Wewe sema una bahati ya kukutana na mapunga, au huwa una date na vitoto vidogo kuliko wewe.

Siku zote mwanamke atafuatwa na wanaoendana nae (wanaommudu), huwezi kuwa wa low standard kisha utarajie kuvutia wanaume wanaojielewa.

We pambana na hao unaowavutia.
 
Shida ni kuwa tunapokutana na changamoto fulani mahali. (Mfano mtu katapeliwa JF) basi hudhani JF wote ni matapeli.

That's a logical fallacy, Hasty Generalization.
Kabisa,Inabidi adeal na hao matapeli.
Kuna wenzie nao walio desperate kama yeye wanakuja kumuunga mkono kwa kutukana wanawake wote hata ambao hawawajui.,anatukana utadhani anawajua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…