Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Humu JamiiForums hakuna wife material, kijana usidanganyike

Hahahaaaa kwahiyo wewe kuweka id na avatar feki ni jambo la kawaida ila kwa ladies inaondoa kua wife material. Una shida kubwa sana ya akili may you get well soon.
Acha makasiriko au ndo ukweri unauma,,
True nawezekana Nina tatizo la akili
 
Inawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu JF lakini kwa uchunguzi wangu mke bora hayupo JF, wanawake wengi wapo JF kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa.

Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana JF mpaka wakaoana, na kuwa na familia kabisa, mtakaonijibu mje na ushaidi.

Mwanamke anatumia ID fake anaweza kweli kuwa mama Bora wa familia, washazoea kuigiza maisha. Vijana wa JF acheni kwenda PM mtapigwa na kitu kizito, humu kila mtu yuko single.

Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje JF kutafuta mchumba, umeishaaaa.
Nakazia hoja
 
Nitaenda na prosper ambaye aliniambia ndugu zangu wananidanganya nawatu potezea muda niende naye nikanze maisha . Alikuwa anahela , mzuri na nimtu mzima like 45 prosper ndiye mtu aliwahi nisimamia katika maisha haya , sijasikia nilichoose ndugu ndio mpaka na Leo maisha sio Yale noliyonayo
Lakini uli choose ndugu si bado wapo au nao wamekukimbia? Na Prosper naye ilikuwaje akaondoka? Halafu huyu Prosper ndiyo yule ambaye alikuwa anakuletea zawadi za Chup**** ambazo ukizivaa zinasababisha mpangilio wa mambo yenu unakuwa hauko kwenye mzunguko mzuri???
 
Inawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu JF lakini kwa uchunguzi wangu mke bora hayupo JF, wanawake wengi wapo JF kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa.

Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana JF mpaka wakaoana, na kuwa na familia kabisa, mtakaonijibu mje na ushaidi.

Mwanamke anatumia ID fake anaweza kweli kuwa mama Bora wa familia, washazoea kuigiza maisha. Vijana wa JF acheni kwenda PM mtapigwa na kitu kizito, humu kila mtu yuko single.

Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje JF kutafuta mchumba, umeishaaaa.
tupo bwana, sema hatujapata
 
Lakini uli choose ndugu si bado wapo au nao wamekukimbia? Na Prosper naye ilikuwaje akaondoka? Halafu huyu Prosper ndiyo yule ambaye alikuwa anakuletea zawadi za Chup**** ambazo ukizivaa zinasababisha mpangilio wa mambo yenu unakuwa hauko kwenye mzunguko mzuri???
Hajawahi kuniletea chupi ni Mzee anaibu ya hivyo vitu.
Hata hajawahi nitoaga dinner sio mpenzi wa kujionyesha huyo .
Tangia lini ndugu hufaa mtu keroo tu ni ngeenda na prosper tu
 
Humu hakuna wanaume wanaume wengi wanaolewa na wanataka bandoo . Na huku wewe upo serious akuambie mnaanzaje maisha mtaishije mtu afanyaje , yeye anasema toka kwenu ukapange chumba nije nikaishi halafu unadai wadada wabaya mlitaka tuwatunze nope aisee maisha nikusaidiana na Kwa mwanamke anakufanyia mengi , kukupa k hadi uridhike , akupikie , akufulie aweke nyumba safi , na bado akuzalie mbwa nyie , na bado utegemee akulishe akuvishe roho mbaya mnatoa wapi?

Tuacheni tuishi kaeni nahao wanaonekana na bado mbona mmewashindwa basi wakaka mmeshindikana sana wanaume saivi . Mnashida sana badilikeni mmekuwa vipuri hamtaki kucheza sekta yenu ya utafutaji . Hamtaki majukumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hajawahi kuniletea chupi ni Mzee anaibu ya hivyo vitu.
Hata hajawahi nitoaga dinner sio mpenzi wa kujionyesha huyo .
Tangia lini ndugu hufaa mtu keroo tu ni ngeenda na prosper tu

Pole sana Miss Unique Flower kweli wakati mwingine ndugu au watu wa karibu ni nuksi sana. Yawezekana hakuwa chaguo lako huyo Prosper kuwa na subira Allah atakupatia mwingine tu
 
Back
Top Bottom