Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hampo serious mie nipo seriousHuwezi kwanini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hampo serious mie nipo seriousHuwezi kwanini?
Acha makasiriko au ndo ukweri unauma,,Hahahaaaa kwahiyo wewe kuweka id na avatar feki ni jambo la kawaida ila kwa ladies inaondoa kua wife material. Una shida kubwa sana ya akili may you get well soon.
Mbona unatu-generalize wanaume wote, i think kuna haja ya me na wewe kuchat private right...???Hampo serious mie nipo serious
Nakazia hojaInawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu JF lakini kwa uchunguzi wangu mke bora hayupo JF, wanawake wengi wapo JF kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa.
Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana JF mpaka wakaoana, na kuwa na familia kabisa, mtakaonijibu mje na ushaidi.
Mwanamke anatumia ID fake anaweza kweli kuwa mama Bora wa familia, washazoea kuigiza maisha. Vijana wa JF acheni kwenda PM mtapigwa na kitu kizito, humu kila mtu yuko single.
Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje JF kutafuta mchumba, umeishaaaa.
Lakini uli choose ndugu si bado wapo au nao wamekukimbia? Na Prosper naye ilikuwaje akaondoka? Halafu huyu Prosper ndiyo yule ambaye alikuwa anakuletea zawadi za Chup**** ambazo ukizivaa zinasababisha mpangilio wa mambo yenu unakuwa hauko kwenye mzunguko mzuri???Nitaenda na prosper ambaye aliniambia ndugu zangu wananidanganya nawatu potezea muda niende naye nikanze maisha . Alikuwa anahela , mzuri na nimtu mzima like 45 prosper ndiye mtu aliwahi nisimamia katika maisha haya , sijasikia nilichoose ndugu ndio mpaka na Leo maisha sio Yale noliyonayo
tupo bwana, sema hatujapataInawezekana Nina pasaka chache na eid chache humu JF lakini kwa uchunguzi wangu mke bora hayupo JF, wanawake wengi wapo JF kwa ajili ya stress zao za mahusiano au ndoa.
Embu niambie Kuna member gani waliwahi kukutana JF mpaka wakaoana, na kuwa na familia kabisa, mtakaonijibu mje na ushaidi.
Mwanamke anatumia ID fake anaweza kweli kuwa mama Bora wa familia, washazoea kuigiza maisha. Vijana wa JF acheni kwenda PM mtapigwa na kitu kizito, humu kila mtu yuko single.
Kama umeshindwa kupata mke uko mtaani kwenu usijidanganye uje JF kutafuta mchumba, umeishaaaa.
Hakuna chochote hapa ndio mpo serious nje ya hapa hampo seriousMbona unatu-generalize wanaume wote, i think kuna haja ya me na wewe kuchat private right...???
Hajawahi kuniletea chupi ni Mzee anaibu ya hivyo vitu.Lakini uli choose ndugu si bado wapo au nao wamekukimbia? Na Prosper naye ilikuwaje akaondoka? Halafu huyu Prosper ndiyo yule ambaye alikuwa anakuletea zawadi za Chup**** ambazo ukizivaa zinasababisha mpangilio wa mambo yenu unakuwa hauko kwenye mzunguko mzuri???
Kaza tumeshatoka hujui tu hamjui mnachotaka na kiukweli mnasifia hizi,hasira,stress,kitugemea,selfish,kujisikia,kujiona,kutojitambua,umbeya mpo juu .Nakazia hoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu hakuna wanaume wanaume wengi wanaolewa na wanataka bandoo . Na huku wewe upo serious akuambie mnaanzaje maisha mtaishije mtu afanyaje , yeye anasema toka kwenu ukapange chumba nije nikaishi halafu unadai wadada wabaya mlitaka tuwatunze nope aisee maisha nikusaidiana na Kwa mwanamke anakufanyia mengi , kukupa k hadi uridhike , akupikie , akufulie aweke nyumba safi , na bado akuzalie mbwa nyie , na bado utegemee akulishe akuvishe roho mbaya mnatoa wapi?
Tuacheni tuishi kaeni nahao wanaonekana na bado mbona mmewashindwa basi wakaka mmeshindikana sana wanaume saivi . Mnashida sana badilikeni mmekuwa vipuri hamtaki kucheza sekta yenu ya utafutaji . Hamtaki majukumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na sisi ndo wachumba/wapenzi/wake zenu wa huko mtaani.
Hajawahi kuniletea chupi ni Mzee anaibu ya hivyo vitu.
Hata hajawahi nitoaga dinner sio mpenzi wa kujionyesha huyo .
Tangia lini ndugu hufaa mtu keroo tu ni ngeenda na prosper tu
Jitume wewe toa mkund* baby wako aleHawataki kujituma unadhani nani Sasa hata wachoka mtu anaomba hela ya bando , ya Kodi anasema nije nikae kwako ??
As if ndio demu , wao nikuwaangalia wakina Gigi money na kufuatilia madanga ya kikebasi
Kwahiyo wanaume wa JF wote unatujua siyo..??Hakuna chochote hapa ndio mpo serious nje ya hapa hampo serious
na Mimi. Natafuta humu age 35 0verWewe una ushahidi kuwa hawapo?
Nikikuambia nimemuoa mdada wa humuhumu jamvini ila hatukutaka matangazo utabisha?
Hakunaga mtu serious wengi wasingekuwa single meaning mnamatani na hampo seriousKwahiyo wanaume wa JF wote unatujua siyo..??
Hata mgundue shimo jipya hamtoridhikaJitume wewe toa mkund* baby wako ale