Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23] lugha ngum mno, simplify next time..View attachment 2568404
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23] lugha ngum mno, simplify next time..View attachment 2568404
Darlin nilikuwa naisubir comment yako🙌😁Umejiunga JF juzi
Kila kukicha una thread mpya
Unatafuta umaarufu huna lolote
It’s pathetic!
🙏🙏🙏Haiwezi tokea watuwem na wabaya Kila sehemu wapo na tunaishi nao ukipitia gumu ndo ulilopangiwa so usiwaamishe watu mabaya kwasababu ya magumu Yako Hao hawakudate na mwanaume wako au mwanamkewako mjinga
Inashangaza anavyochukulia mamboYeye mwenyewe kaweka Id na dp fake alafu anasema ni husband material.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow Uchira 1 kaka yangu asante sana. Ubarikiwe na busara zako.KUMBUKA
Wanawake waliopo jf hawaishi huku jf ila wanaishi mtaani kwetu huko huko unakozungumzia.
Jf kunawanawake wazuri na wastaarabu sana na wanafaa kuwa wake za watu.
Mkuu weakness nyingine ni za kibinadamu kama, si wanawake wote wa sinza, manzese na bugurun ni makahaba. Hawa ni baadhi ya wanawake jf ambao binafsi nasema mashallah Dahan bint wa morning glory. Bantu Lady mama wa watu asiye na makuu na mtu asiye na ubaya na mtu hata siku moja, Sky Eclat dada yangu kipenzi wala hana kuu, hana nongwa na gubu na mtu, mikono yake haijui kuandika UPUMBAVU, kinywa chake hakina maneno ya magambo, mshauri maridhawa.
Hao n baadhi tu kati ya wengi mkuu. Mapungufu mengine ni ya kibinadamu ambayo sote hatuyakosi.
Jf ni sehemu inatuunganisha tu ila sote tupo mtaani na tunamaisha yetu halisi
Ipo siku huyo aliyezoea kufanyiwa hivyo ataliwa yeye na mke wakeTatizo wanawake mko wengi kuliko wanaume. Kuna wanawake lazima uwatengeneze matukio ili wakuache.
Kwani mwanamke akimnunulia jamaa yake ni tatizo?
Maisha ni kusaidiana.
Wewe unajituma walahi I wish I wish nipate wakufanana naye ila sio huku ni nje ya jf mapenzi mazuri ni kuwa karibu na umpendaye umlee akulee sijui kama Kuna muafrica mwanaume anaelewa kupendwa na kulelewa sijui kama anaelewa kabisa maana hiyooKisa huyu mwanaume uliyekutana nye wewe ndo hajitumi basi una conclude wote...don't take things too personal my dear.
Hujambo bibiye?Hujui hata kuweka at nakumwita mtu licha ujue kupiga inshuu
Darlin nilikuwa naisubir comment yako[emoji119][emoji16]
Nina pasaka chache na eid chache humu jf kifupi Mimi ni mshamba wa Jf.
Umaarufu wanatafutaje humu jf hebu nielekeze Kwanza siunajua me mgeni humu labda navunja Sheria za Wana jf
Mnahangaika kumpa proof mtu aliye desperate na maisha yake huko halafu anakuja jf kusimanga watu[emoji1787]Ni kweli wife material hawapo wengi ila usimchukulie poa babe wangu Darlin
Pia wanawake hawa ninaowafahamu angalau kidogo usiwachukulie poa binti kiziwi Dr Lizzy Saint Anne Joanah Depal Khantwe na niliowasahau
JF huifahamu yote na huwezi kuifahamu yote maisha yako yote so usipende ku conclude mambo
Waloverfy id zao angalao banaaaFake ID , Fake photos [emoji23][emoji23][emoji23] people need privacy only... Kwa mtaa ni watu poa Sana.
Tuvumiliane tuu[emoji23][emoji23]Waloverfy id zao angalao banaaa
Kutokuwa wife material sio kilema unaweza kubadirika.Hakuna alie mkamilifu
Unavyojinasibu ya kua humu ndani wanawake ni matapeli ipo siku utapatwa na tatizo na atakae kusaidia ni mwanamke wa JF
Have some masculine nature in you bro!
Kutokuwa wife material sio kilema unaweza kubadirika.
Wanawake wa Jf mnisamehe nawapenda Sana Ila wale matapeli mjirekebishe.ova
@Darlin[emoji120][emoji119]
Pandisha uzi ukielezea walichokufanyia ili tuelewe zaidi bro.Kutokuwa wife material sio kilema unaweza kubadirika.
Wanawake wa Jf mnisamehe nawapenda Sana Ila wale matapeli mjirekebishe.ova
@Darlin🙏🙌
Yale yale nlotoka kuandika sekunde chacheSawa tumekusikia
Pili jaribu kuongea na wazee wako kijijini kuna vitu unakosa kama mwanaume kamili