Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Tuwalee mabinti zetu kwenye maadili.
Huyu dada amekosa malezi.

Wadada-pesa itawapa kila kitu ila sio upendo
Mwamba umeongea neno kubwa Sana kupitia neno lako nami nikejifunza nikibahatika kuwa na mwanangu especially wa kike ni mlee kwenye malezi mazuri ili nisije kupata aibu mbeleni
 
Huyu duu anashida sana in reality ni mbaya alaf kakondeana ila kila siku kutunanga huku JF she's so insecure na ana wivu wa kijinga jinga! Huko Instagram ana followers 40k ila chakushangaza akipost picha anapata likes 10 au 15 mataqo umbw@ wewe!
Samahan Mkuu ni Wew nin mbona povu juu
 
Nawe unafuataga nini kwenye nyuzi za hivi[emoji23]

Halafu Dom wamejaa kibao,hadi kwa buku 5, nakuletea kitu ipo full,

Halafu hiyo milion unipe chawa wako hapa,maana sikuelewi ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
We ushindwe kabisa!! Nihonge Milioni wakati nikipoteza 10,000 tu mapigo ya moyo huwa siyaelewi! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Shida ni haya mambo ya kuchange ID, kumbe mtoa mada ni yule member alokuwa akijiita KATOTO wa Arusha!! [emoji2377][emoji2377][emoji2377][/b]
 
1. Lini ulijaribu kunipa nikashindwa?
2. Mimi huyo?
3. Labda kama ni wewe una njaa sawa
4. Nani analia njaa kila saa?
Njoo Dom ukalie ukuni kuna 1M nitakupatia! Leo hii kama vipi, bado hujachelewa!!
Weweee itakuwa ndoto weka post malaya watajitokeza ml1 ukitoa hata shetani atashtuka
 
QUOTE="lovel, post: 42427436, member: 655266"]
Hlf demu amekaa mswahili swahilii ukichek response yake...mmh nawapa wanaume pole..ukikutana na dem wa hvi..lzm ukonde
Seems ana mdomo mchafu sana
[/QUOTE]
Good na badoo ngoja nikupe short brief about me naitwa bety naishi Arusha nilizaliwa arusha mzee wangu akampa mzee mkubwa nikaenda kusoma Tanga .
Nikaishi Tanga so nilipopata kazi Dar nikaenda Dar miezi 6 nikapelekwa Mwanza nikakaa mwaka mzima.
Walipojielewa nini wanafanya nikarudi Dar baada ya mwezi nikarudi huku nikaendelea na kazii.
Hadi sasa so kwa mdomo mchafuu huu ni mzuri sana.
Kwa watu kama nyie.
 
QUOTE="lovel, post: 42427436, member: 655266"]
Hlf demu amekaa mswahili swahilii ukichek response yake...mmh nawapa wanaume pole..ukikutana na dem wa hvi..lzm ukonde
Seems ana mdomo mchafu sana
Good na badoo ngoja nikupe short brief about me naitwa bety naishi Arusha nilizaliwa arusha mzee wangu akampa mzee mkubwa nikaenda kusoma Tanga .
Nikaishi Tanga so nilipopata kazi Dar nikaenda Dar miezi 6 nikapelekwa Mwanza nikakaa mwaka mzima.
Walipojielewa nini wanafanya nikarudi Dar baada ya mwezi nikarudi huku nikaendelea na kazii.
Hadi sasa so kwa mdomo mchafuu huu ni mzuri sana.
Kwa watu kama nyie.
[/QUOTE]
Kwahiyo kuzunguka kote uko ndio kunakufanya usiwe na mdomo mchafu?
 
Back
Top Bottom