Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

1. Lini ulijaribu kunipa nikashindwa?
2. Mimi huyo?
3. Labda kama ni wewe una njaa sawa
4. Nani analia njaa kila saa?
Njoo Dom ukalie ukuni kuna 1M nitakupatia! Leo hii kama vipi, bado hujachelewa!!
 
Hlf demu amekaa mswahili swahilii ukichek response yake...mmh nawapa wanaume pole..ukikutana na dem wa hvi..lzm ukonde
Seems ana mdomo mchafu sana
 
Wale madem washobokaji huwa tunapita nao halafu tunajikausha kama hatujafanya nao matusi matokeo yake lazima aone tunalinga
 
Aisee mwagilia moyo tu mkuu

Your browser is not able to display this video.
 
Acha mvua inyeshe tuone panapovuja .....Staehe sio lazima uwe na helaaa ni state of mind tuuu !
 
1. Lini ulijaribu kunipa nikashindwa?
2. Mimi huyo?
3. Labda kama ni wewe una njaa sawa
4. Nani analia njaa kila saa?
Njoo Dom ukalie ukuni kuna 1M nitakupatia! Leo hii kama vipi, bado hujachelewa!!
Nawe unafuataga nini kwenye nyuzi za hivi[emoji23]

Halafu Dom wamejaa kibao,hadi kwa buku 5, nakuletea kitu ipo full,

Halafu hiyo milion unipe chawa wako hapa,maana sikuelewi ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What you said says a lot about you than other people you are complaining to.
 
Hlf demu amekaa mswahili swahilii ukichek response yake...mmh nawapa wanaume pole..ukikutana na dem wa hvi..lzm ukonde
Seems ana mdomo mchafu sana
Hiyo ndio sababu imemfanya asipate mwanaume wakuomuoa zaidi ya kuchezewa tu
 

Na mnyanduaji nasikia ni wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aseeh Katoa povu alafu la hasira balaa.
 
Umepatwa na nini mwaya? Pole kama ni pesa tafuta na wewe za kwako ili usisubiri hako ka mil 1 kake😂
Hivi umeona tangazo lake la kuomba mtu wa kumuoa ukiangalia vigezo alivyotaja pale mwanaume mwenye akili anajua kabisa hapa hakuna mwanamke kuna mdangaji wa mjini ebu mshaurini mwanamke mwenzenu vizuri asije akajinyonga
 
JF watu hawaaminiani sana,kila mtu analinda privacy yake,naona wewe ukatafsiri huko ni kuringa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…