Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Nanani sasa aliwe .
1. Mnapewa hamuwezi
2.mnanjaa hadi mpande kifuani
3.hamjiwezi njaa na kiu sasa utapiga nini hapo .
4. Kila saaa wewe unalia njaa ukiletewa chipsi za buku unakula kama nini.

Sasa ndio mnile kwanza mie sio nyama .

Nani awape nammechoka hivi
1. Lini ulijaribu kunipa nikashindwa?
2. Mimi huyo?
3. Labda kama ni wewe una njaa sawa
4. Nani analia njaa kila saa?
Njoo Dom ukalie ukuni kuna 1M nitakupatia! Leo hii kama vipi, bado hujachelewa!!
 
Hiyo yakumpangia mtu lazima awe anasali madhehebu fulani amenishangaza kidogo alafu kingine yeye ana elimu ya diploma lakini anataka mwanaume awe degree kwenda mbele kiukweli nimeangalia tangazo lake na hata nyuzi zake sioni uchamungu wake hata kidogo
Hlf demu amekaa mswahili swahilii ukichek response yake...mmh nawapa wanaume pole..ukikutana na dem wa hvi..lzm ukonde
Seems ana mdomo mchafu sana
 
Wale madem washobokaji huwa tunapita nao halafu tunajikausha kama hatujafanya nao matusi matokeo yake lazima aone tunalinga
 
Aisee mwagilia moyo tu mkuu

 
Acha mvua inyeshe tuone panapovuja .....Staehe sio lazima uwe na helaaa ni state of mind tuuu !
 
1. Lini ulijaribu kunipa nikashindwa?
2. Mimi huyo?
3. Labda kama ni wewe una njaa sawa
4. Nani analia njaa kila saa?
Njoo Dom ukalie ukuni kuna 1M nitakupatia! Leo hii kama vipi, bado hujachelewa!!
Nawe unafuataga nini kwenye nyuzi za hivi[emoji23]

Halafu Dom wamejaa kibao,hadi kwa buku 5, nakuletea kitu ipo full,

Halafu hiyo milion unipe chawa wako hapa,maana sikuelewi ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu kuna wanaume wanaringa kama nini.
Sasa ukiwafuatilia kwa undani hata mbele nyuma hawajijui wapo tu.

Hawana pesa wala nini wote ni shida.
Good man , gentlemen nilazima mtu awe anapesa, source of investment.
Halafu ndio aringe sasa unapanga halafu bado wewe unapambania bidhaa ya mwanaume mwenzako ipate wateja ish hii inaitwa bado wewe ni mtumwa katika nchi yako.

Gari ya mikopo bado unakopa .
Eti unaoa lini bado nipo nipo woi huna hela .

Huna mwelekeo unasubiria alert ya ka 1 ml ionekane kwenye simu.

Kweli samahanini ila humu wanaoringa ni boyas .

Unapanga hadi leo umelogwa rudi kijijini kwenu ukatambikiwe unamikosi .
Huu mwaka wa 31 unapanga je tukikadiria miaka yako si miaka ya uhuru kabisaaa😂🤣🤣🤣 unatoa madongoo nahujui asha anamimba yako tena huidumii ukidai sio yangu kumbe hela huna badilikeni mna sonya wasichana mnaota wanawake wamajuu na unaishia baa kujidunga shida nini na ni ndoto tu uhalisia upo nani kina mwanaidi oa tulia miaka imeshaenda siku moja haitatoka maji wala povu .
Nikavu tu .
Hata uipike .
Shauri zenu .
Mapovu ruksa waliooa umiza kichwa tu hela hakunaga eti unamradi wakuku kuku wenyewe ni wakisasa
What you said says a lot about you than other people you are complaining to.
 
Hlf demu amekaa mswahili swahilii ukichek response yake...mmh nawapa wanaume pole..ukikutana na dem wa hvi..lzm ukonde
Seems ana mdomo mchafu sana
Hiyo ndio sababu imemfanya asipate mwanaume wakuomuoa zaidi ya kuchezewa tu
 
Tuanzie kwako kwanza,hivyo vyote ulivyotaja wewe unavyo?Umejenga?,Gari unayo?sio ya mkopo? Account yako inapokea miamala minene kiasi gani?Kama wewe hauna hivyo huna haki ya kutaka mwanaume wako awe navyo.Tafuta wa saizi yako. Na kama umenyanduliwa bure na msela akasepa pole[emoji23]

Na mnyanduaji nasikia ni wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aseeh Katoa povu alafu la hasira balaa.
 
Umepatwa na nini mwaya? Pole kama ni pesa tafuta na wewe za kwako ili usisubiri hako ka mil 1 kake😂
Hivi umeona tangazo lake la kuomba mtu wa kumuoa ukiangalia vigezo alivyotaja pale mwanaume mwenye akili anajua kabisa hapa hakuna mwanamke kuna mdangaji wa mjini ebu mshaurini mwanamke mwenzenu vizuri asije akajinyonga
 
JF watu hawaaminiani sana,kila mtu analinda privacy yake,naona wewe ukatafsiri huko ni kuringa.
 
Back
Top Bottom