Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Humu kuna wanaume wanaringa kama nini.
Sasa ukiwafuatilia kwa undani hata mbele nyuma hawajijui wapo tu.

Hawana pesa wala nini wote ni shida.
Good man , gentlemen nilazima mtu awe anapesa, source of investment.
Halafu ndio aringe sasa unapanga halafu bado wewe unapambania bidhaa ya mwanaume mwenzako ipate wateja ish hii inaitwa bado wewe ni mtumwa katika nchi yako.

Gari ya mikopo bado unakopa .
Eti unaoa lini bado nipo nipo woi huna hela .

Huna mwelekeo unasubiria alert ya ka 1 ml ionekane kwenye simu.

Kweli samahanini ila humu wanaoringa ni boyas .

Unapanga hadi leo umelogwa rudi kijijini kwenu ukatambikiwe unamikosi .
Huu mwaka wa 31 unapanga je tukikadiria miaka yako si miaka ya uhuru kabisaaa😂🤣🤣🤣 unatoa madongoo nahujui asha anamimba yako tena huidumii ukidai sio yangu kumbe hela huna badilikeni mna sonya wasichana mnaota wanawake wamajuu na unaishia baa kujidunga shida nini na ni ndoto tu uhalisia upo nani kina mwanaidi oa tulia miaka imeshaenda siku moja haitatoka maji wala povu .
Nikavu tu .
Hata uipike .
Shauri zenu .
Mapovu ruksa waliooa umiza kichwa tu hela hakunaga eti unamradi wakuku kuku wenyewe ni wakisasa
Nimeupenda huu uzi, wachane unique flower, wape vidonge vyao.
 
Hasira za kupigwa mtungo huna Cha kuwaringia Tena wanaume huwezi kuoelewa sura nzito kama uji was muhogo

Tukipiga tunakuona mchafu tu Tena unanuka
 
Aliyewalisha hii dhana kuwa kila Mtanzania lazima awe na nyumba ni nani?? Kwangu mie kujenga ni woga wa maisha, si lazima kila mtu ajenge!! Matokeo yake watu wanaishi maisha yao yote wakijenga, ujenzi si project ndogo!!!

Maisha ya appartment matamu sana, nabadilisha location nitakavyo kufuata upepo unakovuma!

Halafu Mtoto, tafakari upya kuhusu maisha!! Halafu uige busara za mama zenu shenzi nyie
Sinajawahi tukanwa na mzazi wangu yeyote pleasee
 
MBWA KALA MBWA.

HAKUNA JIPYA, PITA HIVI MISS BUZA.

POVU LAKO LA SABUNI YA KUPIMA, HALISAIDII KITU.

#ACHASHOBO #PUNGUZAGENYEMSHINDO
Weweeee miss buza tangia lini watu siye tuwe mamiss Tanzania ni aibu maana hatujawahi shinda hata siku moja koma.
Mbwa niwewe nimahicho kichogo chako kama cha mbwa
 
Tena kimasihara
Nanani sasa aliwe .
1. Mnapewa hamuwezi
2.mnanjaa hadi mpande kifuani
3.hamjiwezi njaa na kiu sasa utapiga nini hapo .
4. Kila saaa wewe unalia njaa ukiletewa chipsi za buku unakula kama nini.

Sasa ndio mnile kwanza mie sio nyama .

Nani awape nammechoka hivi
 
Ngoja nikitengeneza Id mpya nitatuma picha zake halisia
Mnamtishia nani miee woiii weka hapa watu waone halafu kitu ingine usibadilishe id nikutumie saivi mie mtu mzima mie siogopi kitu chochote.
 
Huyu duu anashida sana in reality ni mbaya alaf kakondeana ila kila siku kutunanga huku JF she's so insecure na ana wivu wa kijinga jinga! Huko Instagram ana followers 40k ila chakushangaza akipost picha anapata likes 10 au 15 mataqo umbw@ wewe!
Unamjua kwani?
 
Poker said what😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mimi nimekondeana walahi unanijua nikija hapo ulipo nilivyobaunsa nakukamua hadi unatoa hicho ki kamasi cha mwisho na mavi yako yote unazani mie betina wako ha na mbele wala nyuma hata akipulizwa na upepo anaenda moja kwa moja haonekani mbususu feki wewe .
Hunalolote .
Mie sina upuzi instagram sijui 40k .
Labda ya hawara yako mwenye sura kama yako .

Screenshot_20220427-202036_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom