Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

Humu kuna wanaume wanaringa kama nini.
Sasa ukiwafuatilia kwa undani hata mbele nyuma hawajijui wapo tu.

Hawana pesa wala nini wote ni shida.
Good man , gentlemen nilazima mtu awe anapesa, source of investment.
Halafu ndio aringe sasa unapanga halafu bado wewe unapambania bidhaa ya mwanaume mwenzako ipate wateja ish hii inaitwa bado wewe ni mtumwa katika nchi yako.

Gari ya mikopo bado unakopa .
Eti unaoa lini bado nipo nipo woi huna hela .

Huna mwelekeo unasubiria alert ya ka 1 ml ionekane kwenye simu.

Kweli samahanini ila humu wanaoringa ni boyas .

Unapanga hadi leo umelogwa rudi kijijini kwenu ukatambikiwe unamikosi .
Huu mwaka wa 31 unapanga je tukikadiria miaka yako si miaka ya uhuru kabisaaa😂🤣🤣🤣 unatoa madongoo nahujui asha anamimba yako tena huidumii ukidai sio yangu kumbe hela huna badilikeni mna sonya wasichana mnaota wanawake wamajuu na unaishia baa kujidunga shida nini na ni ndoto tu uhalisia upo nani kina mwanaidi oa tulia miaka imeshaenda siku moja haitatoka maji wala povu .
Nikavu tu .
Hata uipike .
Shauri zenu .
Mapovu ruksa waliooa umiza kichwa tu hela hakunaga eti unamradi wakuku kuku wenyewe ni wakisasa

Aliyewalisha hii dhana kuwa kila Mtanzania lazima awe na nyumba ni nani?? Kwangu mie kujenga ni woga wa maisha, si lazima kila mtu ajenge!! Matokeo yake watu wanaishi maisha yao yote wakijenga, ujenzi si project ndogo!!!

Maisha ya appartment matamu sana, nabadilisha location nitakavyo kufuata upepo unakovuma!

Halafu Mtoto, tafakari upya kuhusu maisha!! Halafu uige busara za mama zenu shenzi nyie
 
Huyu duu anashida sana in reality ni mbaya alaf kakondeana ila kila siku kutunanga huku JF she's so insecure na ana wivu wa kijinga jinga! Huko Instagram ana followers 40k ila chakushangaza akipost picha anapata likes 10 au 15 mataqo umbw@ wewe!
Anajiita Nani ?

Nikatishie watoto wale kwa kutumia picha zake maana wakina juniors watundu sana
 
Huna mwelekeo unasubiria alert ya ka 1 ml ionekane kwenye simu
Mie akili yangu imenasa hapa. Kama unazo si umwambie akae home ili umlipe Mana ka m hako ni kadogo sana kwako is like a penny to you madame.
Pia Kama hahudumii tumbo ilikuwaje wa ka m kamoja ukakubali Mana hakana thamani kwako.
Usikute hata ukiambiwa utoe ten tu unavyotoa povu. Hata uwe na trilioni Mia na maelfu hutakiwi kuidharau shilingi jamani Mana kila hela inakuja kwa jasho ama kwa kuumiza kichwa.
 
Pole sana Dadangu..
Piga moyo konde, hili nalo litapita..!
 
Huyu duu anashida sana in reality ni mbaya alaf kakondeana ila kila siku kutunanga huku JF she's so insecure na ana wivu wa kijinga jinga! Huko Instagram ana followers 40k ila chakushangaza akipost picha anapata likes 10 au 15 mataqo umbw@ wewe!
Duuh inamaana unamjua mkuu?
 
Huyu duu anashida sana in reality ni mbaya alaf kakondeana ila kila siku kutunanga huku JF she's so insecure na ana wivu wa kijinga jinga! Huko Instagram ana followers 40k ila chakushangaza akipost picha anapata likes 10 au 15 mataqo umbw@ wewe!


Mkuu Instagram anatumia jina gani ? Tupe wahuni tukaangalie kama anafaa kuliwa ,Hawa wadada wenye tamaa na pesa hapa mjini ni WA kuliwa tu
 
MBWA KALA MBWA.

HAKUNA JIPYA, PITA HIVI MISS BUZA.

POVU LAKO LA SABUNI YA KUPIMA, HALISAIDII KITU.

#ACHASHOBO #PUNGUZAGENYEMSHINDO
 
Back
Top Bottom