Huna kazi lakini kwenye simu una 50,000 Tshs tu, ifanyie hiki ninachokushauri...

Huna kazi lakini kwenye simu una 50,000 Tshs tu, ifanyie hiki ninachokushauri...

Wazo zuri lakini kitambo lilishakwishafanyiwa kazi na watu wengi wenye nia mbaya!
Pia hata kuna wapelelezi huzitumia njia hizi tena huwezi kumuwazia kama ni mpelelezi!
Yaani kuna watu walishalizwa sana kwa stahili hii ndio maana connection ni muhimu sana!

Hivi business card siku hizi zina referees wa kuaminika? Unajua kwa nini ktk uandaaji wa CV lazima kuwe na kipengelee cha referees wa kuaminika!
Wengi sana wamekosa kazi kwa kudharau kipengele cha referees hata kama anazo sifa zinazostahili kwa kazi lengwa!

Matapeli ni wengi sana kiasi kwamba wanasababisha watu wasiomatapeli kutoaminika pia!
Connection ni muhimu sana wala si ubaguzi bali hutengeneza imani thabiti jinsi waamini waaminivyo juu ya Yesu ama Mtume Mohamed atumikavyo ktk connections za kukabiliana na changamoto za maisha!
 
Huku wengi ni wavivu hiyo 50000 atabeti ataliwa mwisho anasema bora afe.
Kazi yetu iwe 1 tu,kuhubiri neno la bwana hadi stand za mabasi

ili atapofika huko mbinguni ajue atavyojitetea kwa Mungu wake

akiulizwa "hukusikia neno" ajue atavyojitetea, Huyu wakujitia kitanzi

akiulizwa hukuwasikia kina controla ajue atavyojipambania na Malaika zake...
 
Uzi mzuri Sasa ndo najiuliza Mimi kenzy nikutane na mmburungutu wa hela niwaze kuuacha!

Kenzy ukitaka ishi hii dunia kwa raha epuka jiwekea Password

usipokua mwaminifu ina maana umejitia Password wewe mwenyewe

hutoweza pita njia ile,hutoweza katiza mitaa ile,hutoweza hata sogelea maeneo yale

Epuka kujiwekea Pattern kwenye haya maisha, enjoy this country upite kila uchochoro at anytime

bila kuogopa kutafutwa/kukamatwa/etc..Mtaji no 1 Hii dunia ni "Uaminifu" mengine yatafata yenyewe.
 
Hii anzia mtaani kwako wanapokujua then una expand,nawaona wanaofanya hii hasa kufua na kufanya usafi tofauti,sio mbaya ila kikubwa ni kuwa na protective gears ktk kufua maji yale machafu kila siku yatakusababishia fungus za vidole miguu ambazo zikikomaa matibabu yake ni gharama,

Angefanya kisasa zaid anakua na washing mashine anazunguka ktk guest house hizi hakosi pesa nzuri ,sishauri mtu achezee maji ya sabuni muda mwingi direct ktk ngozi itakucost, but ni idea nzur kwa kijana mtafutaji asie na aibu, ila kwa mwanaume bora ukaoshe magari na pikipiki tu hukosi elfu tatu per each anzia mtaani kwako hakikisha unaosha vyema vinakuasaafiii, utaona wanavyokuja yupo jamaa hadi anawakimbia wateja wake hahaaa
 
Kenzy ukitaka ishi hii dunia kwa raha epuka jiwekea Password

usipokua mwaminifu ina maana umejitia Password wewe mwenyewe

hutoweza pita njia ile,hutoweza katiza mitaa ile,hutoweza hata sogelea maeneo yale

Epuka kujiwekea Pattern kwenye haya maisha, enjoy this country upite kila uchochoro at anytime

bila kuogopa kutafutwa/kukamatwa/etc..Mtaji no 1 Hii dunia ni "Uaminifu" mengine yatafata yenyewe.
Ahsante mkuu kazi nyengine hizi ni kujiweka karibu na huduma ya polisi any time washakuhudumia.
Mkuu mi ni mwaminifu lakini na boss pia awe muaminifu maswala ya unaenda kumfulia mtu halafu kakuvalia kichupi na shati limeishia kwenye mapaja si tabia nzuri..🤣
 
Kuna dada niliwahi mshauri hivyo ila yeye hakutengeneza BC yeye alikuwa anaacha namba za simu.

Nashukuru Mungu alinielewa na akafanikisha nilichomwambia.

Kwa siku anafanya kazi nyumba 3 hadi 4 anarudi jioni na 12000 au zaidi.

Kwasasa amefanikiwa kufungua kakibanda ka Mpesa na Tigopesa.
Tena wadada wako na advantage kubwa sana katika hili kulinganisha na wakaka

sisemi wakaka haiwezekani ni namna utavyomu approach huyo mteja wako kwa

mara ya 1 huwa it matters alot maana pale kuna vimaswali viwili vitatu,sasa ukishndwa

yapangua yale maswali kwa kujiamini 50% unatoka nnje ya mchezo.. Wakaka mnapokutana

na maswali ya hapa na pale epukeni "maneno mingi" be a man of few words maana wakaka

wengi tunakosa kazi kwasababu tuna ile kujiamini kupitilizaaaa... sawa ongea but isizidi sasaa...
 
Ime simama Sana hii utajiri uaanazaga kama utani hivi
Wengi hufikiria kuanzia 100 hamna alie tayari kuanzia 1

watu akili zikifunguka kuwa ili ufike 100 lazima uanze na 1

miaka inakua ishaenda mtu ashafika miaka 40 ndio anashtuka kukmbizana na hizi idea

saivi kakaa kazi kutia like post za insta, akibadili upepo utamkuta yupo humu JF jukwaa lilee pendwaa
 
Kali sana kiongozi, kuna mahali na mimi nimejikuta muhanga. Msichana wangu wa kazi anahitaji kufundishwa mambo mengi mimi mwenyewe mambo milioni.
 
Back
Top Bottom