Huna kazi lakini kwenye simu una 50,000 Tshs tu, ifanyie hiki ninachokushauri...

Huna kazi lakini kwenye simu una 50,000 Tshs tu, ifanyie hiki ninachokushauri...

Kenzy ukitaka ishi hii dunia kwa raha epuka jiwekea Password

usipokua mwaminifu ina maana umejitia Password wewe mwenyewe

hutoweza pita njia ile,hutoweza katiza mitaa ile,hutoweza hata sogelea maeneo yale

Epuka kujiwekea Pattern kwenye haya maisha, enjoy this country upite kila uchochoro at anytime

bila kuogopa kutafutwa/kukamatwa/etc..Mtaji no 1 Hii dunia ni "Uaminifu" mengine yatafata yenyewe.
Nmekuelewa Sana HAPA Mkuu
 
Hii anzia mtaani kwako wanapokujua then una expand,nawaona wanaofanya hii hasa kufua na kufanya usafi tofauti,sio mbaya ila kikubwa ni kuwa na protective gears ktk kufua maji yale machafu kila siku yatakusababishia fungus za vidole miguu ambazo zikikomaa matibabu yake ni gharama,

angefanya kisasa zaid anakua na washing mashine anazunguka ktk guest house hizi hakosi pesa nzuri ,sishauri mtu achezee maji ya sabuni muda mwingi direct ktk ngozi itakucost, but ni idea nzur kwa kijana mtafutaji asie na aibu, ila kwa mwanaume bora ukaoshe magari na pikipiki tu hukosi elfu tatu per each anzia mtaani kwako hakikisha unaosha vyema vinakuasaafiii, utaona wanavyokuja yupo jamaa hadi anawakimbia wateja wake hahaaa
Dah
 
Mada nzuri na mleta mada amezungumzia kufua,kupika kama mfano tu sasa wanaume nao wanataka hizo hizo.

Kikubwa ni uangalie wew una ujuzi gani ambao unaweza fanya bila mtaji na ukajitangaza kwa njia ya business card. Inaweza kua hata ujuzi wa ufundi wa vifaa vya umeme, kuchonga fence, kufundisha watoto hesabu,English ,Dini (qur-ani) kama masomo ya ziada etc.

Mfano mimi ninapenda sana na ninaweza kufanya interior decorations kuanzia kukuchagulia rangi za kuta,sofa mapazia, kukufanyia shopping ya fanicha na mapambo na kukutengenezea pia(natengeneza pia mapambo ya ukutani,mezani ect.) So na mimi nmefikiria kutengeneza hizo cards .

Na kama kuna mtu hapa atahitaji huduma yangu KARIBU.
 
Mada nzuri na mleta mada amezungumzia kufua,kupika kama mfano tu sasa wanaume nao wanataka hizo hizo.
Kikubwa ni uangalie wew una ujuzi gani ambao unaweza fanya bila mtaji na ukajitangaza kwa njia ya business card. Inaweza kua hata ujuzi wa ufundi wa vifaa vya umeme, kuchonga fence, kufundisha watoto hesabu,English ,Dini (qur-ani) kama masomo ya ziada etc.
Mfano mimi ninapenda sana na ninaweza kufanya interior decorations kuanzia kukuchagulia rangi za kuta,sofa mapazia, kukufanyia shopping ya fanicha na mapambo na kukutengenezea pia(natengeneza pia mapambo ya ukutani,mezani ect.) So na mimi nmefikiria kutengeneza hizo cards .
Na kama kuna mtu hapa atahitaji huduma yangu KARIBU.
Safi Sana... napenda kuona kuna mtu anaelewa na anaweza jiongeza zaidi.

kuna mtu mawazo yameishia kwenye kufua na kupika,anasoma thread kama

anasoma nipashe au mwananchi,hajui hapa ni darasani panahtaji usome na uelewe..
 
Vip kuhusu usalama? Kuna watu sio waaminifu utaenda kufanya usaf aseme umemuibia hapa utaepuka Vipi huu mtego
 
Kuandika ni rahisi sana kuliko uhalisia wenyewe.
Nikuulize mleta mada :
Hivi wewe unaweza kufanya hizi kazi ulizoorodhesha kwenye huu uzi wako? Like seriously mwanaume mzima ukafue ch***pi na boksa za wanaume wenzako??

No way, huo ni unyonge kupitiliza. Anyways, wapo wadada wanafanya hizi kazi lakini kibongo bongo wanapitia nyakati ngumu sana.

Kwa Ulaya na Marekani, yes, kuna unafuu fulani kwa wanaofanya hizi kazi. Lakini kwa Wabongo bado hatujastaarabika kabisa. Hata Uarabuni bado sana, wanaofanya hizi kazi wanateseka.

Asikudanganye mtu. Hakuna kazi ngumu kama ya kwenda kumfanyia mtu kazi za usafi ndani kwake. Kibongo bongo inahitaji moyo wa chuma.
 
Muongozo mzuri sana...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Kuandika ni rahisi sana kuliko uhalisia wenyewe.
Nikuulize mleta mada :
Hivi wewe unaweza kufanya hizi kazi ulizoorodhesha kwenye huu uzi wako? Like seriously mwanaume mzima ukafue ch***pi na boksa za wanaume wenzako??

No way, huo ni unyonge kupitiliza. Anyways, wapo wadada wanafanya hizi kazi lakini kibongo bongo wanapitia nyakati ngumu sana.

Kwa Ulaya na Marekani, yes, kuna unafuu fulani kwa wanaofanya hizi kazi. Lakini kwa Wabongo bado hatujastaarabika kabisa. Hata Uarabuni bado sana, wanaofanya hizi kazi wanateseka.

Asikudanganye mtu. Hakuna kazi ngumu kama ya kwenda kumfanyia mtu kazi za usafi ndani kwake. Kibongo bongo inahitaji moyo wa chuma.
Duh kweli haiingii akilini
 
Kuandika ni rahisi sana kuliko uhalisia wenyewe.
Nikuulize mleta mada :
Hivi wewe unaweza kufanya hizi kazi ulizoorodhesha kwenye huu uzi wako? Like seriously mwanaume mzima ukafue ch***pi na boksa za wanaume wenzako??
Ndio naweza kufua nguo za ndani za mwanaume mwenzangu

sio hizi safi tu hata zile ambazo kazichafua na haja nafua tena

kwa ubora wa hali ya juu,sina kinyaa,najua namna yakujitunza afya yangu

siogopi chochote,natafuta maisha sitafuti Show Off,ninapokua sina pesa nazitafuta sana mkuu

kazi pekee ambayo sitofanya ni yakumkosea muumba au kuvunja sheria za nchi,zingine zote nafanya.

ukinikuta natafuta pesa mkuu,wewe ukitaka hata kunitemea mate nitemee sitokufanya kitu,si unajiona

umeyapatia sana,its ok with me,ninachojua tu siku zote hakunaga situation Permanent,everything is temporary tu, hata hali hii ya umaskini wa kufua hizo nguo muda wake utapita tu,n muda tu boss.
 
Back
Top Bottom