Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Huu uzi naona kama dust tu, unaongelea vitu ambavyo ujavifanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu! Naomba umuombe radhi jamaa maana katoa ideas zake tu kwenye kutafuta maisha sidhani Kama kulikuwa na haja ya wewe kumkejeli.Huu ni uchafu wa motivational speeker
nakubali mkuuJini mwenyewe ananielewa nilivyo🥲
Shukrani Kwa mchango wako mkuuNgoja nikupe story moja ya Jamaa aliwahi kuniambia....
Mwindi akikupa tender umpe gharama na wewe ukaqoute pesa ndogo kuliko hata uhalisia bado atakugalaliza na kukwambia upunguze bei.....
Nashukuru kwa kuona hiloKwa madada ni sawah ila kwa wakiume sishauri aisee ifike kipindi tupeane fursa za zinazofuata tamaduni zetuu na heshima pia kwa jamii
Nashukuru kwa kuona hiloKwa madada ni sawah ila kwa wakiume sishauri aisee ifike kipindi tupeane fursa za zinazofuata tamaduni zetuu na heshima pia kwa jamii
Unakuta uyu ambaye ameleta hii aidi amekaa ofisini anakula tozo na Kodi za wananchiMkuu! Naomba umuombe radhi jamaa maana katoa ideas zake tu kwenye kutafuta maisha sidhani Kama kulikuwa na haja ya wewe kumkejeli.
Anyways, fuata maelekezo yangu haya "weka mikono yako kifuani Kisha sema kuanzia Leo naacha uchawi ehe Mungu nisaidie.
Uchawi sio kuroga tu hata kukatisha tamaa wenzio.
Usinitie majaribuniBado unauza chips au ushafungua bonge la hotel unalisha wabunge?
Sasa kipi bora mkuu...? uendelee kusota kitaa na usomi wako huku ukibagua kazi kuwa "hii kazi haifanywi na wasomi"Unakuta uyu ambaye ameleta hii aidi amekaa ofisini anakula tozo na Kodi za wananchi
Kaa ukifahamu wachawi wanapenda kuona watu wanafanya kazi za ovyo, kwa hiyo mi napinga,
Mchawi anafurahi akimuona msomi anenda kubeba zege, kufua nguo nyumba za watu na kazi zingine za kuzalilika.
Yani 12000 tu ndounakuja kutoa ushuhuda humu bullshitKuna dada niliwahi mshauri hivyo ila yeye hakutengeneza BC yeye alikuwa anaacha namba za simu.
Nashukuru Mungu alinielewa na akafanikisha nilichomwambia.
Kwa siku anafanya kazi nyumba 3 hadi 4 anarudi jioni na 12000 au zaidi.
Kwasasa amefanikiwa kufungua kakibanda ka Mpesa na Tigopesa.
Hapo unatafuta kula tu sio kujengaNatamani enzi naanza maisha ningeijuaga JamiiiForums au ningepata mawazo na idea ambazo nazitoa mimi kila siku au ninazokuta watu wamezitoa bure humu humu JF.
.
Andiko la mwaka!!Natamani enzi naanza maisha ningeijuaga JamiiiForums au ningepata mawazo na idea ambazo nazitoa mimi kila siku au ninazokuta watu wamezitoa bure humu humu JF.
Yani 12000 tu ndounakuja kutoa ushuhuda humu bullshit