Huna sura huna chura, nakusaidiaje

Huna sura huna chura, nakusaidiaje

habarini wakuu poleni na majukumu, katika pita pita zangu mtaani nikakutana na binti mmoja hivi kwa kifupi mbaya maana hana sura wala chura

sikutaka kumsalimia maana nlimuona kama kisiriri kwangu hafiti popote ata kulia na ndimu hafai

Asa kumbe kinashida bwana, kama uwajuavyo hawa viumbe wakiwa na shida huwa hawachoki kujisalimisha kikasema mambo nikakiambia poa, kikaniuliza mzima nikakijibu ndio hofu kwako

Nilipokiambia hivo si ndo kikaanza kuelezea shida zake kwanza kikasema kina njaa balaa pili kikasema kuna sehemu inatakiwa kiende asa kimekwama nauli tatu mama yake anaumwa koo kinaomba nikiunge mkono kama nimeguswa

mi nkamwambia pole dada na matatizo ila mimi mwenyewe niko vibaya labda tukionana tena ntakusapoti

ila kimoyo moyo nikawa nawaza binti huna sura huna chura unasaidiwaje kwa mfano?

mjini ukiwa na kimoja kati ya sura au chura huwezi kosa sponsor
Una roho ya mnyama ww
Huna utu ht kidogo
Unaangalia sura na shep ndio umsaidie binadamu mwenzio?
Mungu akusaidie
 
Hata wewe mwambie nimemwambia angalia usije oa wahivyo hivyo, eti ataoa kwa kunikomesha mimi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui bado mtoto una ndugu wakike halafu unatukana wanawake atazaa watoto wahivyo hivyo
Hiyo tabia ya kukashifu dada zetu inakera ww huna mama au dada acha utoto
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe usifikiri kila aliepo humu ni hana kazi hana muda wengine humu nisehemu ya kupata habri hatujaja kutafuta wanaume kwani huku tunakoishi ni porini au wanaume wamaana wanapatikana kwenye keyboard, basi acha ushamba basi hata kidogo wewe huna dada au shangazi acha hizo basi
unaweza ukawa na kazi, nyumba na mshahara mzuri ila ukawa na uhitaji wa mwanaume sahihi


kua na kazi haina maana huna uhitaji


afu atakama unaishi mjini wanaume wanaweza wakawa wengi ila mwanaume unaemuhitaj hayupo
 
Kweli janga la taifa huyu ndiye awe kichwa cha familia kweli? Sijui itakuwa familia ya namna gani nikweli janga la taifa
Kweli mama kama wanaume ndiyo ss hivi bac janga la taifa
 
Hata wewe mwambie nimemwambia angalia usije oa wahivyo hivyo, eti ataoa kwa kunikomesha mimi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui bado mtoto una ndugu wakike halafu unatukana wanawake atazaa watoto wahivyo hivyo
Tatizo utoto mwanaume ukifanya jambo hutangazi ukiona anae tangaza huyo mtoto wa mama
 
Mimi nawewe hatuendani hivyo nakuacha kama ulivyo, mimi najikubali pia namkubali kila binadamu ninaye kutana naye awe yupo vipi siwezi mtema mate kesho yangu siijui, kuna mtu anaweza toka mzima nyumbani jioni anarudi mlemavu, hivyo kiumbe kama binadamu sina ugomvi wa maumbile ya Mungu, kila raheri
unaweza ukawa na kazi, nyumba na mshahara mzuri ila ukawa na uhitaji wa mwanaume sahihi


kua na kazi haina maana huna uhitaji


afu atakama unaishi mjini wanaume wanaweza wakawa wengi ila mwanaume unaemuhitaj hayupo
 
Kweli janga la taifa huyu ndiye awe kichwa cha familia kweli? Sijui itakuwa familia ya namna gani nikweli janga la taifa
naona wenye IQ ndogo mnasapotiana mmeshindwa kubisha kwa hoja mmehamia kwene familia
 
Tatizo utoto mwanaume ukifanya jambo hutangazi ukiona anae tangaza huyo mtoto wa mama
Kweli kabisa, kuna kaka alikuwa akicheka wanawake wenye nyonyo kubwa nakusema hawezi oa mwanamke kama baunsa lakini huwezi amini ndiye aliye naye mie mwanafunzi kwa mzigo alionao, hapo hajaoa bado atampata tu
 
Una roho ya mnyama ww
Huna utu ht kidogo
Unaangalia sura na shep ndio umsaidie binadamu mwenzio?
Mungu akusaidie
mi nasaidia wenye chura tu


siwezi tupa jiwe kwene maji bora nionekane nna roho mbaya ila ukweli ndo huo
 
Back
Top Bottom