Sasa kuvifuta maana yake havipo kwenye mfumo au kwenye bible zao🤣🤣,ndio maana nasema wewe unakuwa kama lofa toka mwanzo nilikuuliza,vinaathiri nini katika msingi wa imani??hukujibu na wala hukujua lengo langu nini.
Maana yake ni kwamba kama ni muhimu basi RC wanavyo kama kanisa mama.
ulikiwa unaporomoka tu kujibu kama mzigo😁😁
kijana tumia akili hata za kutambua choo kilipo ukifika shuleni😂😂,kugusa ukuta hakufanani na kusujudia kaaba.wewe kaaba sio tu umeipa nafasi ya heshima ni ibada pia unaifanyia au unataka kubisha hilo???
ila inaweza mwambia myahudi Muhammad alikuwa mtume wa Mungu,na issaka alikuwa muislam akakuelewa😂😂😂,atakukata kichwa,tena afadhali sisi huwa hatujishughulishi na ujinga wenu wale hawataki ujinga aisee🤣🤣🤣.
Yaani ukienda kucheza na babu na baba zao wa imani itakuwa tabu.
wewe ni bumunda mkuu🤣🤣🤣
hakuna sehemi nimesema nyota hazitoi mwanga,nimesema hakuna nyota zinazotoa mwanga wa kutosha kutupa mwangaza duniani hata kwa mbali isipokuwa nyota moja tu nayo ni Jua.
😂😂hivi mbona wazito kuelewa hivi au mpaka ukabwe kama kipenzi chako alivyofanywa na jibril🤣🤣
Unataka tufundishane maana ya kusujudu sasa,hilo pia hujui😁😁😁.
View attachment 3131510
Jibril sio Allah ila jibri hakupewa wasifu wa Muhammad Allah alisahau,mpaka akamkaba,ilibidi Muhammad aseme kwamba hawezi kusoma,laa angmuua mshenzi yule🤣🤣🤣🤣
Yah hizi zilikuwa akili za wenge kama zako baada ya kujitambua,wakidhani wakijificha labda hawataonekana kwa aibu wakajificha.
😂😂😂pole kaka,najua umehangaika sana kutafuta hiyo mistake lakini hata wewe huiomi,ila unaamua kujifyatua😂😂
Ukija huku duniani lazima uwe na shepu za huku,ndio maana alishuka akakabana na yakobo,alishuka kama kichaka kinachowaka moto,akashuka kama Yesu,sasa peponi gheto kwa Allah hajui Centigrade za tanuru alilokoka🤣🤣,Allah ni mpeche mpeche since day one,hakuna Mungu humu bora tumtegemee nabii titto ana jambo la maana kumzidi😂😂