Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Kwahiyo Yakobo alikuwa Muislam kabla ya Uislam wenyewe!!!??? Quran ilishushwa enzi za Mohammad kwa maana nyingine Uislam ulianzia hapo quran iliposhushwa maana hiyo ndo mwongozo wa uislam. Angalau unhesema alikuwa Myahudi
 
Yaani Uislamu huu huu ambao umebuniwa miaka 500 baada ya Yesu kuondoka ndio mnataka kuaminisha Yakobo aliuabudu.
Shetani alibuni Uislamu kama mpinga Kristo.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Enzi hizo mtume Mohhamad (S.A.W) alikuwa bado hajazaliwa.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Sijasoma ila ngoja tu nikujibu, mohamed ndo nabii mdogo zaidi kuliko wote, na yeye ndiye aliyetuletea uislam, hivo unaowasoma wote walikuwepo kabla yake na uislam haukuwahi kuwepo popote kabla ya SW hivo kama unafikiria mambo kwa upana wake usingeandika huu uzi.
Manabii wwnfi tunaowasoma kwenye bibilia walikuwa ni wayahudi ama wapalestina hivo walikuwa na dini za kiyahudi
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Hata Sijasoma ulichoandika ila nachojua Yacobo alikuwepo kabla ya Uislam na Ukristo kuanzishwa
 
Monotheism (dini ya mungu mmoja) msingi wake ni Jews.

Jews asilia ni nani, mtihani maana zama hizo hata hao Jews kila mtu alikuwa anafanya ibada kwa mtindo wake.

Jews wenyewe (sio hawa wazungu tu) walikuwa Middle East yote kabla ya hawa wa Europę kurudi. Ambao waingereza wamewarudisha Israel (Palestine) na kuwafanyia wa maeneo mengibe kurudi.

Sasa maeneo mengine ni yepi (Jews, walikuwa na makabila, 12) ukitoa wazungu ni ghasia. Middle East yote ina Jews kuanzia Afghanistan na nchi zote za middle east (ndio maana wana waharabu wa kuingilia, usalama wa taifa wa nchi zingine).

Kitabu cha Jews ni (Torah) Old Testament ambacho kimejaa hadithi za mitume na wafalme zilizokuwa zikusimuliwa na kurithishwa lakini (hazina ushahidi wowote) pretty puch mythology (if you’are scientific) ukweli wake, Hakuna archeological evidence.

Na wenyewe Jews (makabila, 12) hawakuwa na mtindo rasmi wa ibada maana hizo hadithi overtime zilikuwa zinachujwa kila eneo (ndio maana kuna vitabu hata biblia Inavikataa).

Msingi wa hizi dini za ‘Abraham’ (Jewes, Christianity and Islam) ni ‘old tastement’, tofauti zao za ibada ya awali ndio wakazuka hao manabii wao Yesu na Muhammad na kuunda hizo dini mpya.

Sasa tena ukiristo na uislamu nao ukaja na uzushi wake wa (new testament). Mashaidi wake (wasimulizi ni wafuasi) ni wanafunzi sijui wafuasi wa mwanzo wa hiyo mitume.

Kila mtu haamini anachotaka, binafsi naamini kuna spiritual powers. Lakini huu upuuzi wenu wa kulambana kishamba kutokana na imani zenu; yaani mnaonyesha kiwango cha ujinga kweli.
 
Turudi kwa wadhamini wetu..............



1729111816738.png


1729111901293.png


1729111941728.png
 

Attachments

  • Screenshot_20240121-104402.jpg
    Screenshot_20240121-104402.jpg
    479.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240121-103615.jpg
    Screenshot_20240121-103615.jpg
    370.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240123-121550.jpg
    Screenshot_20240123-121550.jpg
    307.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240929-190914.jpg
    Screenshot_20240929-190914.jpg
    439.4 KB · Views: 5
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Malimbukeni wa dini ni wengi sana
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Wakristo wanamubudu Mungu na Si Maria, Yusufu, sijui Issa, mtakatifu pyey pyee.
Mungu mmoja nafsi ttu yaani :-
1. Mungu baba
2. Mungu mwana [YESU]
3. Mungu roho mtakatifu.
 
Kuna marekebisho hapo, dini walizokuja nazo mitume ndio uislamu wenyewe ila kutokana na kupita kipindi cha miaka 600 kabla ya kuja mtume mwingine yaani baada ya kuondoka masihi issa swala na amani ziwe juu yake, ndio ukasemwa umekuja uislamu na mtume muhammad lakini mafundisho ya injili ndio uislamu mafundisho ya torati hivyohivyo zaburi hivyohivyo kwani uislamu ni kujisalimisha kwa muumba wa mbingu na ardhi, hivyo mitume wote walikuwa waislamu hata yaaqub amani iwe juu yake aliitwa israeli yaani Abdullah kwa maana ya mja wa Allah nae alikuwa muislamu mnyenyekevu.





Aya ya 2:37, 6:14, 39:12 muhamadi anasema ameamrishwa awe wa kwanza ku slim ( kuwa mwisilamu) hizo aya aya ambazo alikuwa anasema sijui Yakobo ni muislam zilikiwa kamba, anawadanganya waarabu ili wamuamini. Muhamad ni tapeli tapeli na msanii sana
 
Back
Top Bottom