Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Huo ndiyo ushahidi wa aya unaothibitisha bila shaka yoyote kuwa Yakobo aliye Israel alikuwa muislamu, enyi ndugu zangu Wakiristo zindukeni

Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Quran imekuja, miaka 600 baada ya Biblia. Ni rahisi kupachika uongo wa kutosha kuhalalisha wanavyotaka. Mohamed alizaliwa 570, na akaanza uislam miaka 40 baada ya kuzaliwa kwake mwaka 610. Yakobo hakuwa muislam Wala mitume wote hata Yesu. Quran inajilazimisha/kujipendekeza ktk Biblia,,, lakini Biblia haikusema chochote kuhusu uislam.
 
Hii aya tulisha waeleza ndio wa kwanza kwa Nyakati zake (umma wake), ila huko nyuma pia nabii husika wa umma husika pia alikuwa wa kwanza kufundisha imani na kusilimu kisha anawaendea binadamu wengine
Uongo, utapeli na ulaghai. Dini ya ujanja ujanja na utapeli. Miaka mnatumia kuhwsabu hii 600plus ni ipi? Acheni kuwa matapeli kama alivyokuwa mohamad.
 
Hii aya tulisha waeleza ndio wa kwanza kwa Nyakati zake (umma wake), ila huko nyuma pia nabii husika wa umma husika pia alikuwa wa kwanza kufundisha imani na kusilimu kisha anawaendea binadamu wengine

Aya ya 2:37, 6:14, 39:12 muhamadi anasema ameamrishwa awe wa kwanza ku silim ( kuwa mwisilamu) hizo aya aya ambazo alikuwa anasema sijui Yakobo ni muislam zilikiwa kamba, anawadanganya waarabu ili wamuamini. Muhamad ni tapeli tapeli na msanii sana
 
Quran imekuja, miaka 600 baada ya Biblia. Ni rahisi kupachika uongo wa kutosha kuhalalisha wanavyotaka. Mohamed alizaliwa 570, na akaanza uislam miaka 40 baada ya kuzaliwa kwake mwaka 610. Yakobo hakuwa muislam Wala mitume wote hata Yesu. Quran inajilazimisha/kujipendekeza ktk Biblia,,, lakini Biblia haikusema chochote kuhusu uislam.
Biblia haifahamu Mudi na haiufahamu Uislamu.
 
Aya ya 2:37, 6:14, 39:12 muhamadi anasema ameamrishwa awe wa kwanza ku silim ( kuwa mwisilamu) hizo aya aya ambazo alikuwa anasema sijui Yakobo ni muislam zilikiwa kamba, anawadanganya waarabu ili wamuamini. Muhamad ni tapeli tapeli na msanii sana
Nimesha kujibu kwa UMMAH wake mbona rahisi sana
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Unawazimu ww si bure
 
Uongo, utapeli na ulaghai. Dini ya ujanja ujanja na utapeli. Miaka mnatumia kuhwsabu hii 600plus ni ipi? Acheni kuwa matapeli kama alivyokuwa mohamad.
Miaka ina husika vip na aya ya Yakobo kuwa muislamu? ebu jikite kwenye mada halafu lete andiko hapa Yakobo alikuwa dini gani tofauti na Uislamu
 
Hivi mpo serious mnagombania made up characters... Yaani ni sawa nitengeneze movie yangu bongo afu niseme superman wa kwangu... batman wa kwangu...sio wa DC
Wakati nimewakuta DC..
Bahati nzuri kulikuwa hamna Sheria za plagiarism na copyright watu wangefungwa sana..
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Uislamu huu huu uluoletwa na teja mmoja anayeitwa Allah?
 
Miaka ina husika vip na aya ya Yakobo kuwa muislamu? ebu jikite kwenye mada halafu lete andiko hapa Yakobo alikuwa dini gani tofauti na Uislamu
So Leo hii nikianzisha dini yangu ya Koriko...nikaandika Aya ya Yakobo kusema ye ni mkoriko Yakobo nae anajua mkoriko si ndio?
Mna kazi kweli
 
Nabii Yakubu (Jacob) alikuwa ni mtumishi wa Mungu aliyeishi kabla ya Uislamu, Ukristo, au Uyahudi kujitokeza kama dini zilivyo leo. Katika Uyahudi na Ukristo, anachukuliwa kama mmoja wa mababu wa taifa la Israeli. Katika Uislamu, Yakub anaheshimiwa kama nabii na mmoja wa mitume wa Mwenyezi Mungu, lakini Uislamu ulianzishwa na Mtume Muhammad karne nyingi baada ya maisha ya Yakub.

Kwa hiyo, ingawa Yakub anaheshimiwa katika Uislamu kama nabii, hakuwa "Mwislamu" kwa maana ya kufuata dini ya Kiislamu, bali alikuwa mfuasi wa Mungu Mmoja aliyehubiri ujumbe wa kumtii Mwenyezi Mungu, sawa na manabii wengine waliomtangulia Muhammad.
Weka Aya hapo, usichoelewa nini?, mtoa mada bandiko lake ujalisoma binamu?
 
So Leo hii nikianzisha dini yangu ya Koriko...nikaandika Aya ya Yakobo kusema ye ni mkoriko Yakobo nae anajua mkoriko si ndio?
Mna kazi kweli
Acha kupuyanga lete andiko hapa kuwa Yakobo alikuwa dini tofauti na Uislamu, mtoa uzi awe kasema uongo
 
Wadau hamjamboni nyote?

Or were you witnesses when death approached Jacob, when he said to his sons, "What will you worship after me?" They said, "We will worship your God and the God of your fathers, Abraham and Ishmael and Isaac - one God. And we are Muslims [in submission] to Him."

Je! mlikuwa mashahidi yalipo mfikia Yakubu mauti alipo waambia wanawe: Je! Mtaabudu nini baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is-haq, Mungu Mmoja. Na sisi ni Waislamu kwa ajili yake.

Nimeweka ushahidi wa aya hivyo niombe ukiamua kuchangia basi uje na aya.

Niombe pia kwa wanazuoni na wasomi wenye ilimu mnisahihishe kama nimetafsiri vibaya aya hiyo tafadhali

Niwatakie siku njema wapendwa

Nukuu:

Surah Al-Baqarah Ayat 133

أَمۡ كُنتُمۡ شُهَدَآءَ إِذۡ حَضَرَ يَعۡقُوبَ ٱلۡمَوۡتُ إِذۡ قَالَ لِبَنِيهِ مَا تَعۡبُدُونَ مِنۢ بَعۡدِيۖ قَالُواْ نَعۡبُدُ إِلَٰهَكَ وَإِلَٰهَ ءَابَآئِكَ إِبۡرَٰهِـۧمَ وَإِسۡمَٰعِيلَ وَإِسۡحَٰقَ إِلَٰهٗا وَٰحِدٗا وَنَحۡنُ لَهُۥ مُسۡلِمُونَ
Mi nikadhani uthibitisho unatoka kwenye Biblia, kumbe umetoa kwenye kitabu chenu 🤣🤣🤣 we unadhani shetani naye angeandika kitabu chake story yake ingekuwaje!?
 
Mimi niko na mtoa nyuzi si ametoa andiko hapo, wewe lete andiko lako kumpinga sio maneno matupu
Hili nalo andiko ami au hadi niandike kiarabu....andiko limetokana na muandiko amen
 
Ndio maana wataifa makubwa yanatuambia kitu pekee tulichokishika waafrika ni dini kuliko hata wao wenyewe waliotuletea dini hizo ukiangalia Elimu yetu shida, Afya shida, Miundo mbinu shida, Uongozi shida kila kitu kwetu ni balaa lakini kushika na kutetea hizi dini za kuletwa kwa njia ya maji kwa mlengo wa kutupiga BrainWash ili watuibie na kutugawa tusiwe wamoja tena ndio tupo mstari wa mbele.
 
Back
Top Bottom