Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mfungwa wa Kisiasa aliyeishinda Serikali ya Tanzania Mahakamani , baada ya kupangua mashitaka ya uongo yaliyotungwa na RPC wa Mbeya Ulrich Matei na washirika wake ya kusafirisha na kusambaza Madawa ya kulevya , leo amehudhuria Kongamano muhimu la Katiba (Katiba day) ambapo wameonekana watu mbalimbali wengi wakiwa ni akina mama Wakitokwa na Machozi , ikiwa ni ishara ya kumhurumia .
Mdude au Martin Luther kama anavyoitwa na vijana wa kileo , ambaye amepewa nafasi ya kusalimia Wajumbe hao aliwekwa selo kwa siku 414 kwa kesi ya uongo ili kumkomesha kutokana na itikadi yake ya kisiasa .
Mdude au Martin Luther kama anavyoitwa na vijana wa kileo , ambaye amepewa nafasi ya kusalimia Wajumbe hao aliwekwa selo kwa siku 414 kwa kesi ya uongo ili kumkomesha kutokana na itikadi yake ya kisiasa .