Huruma ya Rais Samia Suluhu Hassan yawanusuru vigogo wa kisiasa kusota lupango

Huruma ya Rais Samia Suluhu Hassan yawanusuru vigogo wa kisiasa kusota lupango

mashtaka ni kule mahakamani gentleman, na ni vizuri kujadiliana masula ya kisheria kwenye jukwaa mahususi 🐒
Kwa hiyo, hapa unajadili masuala gani kama masuala ya uhalifu hayahusiani na mahakama yenye wajibu wa kutoa haki na adhabu kwa wahalifu?
 
mbona unaeleza kilichofanyika leo ama niaje gentleman 🤣
Mimi nakuuliza wewe uliyesema "uhalifu umefutwa". Sasa si ueleze ulifutwaje na ndiyo maana nikaanza na kusema tuanze na sheria maana ndiyo iliyoweka utaratibu wa ku'deal' na uhalifu?
 
anyway,
kwa maombi yako narekebisha kwaajili yako tu,

ya kwamba utashi wa kisiasa na dhamira njema ya Dr. Samia Suluhu Hassan imewaweka huru viongoz waandamizi wa Chadema na baadhi ya wanachama waliotiwa nguvuni mbeya jana kwa kujaribu kutaka kuvuruga umoja, amani na utulivu wa waTanzania...

kudhibiti uhalifu haihitaji ridhaa ya wanainchi ni jukumu la jeshi imara la police nchini 🐒
Hii ni hoja iliyojengwa na 'wahalifu watawala' na kuisukumia kwa upinzani ili kujenga hoja kuwa kuna uhalifu utatokea!
Ila kama una akili kdg tu unagundua kuwa huu ulikuwa uchochezi wa hawa 'watawala' ili kuwaumiza wapinzani ambao hawakuwa na hatia yoyote.
 
Back
Top Bottom