Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Lazima uwe dakika 3 mbeleDuh, kweli nimeamini ukiwa Chawa atleast moja na mbili zisiwe kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima uwe dakika 3 mbeleDuh, kweli nimeamini ukiwa Chawa atleast moja na mbili zisiwe kichwani
Jimbo gani hilo unalotakaumekasrika hentleman?
na hiyo ni dhamana tu wananchi wamenipatia niwafanyiae kazi za maendeleo, ubaya uko wapi kwani?
magenge ya kihalifu hayawezi kupanga njama za kuvuruga umoja, amani na utulivu wa nchi yetu, yakawafumbiwa macho, lazima yadhibitiwe na kusambaratishwa mara moja...
huruma ya mkuu wa nchi, itafuata baada ya vyombo vya ulinzi na usalama kijiridhisha kwamba hakuna kitisho cha magenge ya kuhalifu tena kuvuruga amani kwa wananchi.
, kuna ubaya wowote hapo gentleman![]()
Chawa kama chawahuna fikra mpya wala mawazo mbadala gentleman, pole bana![]()
Naunga mkono hojaWe nae qummah tu!
Nyie ndo mnasababisha waafrika tuonekane wajinga.kwanini asingetumia hiyo huruma mwanzoni kabla yote haijatokeaLicha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,
Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..
Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.
- Mbeya: Polisi yawaachia Viongozi na Wanachama wa CHADEMA kwa dhamana, baadhi wakwama
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒
Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Vzrwameahidi kutorudia tena walighafilika kidogo tu![]()
Shetani kajifunua uso mzima sasa!Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,
Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..
Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.
- Mbeya: Polisi yawaachia Viongozi na Wanachama wa CHADEMA kwa dhamana, baadhi wakwama
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒
Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Huruma?Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,
Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..
Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.
- Mbeya: Polisi yawaachia Viongozi na Wanachama wa CHADEMA kwa dhamana, baadhi wakwama
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒
Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Angeacha tuone hatima yaoLicha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,
Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..
Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.
- Mbeya: Polisi yawaachia Viongozi na Wanachama wa CHADEMA kwa dhamana, baadhi wakwama
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒
Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Hakuna panic nacheka, nadharau USHABWADA ulio post,🐸😅🐸umepanic au umehemka gebtleman![]()
Zilikuwa michezo ya kuigiza4 R Zimesiginwa kikatili sana na hawa majambazi wanaovaa uniform.
Tengeneza tatizo the solve, beba sifa
Mazingaombwe tuZilikuwa michezo ya kuigiza
Yamefutwa na mahakama?actually yote yamefutwa,
ila kupanga kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi ni miongoni mwa uhalifu uliokusudiwa kutekelezwa na magenge ya kihalifu yaliyodhibitiwa jana na jeshi imara sana la polisi Tanzania![]()
Sawa. Katika kujadili jambo tunaelimishana. Hatubishani tu kwa lengo la kubishana. Tuanze na sheria iliyovunjwa na kutaja shitaka la uhalifu uliofanywa au kukusudiwa kufanyika.suala la uhalifu nchini halitasubiri uvunjifu wa amani, uharibifu wa mali za watu, majeruhi au pengine maafa...
jeshi imara la polisi nchini halitasita kuchukua hatua kali dhidi ya magenge ya kihalifu, kuyadhibuti na kuyasambaratisha bila huruma wala kuona haya ili kudumisha umoja, amani na utulivu wa waTanzania,
hata hivyo,
baada ya uchunguzi wa kina na kujiridhisha kwamba hakuna tena kitisho cha kiusalama, jeshi la polisi kupitia idara zake za kiusalama kitaifa litawaachia huru watuhumiwa bila masharti yoyote...
kisiasa,
Dhamira wazi, nia njema, malengo mahususi na makusudi ya dhati rais Dr. Samia Suluhu Hassan na serikali yake sikivu ya ccm haiwezi kuchafuliwa na magenge ya kihalifu yanayokusudia kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wanainchi kitu amabacho,
umoja, amani na utulivu wa nchi, ni miongoni mwa vupaumbele vya serukali ya awamu ya6![]()
Ulishaona polisi wakimkamata mhalifu kuna sheria inayowapa mamlaka ya kufuta huo uhalifu/kumwachia mhalifu au mahakama ndiyo yenye huo wajibu wa kutoa haki na pia kuadhibu au kusamehe kwa mujibu wa sheria?actually yote yamefutwa,
ila kupanga kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi ni miongoni mwa uhalifu uliokusudiwa kutekelezwa na magenge ya kihalifu yaliyodhibitiwa jana na jeshi imara sana la polisi Tanzania![]()