Huruma ya Rais Samia Suluhu Hassan yawanusuru vigogo wa kisiasa kusota lupango

Huruma ya Rais Samia Suluhu Hassan yawanusuru vigogo wa kisiasa kusota lupango

Too late, damage waliyofanya jeshi la polisi ni kubwa sana, kazi ya Mh. Rais aliyoifanya kwa miaka mitatu imechafuliwa dakika moja tu na watu wanaotaka kupandishwa vyeo. Kulielewa hili uwe na akili za kutosha, kama unazo za kusifia na kuvukia barabara tu huwezi kamwe ukaelewa uharibifu huu.
 
Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,

Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..

Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.

Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒

Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
CDM ni chama cha siasa kinatakiwa kifanye siasa, sasa dola inapozuia Chama kikubwa cha upinzani kufanya siasa hii nikukaribisha, watu kutumia njia mbadala kudai haki zao, ANC ilianzisha Nkonde iswizwe baada ya kuona njia za kisisa zimeshindikana usizane hata wstu kama, Hamas, Boko haram, Alshababu hayo makundi yalitokea tu bila sababu la hasha. Nikutokana na misuguano kama hii. Hii nchi siyo ya CCM peke yake na wajue kuwa hawana hati miliki ya kuongoza milele. Wanaweza wakawanunu viongozi wote wa siasa lakini bado kukawa na upinzani
 
Mbona unadanganya umma inawezekanaje samia atoe agizo wakati ni haki yao ya kikatiba mbona unachanganya mambo au ndio uchawa unakusumbua
 
Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,

Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..

Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.

Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒

Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Nashindwa niandike nini
Acha tuzidi kumlilia Mungu
 
Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,

Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..

Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.

Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒

Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Vichekesho 🤣🤣🤣 we kweli ZERO BRAIN 🧠
 
Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,

Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..

Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.

Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒

Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Stupid
 
Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,

Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..

Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.

Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒

Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Hivi walivunja sheria gani na shtaka lao linasomekaje?
 
Too late, damage waliyofanya jeshi la polisi ni kubwa sana, kazi ya Mh. Rais aliyoifanya kwa miaka mitatu imechafuliwa dakika moja tu na watu wanaotaka kupandishwa vyeo. Kulielewa hili uwe na akili za kutosha, kama unazo za kusifia na kuvukia barabara tu huwezi kamwe ukaelewa uharibifu huu.
suala la uhalifu nchini halitasubiri uvunjifu wa amani, uharibifu wa mali za watu, majeruhi au pengine maafa...

jeshi imara la polisi nchini halitasita kuchukua hatua kali dhidi ya magenge ya kihalifu, kuyadhibuti na kuyasambaratisha bila huruma wala kuona haya ili kudumisha umoja, amani na utulivu wa waTanzania,

hata hivyo,
baada ya uchunguzi wa kina na kujiridhisha kwamba hakuna tena kitisho cha kiusalama, jeshi la polisi kupitia idara zake za kiusalama kitaifa litawaachia huru watuhumiwa bila masharti yoyote...

kisiasa,
Dhamira wazi, nia njema, malengo mahususi na makusudi ya dhati rais Dr. Samia Suluhu Hassan na serikali yake sikivu ya ccm haiwezi kuchafuliwa na magenge ya kihalifu yanayokusudia kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wanainchi kitu amabacho,

umoja, amani na utulivu wa nchi, ni miongoni mwa vupaumbele vya serukali ya awamu ya6 :pulpTRAVOLTA:
 
Hivi walivunja sheria gani na shtaka lao linasomekaje?
actually yote yamefutwa,

ila kupanga kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi ni miongoni mwa uhalifu uliokusudiwa kutekelezwa na magenge ya kihalifu yaliyodhibitiwa jana na jeshi imara sana la polisi Tanzania:pedroP:
 
Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,

Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..

Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.

Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒

Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kuna mwehu mwenzio mmoja alikuja na uzi hapa kwamba raisi samia hahisiki . Wewe nawe unaharisha kwamba huruma ya raisi imesaidia. Tuwaeleweje nyie MACHAWA/ INZI WA KIJANI.
Tangu lini kwenye sheria kuna huruma?
 
Nashindwa niandike nini
Acha tuzidi kumlilia Mungu
ni muhimu sana kumtanguliza Mungu kwa kila jambo,
maana haya yote tunayafanya bila kuchoka wala kukata tamaa kwa Neema na Baraka za Mungu tu, vinginevyo ni ngumu sana:pulpTRAVOLTA:
 
suala la uhalifu nchini halitasubiri uvunjifu wa amani, uharibifu wa mali za watu, majeruhi au pengine maafa...

jeshi imara la polisi nchini halitasita kuchukua hatua kali dhidi ya magenge ya kihalifu, kuyadhibuti na kuyasambaratisha bila huruma wala kuona haya ili kudumisha umoja, amani na utulivu wa waTanzania,

hata hivyo,
baada ya uchunguzi wa kina na kujiridhisha kwamba hakuna tena kitisho cha kiusalama, jeshi la polisi kupitia idara zake za kiusalama kitaifa litawaachia huru watuhumiwa bila masharti yoyote...

kisiasa,
Dhamira wazi, nia njema, malengo mahususi na makusudi ya dhati rais Dr. Samia Suluhu Hassan na serikali yake sikivu ya ccm haiwezi kuchafuliwa na magenge ya kihalifu yanayokusudia kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wanainchi kitu amabacho,

umoja, amani na utulivu wa nchi, ni miongoni mwa vupaumbele vya serukali ya awamu ya6 :pulpTRAVOLTA:
4 R Zimesiginwa kikatili sana na hawa majambazi wanaovaa uniform.
 
Kuna mwehu mwenzio mmoja alikuja na uzi hapa kwamba raisi samia hahisiki . Wewe nawe unaharisha kwamba huruma ya raisi imesaidia. Tuwaeleweje nyie MACHAWA/ INZI WA KIJANI.
Tangu lini kwenye sheria kuna huruma?
zingatia ukweli hapo juu bila mihemko wala kubabaika,

kinachohusika hapo ni huruma na utashi wa dhati wa kisiasa wa Rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan, kupitia wasaidizi wake waanadamizi katika vyombo vya ulinzi na usalama baada ya kujiridhisha kwamba hakuna tena kutisho cha kiusalama kutoka kwa magege hayo dhaifu sana ya kihalifu yaliyodhibitiwa jana na kutiwa nguvuni:pulpTRAVOLTA:

ni muhimu sana kuepuka mihemko na ghadhabu ambazo hazina maana, na kua watilivu kwenye mambo muhimu kama haya, sawa gentleman?:pulpTRAVOLTA:
 
Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,

Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..

Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.

Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒

Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Huna Akili
 
Wakiwa kwenye keyborlard, unaweza kudhani wana nguvu kama bombers za kimarekani, au vifaru wa porini, kumbe warembo tu
 
Back
Top Bottom